Nimeutua mzigo mzito jana usiku

U akuwa kwenye mahusiano na pisi kali lakini ukiona simu yake unaogopa ipokea maana unajua hapa nikuombwa hela tuu
 
"Kwasababu wee ni mwanaume." Na utaendekea kuteswa kila siku kisa hio kauli.. hao ulitakiwa uwakane wajilipie hapo
 
Toto bado lipo; na jana tulikuwa naye maeneo fulani, tukimsulubu mbuzi; kweli kuacha mtoto mkali si kazi rahisi 😀😀
 
Unaonekana hauhudhurii vikao vya humu ,mbinu zote za kivita zilishatolewa humu wewe unafeli wapi?, Hukutakiwa kumpiga chini mapema hivi, huyo ungetafuna mpaka ukimbie mwenyewe
Alisharudi kundini, tunaendeleza kama kawaida na ndani ya mwaka huu yuko tayari kubeba ujauzito 😀 😀
 
Kwa maelezo yako tu nimeshajua hadi kabila la huyo slay queen daah pole sana mkuu🤣😂
 
U akuwa kwenye mahusiano na pisi kali lakini ukiona simu yake unaogopa ipokea maana unajua hapa nikuombwa hela tuu
Wanatesa sana, unajua usipomuhudumia kuna baharia atamuhudumia; majuzi nilikuwa na hii pisi maeneo fulani ya starehe, akaja jamaa yake wa zamani mezani, kwa sababu sisi ni watu wazima tukashea abc na kupiga mvinyo na nyama hapo mezani, nikamwambia kwa sasa niko naye, basi ikabidi aangalie mazingira mengine ya kupata mbadala; mbaya zaidi pisi haimtaki.

Kwa sasa nampiga shoo za kibabe za bila huruma, ata akisema leo anaondoka, awe ametumika vizuri, mbaya zaidi amekubali mwaka huu abebe tumbo baada ya kufanikisha kitu fulani (x). Na akishabeba, nakuwa full jeuri.​
 
Mzee ikule hiyo pisi tuu maana ipo siku njemba nyingine nayo itakula
 
"Kwasababu wee ni mwanaume." Na utaendekea kuteswa kila siku kisa hio kauli.. hao ulitakiwa uwakane wajilipie hapo
Kuna shepu ukikutana nazo, lazima uwe mpole tu; ukiona mwanamke anahongwa nyumba, gari, cheo usifikiri mwanaume hakuwa na akili.
 
Tafuta mwanamke umuoe bila hivyo utaendelea kuwa ATM 24 hrs.

Sent from my SM-A530N using JamiiForums mobile app
 
Acha kabisa watu wanakojolea pazuri jamani tusake hela tuu. Imagine sasa unaonkama hawa wanne full burudani
Changamoto kubwa huwa ni fedha tu, kwa sababu wengi sio wavumilivu
 
Ndio hivyo mwanawane ukikosa ndalama ni bye bye.
Kumiliki pisi kali uwe na hela bwana lah sivyo wapigie nyeto tuu
Usipokuwa makini nao, wanafilisi ile mbaya; akikohoa tu anataka uwe tayari kumeza makohozi yake; ukishindwa tu, kibuti kinakuhusu.
Najua akishabeba ujauzito ukafikia miezi minne, nami naanza kumpiga saundi za hapa na pale 😀 😀
 
Usipokuwa makini nao, wanafilisi ile mbaya; akikohoa tu anataka uwe tayari kumeza makohozi yake; ukishindwa tu, kibuti kinakuhusu.
Najua akishabeba ujauzito ukafikia miezi minne, nami naanza kumpiga saundi za hapa na pale 😀 😀
Mie kuna mmoja nilimpata aise ni mrembo balaa yaani ukipita nae sehemu lazima watu wamtolee macho. Ila sasa hizo huduma mhm nikaona sasa hapa naishi kwa stress wacha nikubali huyu sio level yangu. Picha zake ninanzo so nazipigia nyeto na kyupi zake alizoacha🤣🤣🤣🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], umemla mara 3 tu aseeeee [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Washamba hawaishi kumbe
Umeona eenhh??!!.
 
ha ha ha, kwa hiyo hutaki tena kumrudia? Wanaume tumeumbwa ili tule vizuri (steki ya nyama iliyonona) na si kula utumbo; utumbo tunakula kwa sababu ya shida 😀 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…