Nimeutua mzigo mzito jana usiku

Nimeutua mzigo mzito jana usiku

Vyuo vikuu vimejaza wasichana wazuri sana wenye umri wa miaka 20~23 ambao kila ukimhitaji atakuja kukusuuza rungu kwa vi-allowance vidogo vidogo tu. Sijui baadhi ya wanaume wenzangu kama wewe mtoa mada mnapotea wapi.
Hawa wanasaidia sana; tatizo hisia zinaendana na muonekano wa mtu, inawezekana wa mtaani akawa na umbo zuri kuliko hawa wa chuo.
 
Nilikuwa kwenye mahusiano na dada mmoja mrefu (aliyenizidi), mwenye shepu yake.

Kusema kweli, amejaliwa kwa kiasi fulani. Nimekuwa naye kwenye mahusiano kama miezi miwili hivi.

Changamoto aliyokuwanayo, ili awe na hisia na wewe inabidi uwe mwepesi wa kutoa hela pale anapohitaji.

Nimepambana kwa kiasi fulani, ingawa kwa upande mwingine ilikuwa mateso kwangu, kwa sababu matumizi yalikuwa makubwa sana.

Tangu nimekuwa naye kwenye mahusiano, ni mara tatu tu ndio nimekutana naye kwenye tendo la ndoa.

Uzuri wake aliutumia kama silaa kwangu, kwa sababu tulianza kutofautiana pale aliponiomba kiasi fulani cha fedha kama mtaji.

Kutokana na changamoto za kiuchumi, nikawa nimemjulisha avute subra kwanza; ila yeye hakunisikia, ikawa kila ninapoomba 'game' anatoa visingizio vingi, mara atakwambia kesho anakuja, lakini haji.

Majuzi aliniomba kiasi fulani cha salio ili akajirembe, nikamwambie anikute sehemu fulani saa tano usiku, alivyokuwa bwege akaja na rafiki yake; nilichofanya nikumpa salio na kupata kinywaji kidogo, ingawa nafsi iliniuma sana.

Mbaya zaidi, siku ya jana aliniomba tuonane na baadaye atanipa haki yangu ya tendo. Ilipofika saa tatu usiku, nikawa nimefika kwenye kiwanja fulani ili tuweze kubadilishana abc.

Baada ya dakika chache akawa amefika tena na rafiki yake; wakaanza kunichuna, wakaanza kuagiza pombe za bei ghali, na kuku mzima.

Kwa sababu mimi ni mwanaume nikawa navumilia mapigo tu, nikiamini baada ya hapo, mwenzie ataondoka, nami nitaenda kujivinjari naye.

Tumetumia mpaka hela niliyokuwa nayo pale ikawa imekata, nikawa bado nadaiwa; ikabidi niwaambie wanisubiri, naenda kuchukua salio kwenye ATM.

Ile tu kuondoka kumbe kwao ndio ilikuwa tiketi ya kunikimbia pale mezani; Ile narudi tu, nakuta hawapo, nampigia simu, ananijulisha eti alikuwa anajisikia vibaya akaamua kuondoka.

Roho iliniuma sana; nikahitimisha ''Inabidi tuachane hakuna namna''

kweli warembo wenye muonekano huu, wanatutesa sana; bora wale wenye muonekano wakawaida sio wasumbufu sana.

View attachment 2644718

Nafsi inauma, lakini hakuna namna, maisha lazima yasogee.

NB: Warembo wenye muonekano huo, jimbo lipo wazi.
Kuwa na demu sasa hivi ni gharama kuliko kuwa na familia yenye watoto kumi.

Na walivyo wapuuzi wanaomba hela kila siku utafikiri wewe unakisima cha kwenda kuchota tu.

Kheri akuchune hata laki tano kila baada ya mwezi mmoja au miwili kuliko hawa wakuomba 20k, 30k 50k kila siku.

Hongera kwa kukimbia matatizo.
 
Kaa kimya hivyohivyo usimjibu text wala akipiga, wewe endelea na mishe zako
Na hii nimeona niitumie kama silaa; kwa sababu alinitumia sms akitaka M ili arejeshe uhusiano, nikamjibu ijumaa nitamfanikishia; lakini kiukweli nimepanga kutotekeleza, na sitegemei kumpigia simu wala sms au kupokea simu zake.​
 
Kuwa na demu sasa hivi ni gharama kuliko kuwa na familia yenye watoto kumi.

Na walivyo wapuuzi wanaomba hela kila siku utafikiri wewe unakisima cha kwenda kuchota tu.

Kheri akuchune hata laki tano kila baada ya mwezi mmoja au miwili kuliko hawa wakuomba 20k, 30k 50k kila siku.

Hongera kwa kukimbia matatizo.
Wanakuwa na gharama sana, nadhani labda kwa sababu wanajua hutomuoa ndio maana wanakuwa wanakomoa.
 
Nilikuwa kwenye mahusiano na dada mmoja mrefu (aliyenizidi), mwenye shepu yake.

Kusema kweli, amejaliwa kwa kiasi fulani. Nimekuwa naye kwenye mahusiano kama miezi miwili hivi.

Changamoto aliyokuwanayo, ili awe na hisia na wewe inabidi uwe mwepesi wa kutoa hela pale anapohitaji.

Nimepambana kwa kiasi fulani, ingawa kwa upande mwingine ilikuwa mateso kwangu, kwa sababu matumizi yalikuwa makubwa sana.

Tangu nimekuwa naye kwenye mahusiano, ni mara tatu tu ndio nimekutana naye kwenye tendo la ndoa.

Uzuri wake aliutumia kama silaa kwangu, kwa sababu tulianza kutofautiana pale aliponiomba kiasi fulani cha fedha kama mtaji.

Kutokana na changamoto za kiuchumi, nikawa nimemjulisha avute subra kwanza; ila yeye hakunisikia, ikawa kila ninapoomba 'game' anatoa visingizio vingi, mara atakwambia kesho anakuja, lakini haji.

Majuzi aliniomba kiasi fulani cha salio ili akajirembe, nikamwambie anikute sehemu fulani saa tano usiku, alivyokuwa bwege akaja na rafiki yake; nilichofanya nikumpa salio na kupata kinywaji kidogo, ingawa nafsi iliniuma sana.

Mbaya zaidi, siku ya jana aliniomba tuonane na baadaye atanipa haki yangu ya tendo. Ilipofika saa tatu usiku, nikawa nimefika kwenye kiwanja fulani ili tuweze kubadilishana abc.

Baada ya dakika chache akawa amefika tena na rafiki yake; wakaanza kunichuna, wakaanza kuagiza pombe za bei ghali, na kuku mzima.

Kwa sababu mimi ni mwanaume nikawa navumilia mapigo tu, nikiamini baada ya hapo, mwenzie ataondoka, nami nitaenda kujivinjari naye.

Tumetumia mpaka hela niliyokuwa nayo pale ikawa imekata, nikawa bado nadaiwa; ikabidi niwaambie wanisubiri, naenda kuchukua salio kwenye ATM.

Ile tu kuondoka kumbe kwao ndio ilikuwa tiketi ya kunikimbia pale mezani; Ile narudi tu, nakuta hawapo, nampigia simu, ananijulisha eti alikuwa anajisikia vibaya akaamua kuondoka.

Roho iliniuma sana; nikahitimisha ''Inabidi tuachane hakuna namna''

kweli warembo wenye muonekano huu, wanatutesa sana; bora wale wenye muonekano wakawaida sio wasumbufu sana.

View attachment 2644718

Nafsi inauma, lakini hakuna namna, maisha lazima yasogee.

NB: Warembo wenye muonekano huo, jimbo lipo wazi.


"ili awe na hisia na wewe inabidi uwe mwepesi wa kutoa hela pale anapohitaji" biashara, sio hisia
 
Hawa wanasaidia sana; tatizo hisia zinaendana na muonekano wa mtu, inawezekana wa mtaani akawa na umbo zuri kuliko hawa wa chuo.
Hahahaa siku zote usipende kuongozwa na hisia kama mwanaume hayo waachie wanawake. Mwanamke asiwe kipaumbele ila awe sehemu tu ya maisha yako, ukivuka hili litakusaidia sana hutaona tena kama huyo wa mtaani ana umbo uzuri.

Shida yako kubwa ukipata mwanamke unayem-perceive ni mzuri akili yako ina-shut down kufanya kazi ktk mfumo wa kawaida tayari unaanza ku-fantasize mahusiano kama tamthilia. Siku zote wewe focus kumkaza ila yeye ndiye anapaswa kukulazimisha muwe na mahusiano. Nimeona sehemu unasema unampeleka mpaka outing kuna kajamaa kama mimi kanamwita nyumbani kwake na haendi na rafiki yake.
 
