Nimeuza mechi alfajiri ya leo, nahisi nimeambukizwa VVU naombeni PEP

Nimeuza mechi alfajiri ya leo, nahisi nimeambukizwa VVU naombeni PEP

PEP nasikia ni maalum kwa watu ambao wanahisi wameambukizwa VVU kwa dharura.
Hata mimi kisa changu ni cha dharura naombeni PEP.

Kisa chenyewe kuna binti nilikutana naye mtandaoni. Picha zake alizokuwa ananionyesha kwakweli ni binti mzuri ambapo nwanaume yeyote lazima angehitaji atue mizigo yake pale.

Baada ya kupita siku nyingi za mawasiliano ikabidi tupange siku ya kuonana na kukulana.

Kwakweli binti wa kwenye simu na huyu niliyekutana naye ni mawingu na ardhi hawafanani hata kidogo,

Huyu binti ambaye nimekutana naye amechoka sana,
Yaani kabinti kamechoka, uso hauna nuru tena.
Zile picha alizokuwa ananitumia ni picha zake za zamani wakati bado akiwa na Bamba taa.
Sasa baada ya kumuona vile ikabidi nisimuonyeshe kwamba simuhitaji.
Nikamnunulia kiepe akala vizuri baada ya hapo nikamtafutia sababu ili tusifanye mapenzi akakubali akaondoka.
Namba yake nikaifuta baada ya kuondoka nikawa simtafuti tena, ila yeye akinitafuta napokea tunaongea vizuri.

Ameomba sana mara kadhaa kuja geto ila nikawa naleta sababu mpaka arobaini yangu imefika jana Usiku mida ya saa 5 kanipigia simu kwamba yuko kituoni stendi nikamchukue.

Binti anakaa Bunju, amekuja mpaka huku ninayoishi zaidi ya gari 3 huku kwakweli usiku huo ikabidi nijikaze tu kiume nimpe hifadhi asubuhi akiamka arudi kwao.

Tumefika ndani sijataka mazoea yoyote ya kingono,
tumelala vizuri usiku wote ila Wakuu nyege ni mbaya sana.
Asubuhi mtoto kanigeuzia tako sasa mimi hapo nikawa sina namna.

Ikabidi tu nizamishe japo niliweka mafuta ya nazi kupunguza msuguano.

Nimepiga kile kimoja cha kuvizia sana yaani kama kuku.
Sasa wakuu mpaka hapa sina amani naombeni kujua wapi nitazipata PEP ili nijiweke sehemu salama.

Nimemuuliza demu kama anaumwa ugonjwa wowote wa zinaa ameishia kunipa majibu ambayo hayana ushirikiano kabisa.

Nisaidieni wakuu maana leo Ijumaa hospitali nyingi kuanzia kesho weekend hazitafunguliwa mpaka Jumatatu.

Msaada wenu please niko Dar
apa umenikumbusha kuna siku tulikuwa pale buguruni na washkaj tunapata moja moto. sasa jamaaetu mmoja akachomoka akazama kwenye vibanda vya malaya pale kati ya kiwanda cha baharesa na mataa ya njiapanda vingnguti.

sasa kumbe uko ndani kuna vigestibubu. uyu jamaaetu kumbe kashikwa na genye akaenda uko. anasema aliyoyaona uko ilibidi akimbie mwenyewe tu chap bila kutimiza haja iliyompelekea.

amekuta kuna ngono kali ajabu kabisa inapigwa uko ndani na washiriki ni machalii tu wadogowadogo miaka 15,17,20 apo yani. amefika uko akakamata kondom na mrembo mmoja akachoma nae ndani.

yule mrembo alikuwa waitiwaiti kama wale wa waarusha.
sasa bwana kufika kule ndani yule mrembo akatoa nguo chap akabaki kama alivozaliwa.

sasa bwana kumbe yule mrembo alikuwa na makovu meusi karibia mwili wake wote uko mapajani ndo balaa kabisa utazani amezimiwa sigara ya moto na alivo mweupe vile makovu yote yanaonekana bila chenja.

jamaa yetu akaona sasa apa tayari jeneza hili apa akaanza kusikia kama anapigiwa ule wimbo maarufu wa kitambo wa 'kamanda' wa kundi la daz nundaz.🎵🎶🎼

nyege zote zilikata palepale na sasa alichokua anataman ni kupata upenyo atoke chap eneo lile kabla mambo hayajawa mengi.

ikabidi ampe binti kilicho chake kama walivoelewana na asepe haraka sana.

amefika tulipo hata hakukaa maana alishapagawa na aliyoyaona kule akatukimbia hata sisi jamaazake tumekutana nae siku ya pili ndo anatuhadisia yaliyomkuta.
 
umepata mchubuko? au umeona mashavu tu ukamwaga unasema una HIV.......
Kwa michubuko hapana mkuu sijapata.
Maana kilikuwa kigoli kimoja tena cha kuvizia sana, isitoshe nilipaka mafuta ya nazi ya kutosha kuondoa misuguano.
Ni tendo lilichukua chìni ya dakika 4 lakini mpaka muda huu nina mawazo sana
 
kangoso mbona wewohh🎶🎶🎼🎵🎼

Screenshot_20241129-183638_Chrome.jpg
 
Unabadili tu gia, From kufuta namba to Sifanyi nae lolote to mwache alale kesho aende to aayaah kanigeuzia makalio, Naombeni Pep.

Speed 120 shaaa.
 
Unabadili tu gia, From kufuta namba to Sifanyi nae lolote to mwache alale kesho aende to aayaah kanigeuzia makalio, Naombeni Pep.

Speed 120 shaaa.
anabadili gea angani 90° mithili ya yule marehem naniliu wa upande ule ☝️
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom