Nimeutua mzigo mzito jana usiku

Nimeutua mzigo mzito jana usiku

Tatizo unataka kuendesha VX wakati hata hela ya kununulia mafuta IST ni mgogoro,Sasa si utafute baiskeli tu Ngosha😜😜😜
😀😀😀 ukiwekeza huko sana, uzee utakuwa wa taabu sana
 
Pisi kali wanazingua sana maana hawana cha kupoteza kwenye mapenzi.
 
😀 😀 😀 utashangaa uzee huo hapo, kila mmoja anakukimbia
Hiyo kawaida Sana,hakuna ubishi kwenye Hilo,hapo tu kijana pisi Kali kakukimbia kiwanja na una vihela vya kumnywesha Savana je ukizeeka si ndio na hapo mjini utafukuzwa kàbisa?🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣Sina roho hiyo,Ila tu Kuna vitu vinachekesha
😀 😀 😀 wanaume tunateseka...
bg.jpg
 
Hiyo kawaida Sana,hakuna ubishi kwenye Hilo,hapo tu kijana pisi Kali kakukimbia kiwanja na una vihela vya kumnywesha Savana je ukizeeka si ndio na hapo mjini utafukuzwa kàbisa?🤣🤣
Ndio maana tunashauriwa tutumie kwa kiasi, tukijua kuna kesho pia 😀
 
Vyuo vikuu vimejaza wasichana wazuri sana wenye umri wa miaka 20~23 ambao kila ukimhitaji atakuja kukusuuza rungu kwa vi-allowance vidogo vidogo tu. Sijui baadhi ya wanaume wenzangu kama wewe mtoa mada mnapotea wapi.
 
Back
Top Bottom