Nimeumia sana Iran kufungwa na USA na kutolewa

Nimeumia sana Iran kufungwa na USA na kutolewa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Kwa jana match ambayo ilikuwa kwangu muhimu sana ilikuwa ya Iran vs USA hii nliitamani sana. Ilikuwa match yenye mvuto wa peke yake kwetu sisi wapenzi wa Iran.

Nlifuatilia kwenye vyombo vya habari huko nje. Tension ilikuwa kubwa sana na Iran walijipanga kupata siku ya mapumziko kama wangeishinda USA jana na kuifungasha virago.

Matokeo yalikuwa yakikatili sana. Ilikuwa pambano kama la imani mbili tofauti zenye ukinzani. Sielewi tulishindwa wapi maana tuliwasaka sana USA. mbaya zaidi jamaa anayejiita Christian ndiye alizamisha jahazi letu.

Upinzani wa USA vs Iran unaanzia nje kabisa ya Uwanja. Iran tunaamini Usa ndiyo wanasababisha vita huku kwetu jana tulitamani sana kuwachapa. Mpira ni mchezo katili sana.
 
Eeeh Chizi maarifa, pole mzee mwenzangu.😅
 
wachezaji wasijifanye kusikitishwa na matokeo ya kufungwa... walisaliti nchi yao kwa kutoimba wimbo wa taifa lao siku ya kwanza ya mashindano...
 
kama na muona akisubiri kutoa taamko


IMG_0157.jpg
 
Marekani wana historian ya kuingiaga robo fainali.Sasa hawa Iran Tia maji Tia maji.
 
Wamwboa sana hawa iran...yaani kipindi cha kwanza wanaruka ruka tuu. Walishaweka bao ndio wanaanza kucheza....wacha wakalale
 
wachezaji wasijifanye kusikitishwa na matokeo ya kufungwa... walisaliti nchi yao kwa kutoimba wimbo wa taifa lao siku ya kwanza ya mashindano...
Hiii sielewi ilikuaje. Kutakuwa na hujuma kutoka kwa mabeberu ...washenzi wale.
 
Kwa jana match ambayo ilikuwa kwangu muhimu sana ilikuwa ya Iran vs USA hii nliitamani sana. Ilikuwa match yenye mvuto wa peke yake kwetu sisi wapenzi wa Iran.

Nlifuatilia kwenye vyombo vya habari huko nje. Tension ilikuwa kubwa sana na Iran walijipanga kupata siku ya mapumziko kama wangeishinda USA jana na kuifungasha virago.

Matokeo yalikuwa yakikatili sana. Ilikuwa pambano kama la imani mbili tofauti zenye ukinzani. Sielewi tulishindwa wapi maana tuliwasaka sana USA. mbaya zaidi jamaa anayejiita Christian ndiye alizamisha jahazi letu.

Upinzani wa USA vs Iran unaanzia nje kabisa ya Uwanja. Iran tunaamini Usa ndiyo wanasababisha vita huku kwetu jana tulitamani sana kuwachapa. Mpira ni mchezo katili sana.
Sio kwa sababu mkeka wako umechanika!?
 
Back
Top Bottom