Nimeutua mzigo mzito jana usiku

Nimeutua mzigo mzito jana usiku

😀 😀 Nilikuwa namshawishi sana, akawa anasema nisubiri mambo yake yakae sawa; pia siku za hatari haji
Jifanye kama unajirudi, akishusha kufuri tu unampa kitu unasepa.
Hawa wapo kwa ajili hiyo so wala usiwaze mara mbili.
Wakijifanya hawana wakubwa wala wazazi wa kuwasikiliza basi sisi ndiyo Walimwengu wenyewe, tuwafunze hiyo ndiyo kazi tuliyopewa na methali za mababu.
 
Wewe ndo mshamba .
Mwanamke kama pasua kichwa unampiga chini fast hata kama hamna sex ..
Kupigania k Kwa nguvu na kujiumiza financial wala sio sifa...


Sisi wengine ukisema Tu unakuja peke yako halafu ukaja na rafiki yako...hapo hapo unapigwa chini....
Kapuku mwingine huyu
 
Wewe ndo mshamba .
Mwanamke kama pasua kichwa unampiga chini fast hata kama hamna sex ..
Kupigania k Kwa nguvu na kujiumiza financial wala sio sifa...


Sisi wengine ukisema Tu unakuja peke yako halafu ukaja na rafiki yako...hapo hapo unapigwa chini....
Sio unapigwa chini TU unapewa na Kikomo na aina ya kinywaji na idadi, na maids anaambiwa bili itaishia 2,2 hakuna zaidi.

Unasisitiza..wewe umeelewa??? Ikizidi ya kwako maamaaae na chakula ndizi za kuchemsha 1,1 na mchuzi TU buku2.

Bill itasoma 10,000/- unalipa mnaagana Kwa kheri ya kuonana
 
Back
Top Bottom