Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kuhusu ujauzito hakuna shidaKwa nini umewaza mavazi ?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu ujauzito hakuna shidaKwa nini umewaza mavazi ?.
nimekupa like kwa hapo "nani asiyezini"Ndoa inafungishwa tu nani asiyezini.
Tatizo hiyo nguo aliyovaa ni ushamba na ujinga kuvaa hivyo hadhatani
Acha kabisa umesema bibi angu vipi dada yako akizeeka afadhari hata na bibi yangu maana rangi ya ngozi yake itakuwa kama kababuliwa na radi kwa mikorogo anayotumia sasa.Angalia picha ya bibi yako hakuna tofauti na nyani sasa watoto wa siku hizi wanatamanisha sana
Sheikh, twende taratibu.Laanatuulaaaay , Inalilayhi
Watoto ni baraka, ukiishi kwa kutazama macho ya watu, ni vigumu kufanikiwa; kwa sababu hata ukiugua hawatakununulia panado.Unatengeneza jamii ya aina gani kuanzia hapo, mfumo wa maisha ya kutiana mimba kisha mnaenda kufunga NDOA unaona ni sahihi kisa hakuna mkamilifu chini jua..?