KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Nimeumia sana kuona mchezaji (Mshambuliaji)wangu ndani ya kikosi changu cha Msimbazi KOPE MUSHIMBA MUGALU akibezwa na baadhi ya mashabiki wasiojielewa.
Nani hajui mziki wa huyu jamaa?
Nani hajui mchango wake kimataifa?
Kwanini hamtaki kumpa hadhi yake huyu mkongomani?
Bila shaka hiyo ni kampeni ya wanayanga maana wanamuogopa sana (wakikumbuka vile visigino) wanadhani kwa kufanya hivyo ataondoka. Bado yupo sana na andaeni dawa za maumivu sasa hivi yupo fit hana injury wala nini dadadekiii.
Simba wenzangu tuungane kutetea wachezaji wetu hasa MUGALU NA KAGERE wanaoonekana kubezwa (kuogopwa)na wapinzani wetu.
SIMBA NGUVU MOJA.
Nani hajui mziki wa huyu jamaa?
Nani hajui mchango wake kimataifa?
Kwanini hamtaki kumpa hadhi yake huyu mkongomani?
Bila shaka hiyo ni kampeni ya wanayanga maana wanamuogopa sana (wakikumbuka vile visigino) wanadhani kwa kufanya hivyo ataondoka. Bado yupo sana na andaeni dawa za maumivu sasa hivi yupo fit hana injury wala nini dadadekiii.
Simba wenzangu tuungane kutetea wachezaji wetu hasa MUGALU NA KAGERE wanaoonekana kubezwa (kuogopwa)na wapinzani wetu.
SIMBA NGUVU MOJA.