MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Ww ulikutana na ATM sio mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikao lini ndg mwenyekitiUmestahili tukiwatumia mialiko ya vikao vya wanaume hamji
Ebu fafanua kidogo mkuuZimwi likujualo halikuli likakwisha
😀😀😀 ukiwekeza huko sana, uzee utakuwa wa taabu sanaTatizo unataka kuendesha VX wakati hata hela ya kununulia mafuta IST ni mgogoro,Sasa si utafute baiskeli tu Ngosha😜😜😜
Kweli mkuu, jana ananitumia sms nikitaka turudiane naye nimtumie kiasi fulani cha fedha; ingawa hilo sitalitekeleza.Ww ulikutana na ATM sio mtu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ajengewe sanamuKweli mkuu, jana ananitumia sms nikitaka turudiane naye nimtumie kiasi fulani cha fedha; ingawa hilo sitalitekeleza.
Huo uzee wenyewe si mpaka ufike Sasa!kula maisha😀😀😀 ukiwekeza huko sana, uzee utakuwa wa taabu sana
Tutatoa tangazo rasmi ila katikati ya mwezi huu tutakua na Kongamano la kuugawa mwakaKikao lini ndg mwenyekiti
😀 😀 😀 utashangaa uzee huo hapo, kila mmoja anakukimbiaHuo uzee wenyewe si mpaka ufike Sasa!kula maisha
Ni kweli, anajua ukiondoka wewe atakuja mwinginePisi kali wanazingua sana maana hawana cha kupoteza kwenye mapenzi.
🤣🤣🤣🤣Sina roho hiyo,Ila tu Kuna vitu vinachekeshaUnitakie mema kabisa 😀 😀 😀
Hiyo kawaida Sana,hakuna ubishi kwenye Hilo,hapo tu kijana pisi Kali kakukimbia kiwanja na una vihela vya kumnywesha Savana je ukizeeka si ndio na hapo mjini utafukuzwa kàbisa?🤣🤣😀 😀 😀 utashangaa uzee huo hapo, kila mmoja anakukimbia
😀 😀 😀 wanaume tunateseka...🤣🤣🤣🤣Sina roho hiyo,Ila tu Kuna vitu vinachekesha
Ndio maana tunashauriwa tutumie kwa kiasi, tukijua kuna kesho pia 😀Hiyo kawaida Sana,hakuna ubishi kwenye Hilo,hapo tu kijana pisi Kali kakukimbia kiwanja na una vihela vya kumnywesha Savana je ukizeeka si ndio na hapo mjini utafukuzwa kàbisa?🤣🤣
Mungu akupe ufahamu.Ndio maana tunashauriwa tutumie kwa kiasi, tukijua kuna kesho pia 😀