Nimeumia sana na sijafurahishwa na ushindi wa Tundu Lissu

Mashine ya umbea unakumbuka ulijiapiza mara mia kuwa Lissu hawezi kuchaguliwa? Jaribu kupunguza ujuaji na weka akiba ya maneno
 

Attachments

  • FB_IMG_1737555749105~3.jpg
    32.3 KB · Views: 2
Wajumbe wa chadema ni watu wema sana sana, wamekula fedha za kizimkazi na kura wakamnyima....!

Siyo kama wale viwavi jeshi ambao wanaswagwa tu kama kondoo.
 
Pamoja na Mbowe kushindwa, hizo kura zake sijui kama ni za kweli. Uhalali halisi ungekuwepo huenda angepata robo ya kura za Lissu.
Mbowe alikusudia kushinda. Lissu 513. Mbowe 482 siyo mchezo TOFAUTI YA KAMA KURA 30+. Ndo maana Boni alikuwa haelewi kabisa MAKOSA YA KIUFUNDI YALIFANYIKA WAPI. Sema Lissu ana Mungu.
 
😲😲😲
 
Wajumbe mliotuletea LISSU na HECHE chukueni maua yenu.
💐💐💐💐💐💐💐💐💐🌻💐🌸🌸💐🌸💐🪷🪷🏵🌹🥀🌹🌺🌻🌼🌷🪻⚘️💐💐💐🌻🌻🌻🌻🌻🌻🌻🌻🌼🌻🌸🌸💐🌸💐🌸💐🪷🏵🪷🪷🏵🌹🥀🌺🌺🌺🌻🌻🪻🪻🪻⚘️🌷⚘️🌷🪻⚘️🪻🌷🪻⚘️🌷🌷🌷🪻⚘️🪻🌷🪻🪻⚘️🪻🌷🌺🌺🌼🌷🪻🌷🪻⚘️🌷🪻⚘️🌸🪷🌼💐🌸💐💐💐💐💐💐💐🌻🌻🌻🌻🌻🌸🌸🌼🌸🌺🌺💐🌸🪻🌷🪻⚘️🌷🪻🌹🥀💐💐🌻🌼🌼🌼🌼🌻🌻🌻🌻🌻🌺🌺🌺🪷💮🌸🪷🌸💐🪷🏵🪷🏵🌹🥀🏵💐💐💐💐🌸🌸🪷🏵🌹🏵🌹🥀🌺🌺🪷🏵🪷🌸🌸🌸

PEOPLE'S POWER!!!!!!!✌️✌️✌️ NO HATE NO FEAR!!
 
Tulia wewe hii nchi ikiondoka mikononi mwa ccm itabidi yajengwe magereza mapya hata matatu, maana wako wengi sana wa kijani wa kufia jela. List ni ndefu
 
Nyang',au! Kwani mahakama hazipo ,a kumshtaki Kwa makosa hayo? Matakataka Yako Yote uliyokesha ukiandika yaneleta impact zero tena sifuri na CHADEMA Inaenda kuwa mpya kuliko zamani! Nyang'au
CHADEMA inakwenda kusambaratisha
 
Mtajutia uamuzi wenu huo wa Mihemuko.
 
Jinyonge ufe nguruwe wa kijani wewe, usiku kucha umebubujikwa na uharo wa rangi ya kijani.
 
CHama kinaenda kufa , kuendesha chama kinahitaji fedha.

Mbowe kashaachana nacho anaenda kusimamai biashara zake.

Mbowe alikuwa anawawezesha baadhi ya makada kufanya siasa ila mnyaturu hawezi ,wengi watakimbia.
Wishful thinking muulize mama Abdul kama CHADEMA kinaenda kufa, after all CCM furahini maana hakuwa mwanachadema mwenye mawazo ya kichawi kama haya
 
Wewe si ulikuwa unasema Mbowe amekaa miaka mingi, haya sasa usiyempenda kaja mnaanza vituko vyenu
 
Kura yangu ni kwa lissu, huyo mwizi mwenziye muuza rasilimali za nchi kwa wajomba zake akae pembeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…