cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kwenda hukooooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]This is Simba brother
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda hukooooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]This is Simba brother
Yaan hata sijawahi kumuelewa Mugalu huu msimu kabisaa.Halafu sijui anafanyaga kusudi mechi n mechi? Kuna mudq yupo na keeper ila anabutua nje au utopolo yanalogaga??
Ngoja tuone ujaoYaan hata sijawahi kumuelewa Mugalu huu msimu kabisaa.
Kwani hao wachezaji wamecheza misimu mingapi hapa bongo?.au unasahau ni msimu wa juzi tu mugalu kidogo awe mfungaji bora akakosa kwasababu ya penat aliyopata boko.Je hao unaowataja wameshakua majeruhi kiwango sawa na mugalu?.Mpira wa afrika unachangamoto zake mbali mbali kwahiyo kubeza mchezaji wakati mwingine ni ushamba tu wamashabiki wakibongo.msimu mzima unasema kipindi kifupi,unaumwa wewe. mara ngapi Sakho na Banda hawakuwa vizuri kwa hicho kipindi kifupi. Kuna mwenye shida nao? ni kwa sababu walishuka kipindi na sio msimu mzima
Sijui.Ngoja tuone ujao
Asante sana hope amekuelewaKwani hao wachezaji wamecheza misimu mingapi hapa bongo?.au unasahau ni msimu wa juzi tu mugalu kidogo awe mfungaji bora akakosa kwasababu ya penat aliyopata boko.Je hao unaowataja wameshakua majeruhi kiwango sawa na mugalu?.Mpira wa afrika unachangamoto zake mbali mbali kwahiyo kubeza mchezaji wakati mwingine ni ushamba tu wamashabiki wakibongo.
Punguza makasiriko yatakwisha tuMie nikimuona Mugalu napatwa na hasiraa, hata kumsikia sitaki kabisaaaa., ananikeraaa hadi bas. Aaaah
Khaaaaah