Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Mwaka huu tunataka kutoa mchangoSawa Mkuu nitajitahidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu tunataka kutoa mchangoSawa Mkuu nitajitahidi
Tena wewe utapata card ya VIPMwaka huu tunataka kutoa mchango
Sawa...na kwny kamati ntakuwepoTena wewe utapata card ya VIP
kaka huyu alipiga kavu.....I just hope ulitumia kinga.
Ndio mkuuSawa...na kwny kamati ntakuwepo
Ikizidi mwaka huu usinishirikisheNdio mkuu
Nimependa kingereza chako.. sio cha kuunga unga..Duh, the perks of letting the small head rule the big one! Enewei..............................
Mkuu ukienda job just pretend like nothing happened! . Do not allow miss E any air time to reminisce about the encounter nor the any of your escapades. Be the same but slighty different. i.e. Maintain a friendly and courteous demeanor but ensure you keep all your interactions and "convos" within a professional line.
Dah kazi IPO... Ngoja nipambaneIkizidi mwaka huu usinishirikishe
Dah Kazi IPO... Ngoja nipambaneIkizidi mwaka huu usinishirikishe
Pambana una miezi 11Dah kazi IPO... Ngoja nipambane
Wanaume hatutakagi ujingaDaah!
Mkuu umeipanga stori vizuri kishenzi yaan. Big up endelea kutupa mikasa yako hapa ikikutokea.
Ki ufupi tu ni ulichepuka na mkeo kwa kuwa bado hajajua basi piga kimya songa mbele hayo mambo ya kuteleza yapo.
Pili kuhusu E fanya mpango akuelewe msimamo wako na weka mipaka msije mkarudia tena kwa namna yoyte, japo ningekuwa mimi ndio wewe ningeomba kwanza mechi ya marudio nimuweke E vzuri halafu ndio nimuache moja kwa moja.
Big up kwa stori kali mzee
SawaPambana una miezi 11
nimekosea.yani na uzi umeleta wa kumuomba E msamaha na sio mkeo, alafu unasema unampenda mkeo? i hope utavuna ulichopanda
Ni kweli mkuu nimekutana na mengi lakini sio kumsaliti mke wangu kwa mechi za nje, ukiwa busy sana kiofisi na kuwa serious serious kuna madhara pia.Tujifunze kuwakimbia wanawake na kulinda ndoa zetu maana mwisho wa siku ni kujipa stress. ahsane ndugu kwa story yako inatufundisha mengi. ushauri ni kufanya mpango E ahame ofisi maana mkiendelea kukaa pamoja haya mambo yatajirudia maana ataanza kukukalia vibaya na utaendelea kumtamani na kwa vile umeshanvua chupi itakuwa vigumu kushinda. pili nenda kwa Mungu na kutubu akupe uwezo wa kushinda maana majaribu ya wanawake ni magumu sana kushinda bila uwezo wa Mungu.
Factpole mkuu,E kakuweka kwenye imaya na usipoangalia atakuharibia kabisa,act like a man kuwa sserious hapo ofisini ingawa E atakusumbua sana lengo lake toka mwanzo ni kukumiliki wewe si ajabu badae akaja kuvunja ndoa yako kabisa
I hope u wont let me downSawa