Nimeuza mechi alfajiri ya leo, nahisi nimeambukizwa VVU naombeni PEP

Ukiwa mzinzi hautakiwi uwe na mawenge umeshaichapa kavu piga hizo dawa tulia kikiumana ni ajali katika haraka za kusaka utamu.
😂😂😂Ivi izo pep waga zina.backfire kweli?
Au ukitumia ndo hupati
 
Ngoja mwenye uzi atuambie kama alipata ukimwi
FatherOfAllSnipers
🤣🤣🤣
Mpaka leo sijaenda kupima, maana ndani ya masaa 72 nilikosa PEP, kila nilipoenda ilikuwa hawanipi ushirikiano mpaka yale masaa yakaisha.
Nilienda mpaka Marie stopes lakini waliishia kunipa blah blah kibao bila kunipa hizo PEP,

Tangia hapo sijalala na mwanamke yoyote mpaka sasa..
Ila yule dada kwa ufupi ipo siku atalipa.
Ikiwa nitakuwa na VVU, basi nitatafuta mwenye VVU mwenzangu,
Yule dada mpaka leo ameniblock kwahiyo bila shaka dhamira yake ilitimia hana shida na mimi tena.
Mpaka sasa sijaona dalili , zozote mbaya.

Ila nitaenda kupima na kama nikikutwa nao basi yule dada atalipa.
 
Uwe makini Sasa nobody cares about you more than you do
 
"asubuh mtoto kanigeuzia tako sasa mimi nikawa sina namna"

  • aki nmecheka hapa.. duu c ningeshangaa na cha ahsbuh kihelehele kama ungekishnda.
  • mim binafs kulala na d*em kitanda kmja siwez kuvumilia ata dakika moja, NI sekunde tu nitamchokoza
 
Nenda
JF PHARAMCY ltd pale kariakoo
 
Huku kumejaa wazinzi kama wewe wataishia kukuomba namba za HUYO Binti ulivyonsifia
 
Wenzio kavu wanapakua asali ombooi loh
Ujashtuka
 
Usiogope hio KAUSHA DAMU mkuu ungekutana na LBL ungezima dataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…