Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 245
- 457
Demu unajuana naye wiki tu ashaunda group la birthday. Nahisi ni ujanja wa kukusanya vi ten vyetu akale bata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuhizi ndio zimekua sehemu ya kupotezea stress za maisha.Hizi birthday party Nazo,mi zinipite kule Kwa kweli[emoji119]
Nahisi Sina hela ndo maana sizishobokeiSikuhizi ndio zimekua sehemu ya kupotezea stress za maisha.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sijajua lbd n mchezo wa kuwapiga wajinga wachache, imagine akusanye kwa wanaume watano tu si ishakuw 50KAnavikusanya kwako tu au kwa wote?
Mnakusanya kwenye event mnalishwa keki ya ten wanabaki na faida🤣Hizi birthday party Nazo,mi zinipite kule Kwa kweli🙌
Nahisi Kuna kupigwa pia, maan munawekeza kidogo, wao wanapiga parefu, afu wana makundi ya mchongo ya kukusany hela kwenye hizo birthdaySikuhizi ndio zimekua sehemu ya kupotezea stress za maisha.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wapo strategic kuiba hela ovaMsichana hana kazi ya maana anawaza birthday 😂😂
Alafu ndio umtegemee kuwa Mkeo, mama watoto AKA mshauri wako, 😀😀
Sijui unawezaje hata kufikiri ku-date na sampo Kama hiyo
Demu unajuana naye wiki tu ashaunda group la birthday. Nahisi ni ujanja wa kukusanya vi ten vyetu akale bata.
Pole yao sana wanaokutana na hayo maswahiba...Hizi birthday party Nazo,mi zinipite kule Kwa kweli🙌
Hizi sherehe zinatufanya tuonekane malimbukeni,yaan mtu Kwa mwaka unakuta amezaliwa mara 6 na hajishtukii🤣🤣🤸Pole yao sana wanaokutana na hayo maswahiba...
Unakutana na mwanamke leo, anakuambie kesho birthday yake... Hahahaha
Wewe yako lini, maana au hujazaliwa umeshushwa?Hizi sherehe zinatufanya tuonekane malimbukeni,yaan mtu Kwa mwaka unakuta amezaliwa mara 6 na hajishtukii🤣🤣🤸
8/9Wewe yako lini, maana au hujazaliwa umeshushwa?
Unamaanisha tarege 8 mwezi wa 9?
NdiyoUnamaanisha tarege 8 mwezi wa 9?
Date saved...Ndiyo