Nimeumia sana kuona mke wa mtu anazini ndani ya usafiri wa umma, tena akiwa na mtoto mdogo

Nimeumia sana kuona mke wa mtu anazini ndani ya usafiri wa umma, tena akiwa na mtoto mdogo

Aah ishawai nitokea

Nilikua natokea Dar naenda Dom nilipanda gari la Shabiby lile la mchana yaan saa 7

Tumefika moro saa 10 sijui saa kumi sijui kumi na moja yule jirni yangu alishuka akapanda mbaba mmoja hivj na kibegi chake cha kiofisi sijui anaelekea wapi sikutaka kumuuliza sana tumekaa kagiza hako kakaanza

Yule mbaba it was like ananipapasa kwa mapaja nikasogeza mguu yaani kuibana miguu miwili, likanisogelea ilikua ni ngumu kutoka hapa asingekua yule konda kuwasha taa 😂😂😂😂 sijui ingekuaje

Alivowasha nilihama hio seat cuz watu walikua washaanza kushukashuka af nashukuru nilivaa suruali

Kutokea hapo sipendi kusafiri mchana yaani ka nina safari basi nitatafta gari la asubui mno
p2k
 
Aah ishawai nitokea

Nilikua natokea Dar naenda Dom nilipanda gari la Shabiby lile la mchana yaan saa 7

Tumefika moro saa 10 sijui saa kumi sijui kumi na moja yule jirni yangu alishuka akapanda mbaba mmoja hivj na kibegi chake cha kiofisi sijui anaelekea wapi sikutaka kumuuliza sana tumekaa kagiza hako kakaanza

Yule mbaba it was like ananipapasa kwa mapaja nikasogeza mguu yaani kuibana miguu miwili, likanisogelea ilikua ni ngumu kutoka hapa asingekua yule konda kuwasha taa 😂😂😂😂 sijui ingekuaje

Alivowasha nilihama hio seat cuz watu walikua washaanza kushukashuka af nashukuru nilivaa suruali

Kutokea hapo sipendi kusafiri mchana yaani ka nina safari basi nitatafta gari la asubui mno
p2k
Alitaka kula kimasihara
 
Aah ishawai nitokea

Nilikua natokea Dar naenda Dom nilipanda gari la Shabiby lile la mchana yaan saa 7

Tumefika moro saa 10 sijui saa kumi sijui kumi na moja yule jirni yangu alishuka akapanda mbaba mmoja hivj na kibegi chake cha kiofisi sijui anaelekea wapi sikutaka kumuuliza sana tumekaa kagiza hako kakaanza

Yule mbaba it was like ananipapasa kwa mapaja nikasogeza mguu yaani kuibana miguu miwili, likanisogelea ilikua ni ngumu kutoka hapa asingekua yule konda kuwasha taa 😂😂😂😂 sijui ingekuaje

Alivowasha nilihama hio seat cuz watu walikua washaanza kushukashuka af nashukuru nilivaa suruali

Kutokea hapo sipendi kusafiri mchana yaani ka nina safari basi nitatafta gari la asubui mno
p2k
mwenzako aliliwa bhana..........mimi nikishuhudia......ahaaa
 
Back
Top Bottom