Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
MTUTSI GENTAMYCINE anajifanya mjuaji sana ,leo Kaingia CHOO YA WANAWAKE!π€£π€£π€£π€£βββHizo hapo naendelea kukupa hivo sio utaribu mpya sema umechelewa kuufahamView attachment 1824318
View attachment 1824319
99.9% ya 'Wanaonichukia' hapa JamiiForums ndiyo 24/7 wakiingia tu Mitandaoni ni lazima tu ama watafungua 'threads' zangu na watafuatilia nimechangia nini Kwingineko.Achana nao
AhaaaNimejulishwa kuwa kuanzia sasa ( Awamu ya Mama japo ya Hayati ilijaribu ila ikatoweka ghafla ) ni kwamba ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri, Mabalozi, Wakuu wa Idara Nyeti na Wakuu wa Mikoa tu ndiyo watakuwa wanaapishwa na Rais akiwa mbele yao.
Kuanzia Wakuu wa Wilaya, DED na DAS sasa watakuwa wanaapishwa na Wakuu wa Mikoo tu huko ambako wamepangiwa baada ya Kuteuliwa.
Napongeza sana hatua hii ( Maamuzi haya ) kwani kwa Mtazamo wangu GENTAMYCINE nilikuwa naona 'Wateuliwaji' wote hawa ( hasa RC' na DC's ) Kuapishwa na Mheshimiwa Rais ilikuwa ni kutowapa Mipaka yao na hata Kuwafanya DC's wajione wako juu ya RC's wao na wakati mwingine hata 'wakidharauliana' pia.
Sawa DC's wote mmeteuliwa na Mheshimiwa Rais lakini 'Kudadadeki' zenu wote ( nyote ) kuanzia Kesho 'mtaapa' mbele ya RC's sasa ole wenu mkiwa huko mjifanye mpo juu yao au muanze kuwa 'Masnichi' na Kuwapikia 'Majungu' kwa Mama ili 'watumbuliwe' na mpandishwe Vyeo hivyo nyie.
Oya DC mpya wa Siha leo 'Gambe' wapi?
Nimejulishwa kuwa kuanzia sasa ( Awamu ya Mama japo ya Hayati ilijaribu ila ikatoweka ghafla ) ni kwamba ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri, Mabalozi, Wakuu wa Idara Nyeti na Wakuu wa Mikoa tu ndiyo watakuwa wanaapishwa na Rais akiwa mbele yao.
Kuanzia Wakuu wa Wilaya, DED na DAS sasa watakuwa wanaapishwa na Wakuu wa Mikoo tu huko ambako wamepangiwa baada ya Kuteuliwa.
Napongeza sana hatua hii ( Maamuzi haya ) kwani kwa Mtazamo wangu GENTAMYCINE nilikuwa naona 'Wateuliwaji' wote hawa ( hasa RC' na DC's ) Kuapishwa na Mheshimiwa Rais ilikuwa ni kutowapa Mipaka yao na hata Kuwafanya DC's wajione wako juu ya RC's wao na wakati mwingine hata 'wakidharauliana' pia.
Sawa DC's wote mmeteuliwa na Mheshimiwa Rais lakini 'Kudadadeki' zenu wote ( nyote ) kuanzia Kesho 'mtaapa' mbele ya RC's sasa ole wenu mkiwa huko mjifanye mpo juu yao au muanze kuwa 'Masnichi' na Kuwapikia 'Majungu' kwa Mama ili 'watumbuliwe' na mpandishwe Vyeo hivyo nyie.
Oya DC mpya wa Siha leo 'Gambe' wapi?
Ila nakomaa Kibishi tu Mkuu wangu Ok?Mdogo wangu hapa umechemka
Acha Kunilazimisha nikubali Kushindwa.Mjadala tuufunge. Mkuu GENTAMYCINE ameshaelewa.
Ahahahahahahahajah! Eti kaleta jambo jipya! Ahahahahahahah!Mbona ndivyo ilivyo siku zote
Kwani unafikiri nani alimwapisha kiwa DC?Uamuzi mzuri sana, Nawaza Sabaya na Kiburi chake cha "uandakava"feki angeapa kwa mama mghwira kweli, ?
Bora hata JOJO amepelekwa Dar apate mwanaueme aise, maana uzazi kwa wanawake unakoma miaka ikifika 40, sasa ana miaka 35 hana hata mchumba.
