Pole yako.Wajameni Dunia hii Ina mengi sana, nimekutana na mfadhaiko mkubwa sana.
Iko hivi katika pitapita zangu nimekutana na msela wangu akiwa na mademu watatu, sasa baada ya kuwajoin kuna story za maisha ya hao mademu besties wa msela kumbe wamesoma pamoja Olevel, na chuo cha Ualim...
Yeah me walinipanga kweli wanampga vita mwenzao alafu mwisho wa siku walivyoona kama siwasikilizi mmoja wao akaja kunifungukia bhn hadi nikajiuliza maneno yote yale mbona hakuongea mapema?Good, kama ulikuwa kwenye akili yangu. Wanawake hatupendani
Nakazia[emoji28]Endelea kunywa zikipanda uramtafuta tumuombe msamaha
Hii IPO Sana,hasa binti akiwa mrembo kupitiliza[emoji4]Kuna kidemu nilikuwa nacho kila muda tulikuwa tunapishana kauli maana kinapenda sana kusikiliza ushauri wa marafiki na watu hata wasiojua mahusiano yake yakoje
Boss usiwaamini sana hao wanaokwambia katoa hzo mimba mfatilie we mwenyewe adui wa mwanamke ni mwanamke kuna mpenzi nilikuwaga nae alikuwa anaongelewa vby kitaani ana masela wengi hata madem wenzake walikuwa wananiambia kuwa hapo sipo ila ukweli nilimkuta bikra 😀 Nakushauri tu usimuhukumu kwa hayo uloambiwa yapo mengi ya kujiaminisha kabla ya maneno ya kuambiwa
nikutakie utekelezaji mwema
Sana yan hapo ndo naamini wanawake hawapendani wanajiuliza kwanin uende kwake sio kwao 😀Hii IPO Sana,hasa binti akiwa mrembo kupitiliza[emoji4]
Fuatilia vizuri inaweza ikawa ni 150 , hiyo 15 ni chache mno kwa mwenye chini ya mia30.Wajameni Dunia hii Ina mengi sana, nimekutana na mfadhaiko mkubwa sana.
Iko hivi katika pitapita zangu nimekutana na msela wangu akiwa na mademu watatu, sasa baada ya kuwajoin kuna story za maisha ya hao mademu besties wa msela kumbe wamesoma pamoja Olevel, na chuo cha Ualimu.
Sasa bhana mie pia najua demu wangu kasoma chuo hicho kumbe hao mademu wamesoma nae, nikamtaja majina yake.
Dadeki kuna mmoja alikuwa tayari yuko vibes na vyombo bia zimekolea si karopokwa aaha huyo si Witness tena yeye ni dotto wako mapacha huyo alikuwa
kiranja wa kutoa mimba, yule hadi tunamaliza chuo alishatoa mimba 12 na baada ya chuo nina uhakika pia alitoa mimba 3.
Baada ya hapo sina mawasiliano nae ila alivyoroporopo kama mimi nikionana nae au nikimcheki kwenye simu nikimuuliza kuhusu michongo ya kusimamia shoo za kukataa kuzaa atasema tu hana kaba yule.
Nimevurugwa baada ya hapo sikuaga nikasepa nikaenda kula Guinness stout, nikajikuta niko na demu wa kaunta bar moja maarufu hapa Dodoma.
Usiombe yaliyo nikuta yakukute.
Kuna mademu ni maninja sina hamu nimevurugwa sana.
Dunia bado ipo sana hofu ni kwetu sisi walimwengu.
Am disillusioned really.
Wadiz now chopped off.