Nimeuza mechi alfajiri ya leo, nahisi nimeambukizwa VVU naombeni PEP

Acha woga , kama ulipiga kimoja wkt k ipo wet hakuna shida, pia umesema mlitumia kilainishi (mafuta ya nazi ) ,,,, HIV ni ngumu kupata kwa mazingira hayo,,, ! Hapo pengine magonjwa ya zinaq kama gono ndo unaweza kupata kama dem alikuwa nayo ! Just relax
 
JUMUA MUBARAK MZEE
 
Kwa tahadhari nenda hospitali ya mnazi mmoja hakuna mambo mengi ila lazima upime kwanza...

Ila jaribu kwanza kumshawishi mkapime nae mwambie kuwa umempenda sana unataka kuwa nae kimahusiano nae moja kwa moja.

Sign ya kwanza kwa mwanamke asiye salama huwa haulizii kinga kabisa ikifika muda wa mnyanduano yaani hajali. Hapo taa nyekundu.
 
Lengo lake ni wote muwe mumeunganishwa,sio wanawake tu ata wanaume kama ameadhirika katu hawezi kutumia kinga.
 
Kumbe tuna wachezaji wa Man City hapa jukwaani, wanauza meche alafu wanakuja jukwaani kumsaka Pep Guardiola ili wamwombe msamaha.

Hivyo ndivyo nilivyoelewa title ya Uzi.
Mpange hyo binti uende nae mkapime,ukiona amegoma au anasita sita,basi fanya juu chini upate hzo pep,anaejijua ameadhirika ni ngumu sana kukubali kwenda kupima coz anajijua.
 
Dume zima linaogopa ukimwi! Kweli nimeamini wanaume tumebaki wachache sana.
 
Amekula Mtandao pendwa wa TIGO...Siku hizi unajiita YAS......
 
Hivi inatokeaje mtu una ubongo kabisa unafanya mapenzi bila kujua hali ya afya zenu kwanza?πŸ€”
Looo anakuja binti geto kwako mkali balaa chuchu zimechongoka kama msumari,faza ukimvua tu nguo kichwa cha chini kwa wakt huo ndo huwa zinaongoza kichwa cha juu.so ukishashusha mzigo tu kichwa cha juu kinarudi kazini ndo hapo sasa unaanza kujiuliza nimefanya nini??? Huwa iko hvyo.
 
Yani chuchu zake zichomoke kuliko mimi ninavyojipenda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…