Good adviceWewe nenda police ufunguwe kesi ya kutapeliwa kwa maza na mwanae, police iwatafute wenyewe watakuambia yaishe gari peleka police kama kidhibiti, mbona watakusafisha wenyewe.......wa wahi tu
😁😁😁😁Kalikopee mkopo kwa wale jamaa wa mwezi mmoja, weka bondi ndinga upoze machungu.
Hii ni kali duuhMwaka jana June, Kuna jamaa angu aliuza nyumba buswelu mwanza,
Kahamishia familia kijijin ili apate mtaji wa kuboost bussness zake pesa nyingine apate nyumba ya wastani huku kijijin ili ajipange,
Jamaa Akaishia kuanza kula bata, kanunua gari ambayo kumbe ishablokiwa na TRA,
Tangu Agost gari IPO TRA,
hlf wakati anatoka kuinunua alikula nayo mweleka mbaya sana ingaw ilitengenezeka.
Note: gari za mkononi pasua kichwa sana.
Msaada wa mawazo:
Baada ya kununua gari inatakiw libadilishwe umiliki baada ya muda gani?
Pia gharama zinakokotolewaje?
Kwa maelezo yake kadi OG anayo, alikosa viambatanisho vingine kama kitambulisho na picha za mmiliki.hujasoma uzi na kasema kadi orijino hana?
Kweli nimesoma vizuri kumbe kadi anayo na mkataba pia anao alioandikishiana na huyo jamaa.Kwa maelezo yake kadi OG anayo, alikosa viambatanisho vingine kama kitambulisho na picha za mmiliki.
Ndio maana Kila nikiamua kuachana na JF huwa narudi fasta, huwezi kupata nondo kama hii popote mtaani!Wewe nenda police ufunguwe kesi ya kutapeliwa kwa maza na mwanae, police iwatafute wenyewe watakuambia yaishe gari peleka police kama kidhibiti, mbona watakusafisha wenyewe.......wa wahi tu
Umeonaee JF kuna vichwa sana[emoji38][emoji1787][emoji1787]Ndio maana Kila nikiamua kuachana na JF huwa narudi fasta, huwezi kupata nondo kama hii popote mtaani!
"au uamue kulipotezea tu kama sadaka ya kujimaliza pale Kawe."Hiyo pata potea! Busara ni kumtafuta huyo maza ukae nae chini na yeye ni binadamu anajua maumivu ya pesa labda umpooze mmalizane ila zikitumika hasira yeye akasirike na wewe ukasirike mtafika mbali bila faida zozote au uamue kulipotezea tu kama sadaka ya kujimaliza pale Kawe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ajimalize tu, ajiteketeze kabisa na moyo wake utakua umepondeka kabisa mbele za bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"au uamue kulipotezea tu kama sadaka ya kujimaliza pale Kawe."
[emoji1787]
Sasa Mkuu hapo atakuwa katapeliwa nini?Ndio maana Kila nikiamua kuachana na JF huwa narudi fasta, huwezi kupata nondo kama hii popote mtaani!