Nilikuwa kwenye mahusiano na dada mmoja mrefu (aliyenizidi), mwenye shepu yake.

Kusema kweli, amejaliwa kwa kiasi fulani. Nimekuwa naye kwenye mahusiano kama miezi miwili hivi.

Changamoto aliyokuwanayo, ili awe na hisia na wewe inabidi uwe mwepesi wa kutoa hela pale anapohitaji.

Nimepambana kwa kiasi fulani, ingawa kwa upande mwingine ilikuwa mateso kwangu, kwa sababu matumizi yalikuwa makubwa sana.

Tangu nimekuwa naye kwenye mahusiano, ni mara tatu tu ndio nimekutana naye kwenye tendo la ndoa.

Uzuri wake aliutumia kama silaa kwangu, kwa sababu tulianza kutofautiana pale aliponiomba kiasi fulani cha fedha kama mtaji.

Kutokana na changamoto za kiuchumi, nikawa nimemjulisha avute subra kwanza; ila yeye hakunisikia, ikawa kila ninapoomba 'game' anatoa visingizio vingi, mara atakwambia kesho anakuja, lakini haji.

Majuzi aliniomba kiasi fulani cha salio ili akajirembe, nikamwambie anikute sehemu fulani saa tano usiku, alivyokuwa bwege akaja na rafiki yake; nilichofanya nikumpa salio na kupata kinywaji kidogo, ingawa nafsi iliniuma sana.

Mbaya zaidi, siku ya jana aliniomba tuonane na baadaye atanipa haki yangu ya tendo. Ilipofika saa tatu usiku, nikawa nimefika kwenye kiwanja fulani ili tuweze kubadilishana abc.

Baada ya dakika chache akawa amefika tena na rafiki yake; wakaanza kunichuna, wakaanza kuagiza pombe za bei ghali, na kuku mzima.

Kwa sababu mimi ni mwanaume nikawa navumilia mapigo tu, nikiamini baada ya hapo, mwenzie ataondoka, nami nitaenda kujivinjari naye.

Tumetumia mpaka hela niliyokuwa nayo pale ikawa imekata, nikawa bado nadaiwa; ikabidi niwaambie wanisubiri, naenda kuchukua salio kwenye ATM.

Ile tu kuondoka kumbe kwao ndio ilikuwa tiketi ya kunikimbia pale mezani; Ile narudi tu, nakuta hawapo, nampigia simu, ananijulisha eti alikuwa anajisikia vibaya akaamua kuondoka.

Roho iliniuma sana; nikahitimisha ''Inabidi tuachane hakuna namna''

kweli warembo wenye muonekano huu, wanatutesa sana; bora wale wenye muonekano wakawaida sio wasumbufu sana.

View attachment 2644718

Nafsi inauma, lakini hakuna namna, maisha lazima yasogee.

NB: Warembo wenye muonekano huo, jimbo lipo wazi.
Sasa nduguu upewe poleee autuseme mwanakulitafuta mwanakulipata🤔
 
Na hii nimeona niitumie kama silaa; kwa sababu alinitumia sms akitaka M ili arejeshe uhusiano, nikamjibu ijumaa nitamfanikishia; lakini kiukweli nimepanga kutotekeleza, na sitegemei kumpigia simu wala sms au kupokea simu zake.​
Kwanini umemjibu? Hapo ndiyo umekosea wewe kaaa kimya na kaza kuwa kimya, hata aongee vipi na kujionesha kajirudi kaa kimya kabisa usihadaike na maneno yake. Usirudie hilo kosa tena
 
Wadada wengi kwa sasa wanajiuza,mbinu tu ndio zimetofautiana...binti unamtongoza akikubali na hapo hapo anatua mzigo wa matatizo yake yote,kula,kuvaa,kusuka,mtaji n.k,ukiona mwanamke omba omba jua yupo kibiashara zaidi...ukiona hivyo usiweke mipango ya maisha naye,maana mwenzio hayuko na ww kimapenz,bali nipe pesa nikupe ngono...kwa wanaume wasiojiongeza na kuwajua hawa dada zetu, lazima upigwe.
 
Pole kwa matukio uliyopigwa,at least you've learned your lesson the hard way
 
Back
Top Bottom