Sasa kama umejua siyo Jambo jipya Kwako kwanini umepoteza muda wako kuja Kuchangia na Kucheka 'Kimalaya' hivi kana kwamba ndiyo umetoka zako 'Kukazwa' kwa 'Kishindo' hapo Makao Makuu yenu Sinza Afrika Sana?Ahahahahahahahajah! Eti kaleta jambo jipya! Ahahahahahahah!
Sawa papaa, mutu ya sifa.Acha Kunilazimisha nikubali Kushindwa.
Wewe umezuiwa kuwa na hizo Sifa pia?Sawa papaa, mutu ya sifa.
Ila kiukweli kweli Uzi wako huu UMEJIAIBISHA SANA! Kumbe hujui kitu halafu mjuaaaaaji! Ahahahahahahaj! Pole sana ila umechemka!!!Sasa kama umejua siyo Jambo jipya Kwako kwanini umepoteza muda wako kuja Kuchangia na Kucheka 'Kimalaya' hivi kana kwamba ndiyo umetoka zako 'Kukazwa' kwa 'Kishindo' hapo Makao Makuu yenu Sinza Afrika Sana?
Mbona watu mnapenda sana kupotosha ukweli?Hawa wakuu wa wilaya ,nimeshashuhudia mara nyingi wakiapishwa na wakuu wa mikoa.Na ndio utaratibu .Leo ndugu unaibuka na uzi ,wa uongo eti walikuwa wanaapishwa na Rais.Ebu achane kuichafua JF,kuwa haina watu makini.Moderator ondoa uzi huu,ni uongo mtupu hapa.Mara nyingi kwa Hayati Dkt. JPM Yeye 'Shoo' zote hizo alikuwa anazisimamia Mwenyewe Ikulu na akimaliza 'Kuwaapisha' anaanza Kuwananga ( Kuwasema ) huku akiwapiga mno 'Mikwara' yake Mbuzi.
Nimejiabisha nilipojiunga JamiiForums mwaka 2013 nilikuambia kuwa nakuja hapa kutafuta Kutokuaibika?Ila kiukweli kweli Uzi wako huu UMEJIAIBISHA SANA! Kumbe hujui kitu halafu mjuaaaaaji! Ahahahahahahaj! Pole sana ila umechemka!!!
Unachofanya kwa Kiinglishi inaitwa, "Trying to save face!" Ahahahahahahah!!!Nimejiabisha nilipojiunga JamiiForums mwaka 2013 nilikuambia kuwa nakuja hapa kutafuta Kutokuaibika?
Mbona Wewe unajiaibisha kwa 'Kutinduliwa' hovyo kwa 'Udangaji' wako Uliotukuka na wala hushangai / hujishangai?
Pumbavu.
Nebuchadnezzar in his best days!Mghwira leo amemuapisha Mkuu mpya wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya katika hafla fupi ya kuapishwa kwa mteule huyo wa Rais Magufuli katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro na kuhudhuliwa na viongozi mbalimbali wakiwemo wakuu wa wilaya za mkoa wa Kilimanjaro,Wakurugenzi,Makatibu tawala wa wilaya, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa pamoja na ndugu na marafiki wa mkuu huyo mpya wa wilaya ya Hai.
View attachment 1824305
Peleka swali watoto wa cheechea.Kwani unafikiri nani alimwapisha kiwa DC?
Mimi nawaomba Moderators wasiutoe ( wasiufute ) huu Uzi ili unisaidie kujua mengi yakiwemo hata ya Kuwajua 'Wapuuzi' kama Wewe na Wenzako mliojazana katika huu huu Uzi wangu.Mbona watu mnapenda sana kupotosha ukweli?Hawa wakuu wa wilaya ,nimeshashuhudia mara nyingi wakiapishwa na wakuu wa mikoa.Na ndio utaratibu .Leo ndugu unaibuka na uzi ,wa uongo eti walikuwa wanaapishwa na Rais.Ebu achane kuichafua JF,kuwa haina watu makini.Moderator ondoa uzi huu,ni uongo mtupu hapa.
Nawe Mchangiaji ni ' Juha ' wa Kitambo.Huyu mtoa mada ni mtoto wa juzi
MATAGA wapogo tu, vumilia my dearMimi nawaomba Moderators wasiutoe ( wasiufute ) huu Uzi ili unisaidie kujua mengi yakiwemo hata ya Kuwajua 'Wapuuzi' kama Wewe na Wenzako mliojazana katika huu huu Uzi wangu.