Nimeufurahia utaratibu wa kuwaapisha wateule wa Rais; utaleta heshima na kutodharauliana

Achana nao
99.9% ya 'Wanaonichukia' hapa JamiiForums ndiyo 24/7 wakiingia tu Mitandaoni ni lazima tu ama watafungua 'threads' zangu na watafuatilia nimechangia nini Kwingineko.

Na ndiyo maana huwa nawasanifu na ninawadharau sana tu. Hivi 'Logically' Mtu ( Member ) usiyempenda ( usiyemkubali ) hapa JamiiForums unaweza kupoteza muda wako Kumfuatilia kila Uchao?
 
Ahaaa

 
Uamuzi mzuri sana, Nawaza Sabaya na Kiburi chake cha "uandakava"feki angeapa kwa mama mghwira kweli, ?
Bora hata JOJO amepelekwa Dar apate mwanaueme aise, maana uzazi kwa wanawake unakoma miaka ikifika 40, sasa ana miaka 35 hana hata mchumba.
Kwani unafikiri nani alimwapisha kiwa DC?
 
Ahahahahahahahajah! Eti kaleta jambo jipya! Ahahahahahahah!
Sasa kama umejua siyo Jambo jipya Kwako kwanini umepoteza muda wako kuja Kuchangia na Kucheka 'Kimalaya' hivi kana kwamba ndiyo umetoka zako 'Kukazwa' kwa 'Kishindo' hapo Makao Makuu yenu Sinza Afrika Sana?
 
Sasa kama umejua siyo Jambo jipya Kwako kwanini umepoteza muda wako kuja Kuchangia na Kucheka 'Kimalaya' hivi kana kwamba ndiyo umetoka zako 'Kukazwa' kwa 'Kishindo' hapo Makao Makuu yenu Sinza Afrika Sana?
Ila kiukweli kweli Uzi wako huu UMEJIAIBISHA SANA! Kumbe hujui kitu halafu mjuaaaaaji! Ahahahahahahaj! Pole sana ila umechemka!!!
 
Mara nyingi kwa Hayati Dkt. JPM Yeye 'Shoo' zote hizo alikuwa anazisimamia Mwenyewe Ikulu na akimaliza 'Kuwaapisha' anaanza Kuwananga ( Kuwasema ) huku akiwapiga mno 'Mikwara' yake Mbuzi.
Mbona watu mnapenda sana kupotosha ukweli?Hawa wakuu wa wilaya ,nimeshashuhudia mara nyingi wakiapishwa na wakuu wa mikoa.Na ndio utaratibu .Leo ndugu unaibuka na uzi ,wa uongo eti walikuwa wanaapishwa na Rais.Ebu achane kuichafua JF,kuwa haina watu makini.Moderator ondoa uzi huu,ni uongo mtupu hapa.
 
Ila kiukweli kweli Uzi wako huu UMEJIAIBISHA SANA! Kumbe hujui kitu halafu mjuaaaaaji! Ahahahahahahaj! Pole sana ila umechemka!!!
Nimejiabisha nilipojiunga JamiiForums mwaka 2013 nilikuambia kuwa nakuja hapa kutafuta Kutokuaibika?

Mbona Wewe unajiaibisha kwa 'Kutinduliwa' hovyo kwa 'Udangaji' wako Uliotukuka na wala hushangai / hujishangai?

Pumbavu.
 
Nimejiabisha nilipojiunga JamiiForums mwaka 2013 nilikuambia kuwa nakuja hapa kutafuta Kutokuaibika?

Mbona Wewe unajiaibisha kwa 'Kutinduliwa' hovyo kwa 'Udangaji' wako Uliotukuka na wala hushangai / hujishangai?

Pumbavu.
Unachofanya kwa Kiinglishi inaitwa, "Trying to save face!" Ahahahahahahah!!!
 
Nebuchadnezzar in his best days!
 
Mimi nawaomba Moderators wasiutoe ( wasiufute ) huu Uzi ili unisaidie kujua mengi yakiwemo hata ya Kuwajua 'Wapuuzi' kama Wewe na Wenzako mliojazana katika huu huu Uzi wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…