Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #141
Nimeelezea wazi kabisa sababu ya kumchukiaHivi binadamu timamu anawezaje kutofurahishwa na mtu sababu ya mdomo wa mtu!!??
Wewe si una mdomo wako!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeelezea wazi kabisa sababu ya kumchukiaHivi binadamu timamu anawezaje kutofurahishwa na mtu sababu ya mdomo wa mtu!!??
Wewe si una mdomo wako!!??
Sikuwa chawa bali nilikuwa nawaelezeni ukweliNdio maana ulikuwa Chawa wa Mbowe
Ujinga tu ndio unakusumbuaNijinyonge wakati nasherehekea wewe wa wapi wewe mbwiga? Wa kujinyonga wewe uliyeumia hadi ukaingia kwenye siku zako umeharisha hadi umetokwa na mgoro.
Sasa mimi na wewe nani mjinga,unaumia na mambo ya chama kisichokuhusu hadi unaugua huo ni upumbavu kabisa.Ujinga tu ndio unakusumbua
Hili ni taahira kabisa yaani babake aliuza mbuzi kusomesha ndeziUmeandika ujinga mpaka nimeshindwa kumalizia HUNA AKILI
Umeshasikia nikiumwa kwa ajili ya maujinga ya CCM?Wewe ndiye mjinga siku zote
Na ruzuku je?,.SI watatumia ruzuku?CHama kinaenda kufa , kuendesha chama kinahitaji fedha.
Mbowe kashaachana nacho anaenda kusimamai biashara zake.
Mbowe alikuwa anawawezesha baadhi ya makada kufanya siasa ila mnyaturu hawezi ,wengi watakimbia.
Miaka 80 na hekima hakuna, hajawahi kuonyesha mapungufu ya serikali bali kusifia na kutetea CCM hawezi kuiga kwa wazee wenye hekima kama WariobaAnamiaka 80 kweli ccm bure kabisa😁😁😁😁
Kama wewe ulivyosambaratishwa huko sehemu sehemuCHADEMA inakwenda kusambaratisha
Mkuu unachekesha sana ,ruzuku wanayopata kwa sasa ni 107m ambayo hata haitoshi tu kuhudimia makao makuu na hiyo ruzuku mwisho October maana uchaguzi wa 2025 wanapigwa tena za USO, Uchaguzi wa serikali za mitaa umeona.Na ruzuku je?,.SI watatumia ruzuku?
Muache kuua na kuteka ili Lissu asipate la kuropoka wajinga nyieMtajutia uamuzi wenu huo wa Mihemuko.
Bado hujasema vizuriWajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA hawana tofauti na wayahudi walioona ni bora mhalifu Baraba aachiwe ili Messiah Yesu asulubiwe. Watajutia mno.
Chama kinaenseshwa na Wanachama sio Mtu mmojaCHama kinaenda kufa , kuendesha chama kinahitaji fedha.
Mbowe kashaachana nacho anaenda kusimamai biashara zake.
Mbowe alikuwa anawawezesha baadhi ya makada kufanya siasa ila mnyaturu hawezi ,wengi watakimbia.
Ana wingi wa hormones za kike hilo ndilo tatizo lakeHivi binadamu timamu anawezaje kutofurahishwa na mtu sababu ya mdomo wa mtu!!??
Wewe si una mdomo wako!!??
AaCHama kinaenda kufa , kuendesha chama kinahitaji fedha.
Mbowe kashaachana nacho anaenda kusimamai biashara zake.
Mbowe alikuwa anawawezesha baadhi ya makada kufanya siasa ila mnyaturu hawezi ,wengi watakimbia.