Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Tunakutafuta wewe umemuua nyoka mbugani........(Kidding)
NB:WHY HUKUMUACHA NA RATIBA ZAKE?
NB:WHY HUKUMUACHA NA RATIBA ZAKE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Nyoka yoyote anayekatisha mbele yangu huwa nampelekea moto bila kujali yuko eneo gani, nyoka ni nyoka tu hata kama ni wa royo tuwa"Nikitokea Morogoro kuelekea Iringa alfajiri ya leo mwanzoni mwa hifadhi ya mikumini nikakutana na joka kubwa limetulia barabarani, niliyekuwa naye akashauri tusiligonge akaanza kunipa Visa vya koboko aka black mamba kuwa unaweza kumkosa akajificha kwenye uvungu wa gari ukishuka anakugonga.
Nikaona sio kesi, nikashuka nikachukua jeki, nikamtandika mgongoni nadhani nilivunja kabisa uti wa mgongo akawa anarandaranda tu pale nikatafuta kipande cha fimbo nene nikamtandika kichwa shughuli ikaisha nikamtupa pembeni safari ikaendelea.
Nyoka yoyote anayekatisha mbele yangu huwa nampelekea moto bila kujali yuko eneo gani, nyoka ni nyoka tu hata kama ni wa royo tuwa.
Sitaki picha, ila mikumi ni hifadhi ya taifa, umeua nyara ya taifa, yule bwana mdogo shukuru tu aliishaliwa kichwa.Nikitokea Morogoro kuelekea Iringa alfajiri ya leo mwanzoni mwa hifadhi ya mikumini nikakutana na joka kubwa limetulia barabarani...
Jisalimishe TANAPA kabla hujatafutwa! ... mkanda mzima umerekodiwa kama ushahidi! 😎Nikitokea Morogoro kuelekea Iringa alfajiri ya leo mwanzoni mwa hifadhi ya mikumini nikakutana na joka kubwa limetulia barabarani...
Weka hata picha ya huyo Snake tumuone
mwongo sana wewe jack gani ikamuua joka?Kuhusu koboko tema mate chini..!
😂Kwamba nyoka ana uti wa mgongo?
Bila kujali kama hii ni chai au la....ni kweli kuwa nyoka ana uti wa mgongo (vertebral column)!Kwamba nyoka ana uti wa mgongo?
+ KuinamishwaKama umeua mikumi ya hifadhi jiandae kwenda jela
Mkuu nakubaliana na wewe kuwa huyu jamaa amemuonea sana huyo nyoka maana yupo kwake ingelikuwa yupo milima ya Namanyoro ingekuwa sawa.Sasa umemuwa wa Nini?
Infact wala sio sifa. Huyo nyoka umemfuata hifadhini, ndio kwake hapo ni wewe ndio hukutakiwa kuwa hapo sio yeye. Umemuonea Bure na Wala hujafanya ushupavu wowote!
Au alitaka tujue ana ndinga(gari) [emoji16]Fix tupu. Nyoka unamuua na jeki