Nimeumia sana kuona Mushimba Mugalu akibezwa na baadhi ya mashabiki

Nimeumia sana kuona Mushimba Mugalu akibezwa na baadhi ya mashabiki

Mugalu na Kagere waendelee kuwepo kwenye timu coz ni wachezaji wazuri saa na wana potential kubwa ndani ya kikosi

Mm nafikiri simba kwasasa usajili umetosha,kwa wachezaji tuliongeza wanatosha sana na hakuna haja ya kusajili tena

Kaondoka Bwalya,Morrison na Wawa na mbadala wao amekuwa ni Akpan,Okrah na Phiri

Sifikirii kama kuna haja ya kuwa na centre defender 3 wa kimataifa ni bora tuwe na washambuliaji 3 wa kimataifa
Upo sahihi mkuu,One team one dream.
 
Yaan huyu mjinga unaemtetea hapa kama ungeona kosa alilofanya ktk mechi na Orlando hakika huyu nguchiro hastahiki tena kucheza Simba
Leta ushahidi?Ni ww tu humu hujui kama mimi ni mwanasimba damu damu tena team Mugalu.
 
Mimi mwenyewe nawashangaa sana
The animal bull striker huyu ni moja ya wachezaji ambao dunia inasimama anapocheza pale kwetu bunju.

Lakini hili mashabiki wenzangu wa simba hili hawalioni..
Hata kocha Pitso juzi alisema anatamani sana kufanya kazi na mugalu shida bei yake ni kubwa kuliko hata mshahara wa Messi pale psg..
 
Yaan huyu mjinga unaemtetea hapa kama ungeona kosa alilofanya ktk mechi na Orlando hakika huyu nguchiro hastahiki tena kucheza Simba
Huyu ni shabiki wa Utopoloo, yupo hapa kutupiga madongo, achana nae.
 
Mimi mwenyewe nawashangaa sana
The animal bull striker huyu ni moja ya wachezaji ambao dunia inasimama anapocheza pale kwetu bunju.

Lakini hili mashabiki wenzangu wa simba hili hawalioni..
Hata kocha Pitso juzi alisema anatamani sana kufanya kazi na mugalu shida bei yake ni kubwa kuliko hata mshahara wa Messi pale psg..
Asante sana mkuu.Tuungane kusema mazuri yake ambayo yanafichwa na wabaya wetu (YANGA)
 
Ww ndo unawalipa mshahara?Unaweza kumlipa mtu mihela kibao ukiwa huoni umhimu wake?Unajua mpira (Ufundi)kuliko jopo la makocha wa Simba?Kaa kwa kutulia Mugalu ni bonge la striker
mpira sio kama mapenzi yanayochezwa gizani.soka ni hadharani. Mbona fans hawahataka Sakho au Inonga aondoke?
 
Mie nikimuona Mugalu napatwa na hasiraa, hata kumsikia sitaki kabisaaaa., ananikeraaa hadi bas. Aaaah
Halafu sijui anafanyaga kusudi mechi n mechi? Kuna mudq yupo na keeper ila anabutua nje au utopolo yanalogaga??
 
mpira sio kama mapenzi yanayochezwa gizani.soka ni hadharani. Mbona fans hawahataka Sakho au Inonga aondoke?
Hujui kuna kipindi (kifupi)kila mchezaji lazima ashuke kiwango?Kipindi hicho klabu ikisema isisitishe mikataba yao itasitisha mingapi?Hela atalipa nani?Hao akina Inonga msimu mzma wamekuwa na viwango bora?

Tufikiri vizuri jamani
 
Hujui kuna kipindi (kifupi)kila mchezaji lazima ashuke kiwango?Kipindi hicho klabu ikisema isisitishe mikataba yao itasitisha mingapi?Hela atalipa nani?Hao akina Inonga msimu mzma wamekuwa na viwango bora?

Tufikiri vizuri jamani
msimu mzima unasema kipindi kifupi,unaumwa wewe. mara ngapi Sakho na Banda hawakuwa vizuri kwa hicho kipindi kifupi. Kuna mwenye shida nao? ni kwa sababu walishuka kipindi na sio msimu mzima
 
msimu mzima unasema kipindi kifupi,unaumwa wewe. mara ngapi Sakho na Banda hawakuwa vizuri kwa hicho kipindi kifupi. Kuna mwenye shida nao? ni kwa sababu walishuka kipindi na sio msimu mzima
Ninachokuhakikishia tu ni kwamba ipo siku utamuelewa MUGALU na haendi popote.
 
Back
Top Bottom