Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Kane hayupo , Sting alienda AEW hayupo WWEHongera. Siku hizi mambo mengi hata wana mieleka wenyewe siwajui tena. Maana sidhani kama kina Kane, Sting na wengine bado wapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kane hayupo , Sting alienda AEW hayupo WWEHongera. Siku hizi mambo mengi hata wana mieleka wenyewe siwajui tena. Maana sidhani kama kina Kane, Sting na wengine bado wapo.
Imebidi ninagalie kuna nini? Sasa wewe na mieleka wapi na wapi?😇😇Usiache kuangalia channel 128 🔥🔥🔥
Jamani nafurahisha macho na napata mbinu za kupigana huku uswaziImebidi ninagalie kuna nini? Sasa wewe na mieleka wapi na wapi?😇😇
Buku mbili tu kwa siku sio hatari sana 😅😅60000 so mchezo
Nilijua ni zile channel za maisha magic sijui kumbe mieleka!Jamani nafurahisha macho na napata mbinu za kupigana huku uswazi
Zile wala sizielewi kabisa. Labda kwa sababu sina muda wa kufuatilia tamthiliaNilijua ni zile channel za maisha magic sijui kumbe mieleka!
Wabongo utawaweza.Mkuu sio tangazo,naongea uhalisia,zamani niliogopa Dstv nilijua hakuna Cha maana,wabongo wana maneno ya kupondea mno
Hahaaa......hapana. Wadau wanasifia wanachotumia.Baada ya kupata hasara naona Multichoice mmekuja na mbinu mpya za marketing
Kila la heri
🤣🤣🤣Hahaaa......hapana. Wadau wanasifia wanachotumia.
Mzee wa kupambania wewe unapambana na Kingamuzi gani?
Nibaki startime au vipi🤔Subiri ofa iishe uijue vizuri utaipenda huwa inafungua channel zilizoboreshwa zaidi
Kama wewe ni akili kubwa na unapendelea kupata vitu vya kulisha ubongo wako, hamia DSTV.Nibaki startime au vipi🤔
10000 na 24000 ila Hilo 24000 burudan ziko nying
Wee mshabiki wa Ronda Rossy sijui Roman nakuona[emoji2089][emoji2089]Usiache kuangalia channel 128 [emoji91][emoji91][emoji91]
Kuna vingamuzi vyao vya demo walikuwa wanawapa wafanyakazi zamani. Kuna vyenye kifurushi za juu zaidi, na vingine vinakuwa na vifurshi vya chini. Ukiwa nacho hulipii. Kuna mdada aliniuzia kitambo kwa 800000 nikakitumia mwaka na mimi nikaja kukiuza nilivyofulia. Mwaka jana nikamcheki akaniambia siku hizi hakunaMiezi 6 duuh watu mna siri nyie me nalipa 105000 kwa mwezi