Nimeuziwa mbwa maeneo ya Victoria, nilipomfikisha nyumbani mume wangu akasema eti sio mbwa ni fisi

Hauna akili [emoji23]
 
Hivi kweli weye ni mrembo?Huwa huangalii hata Safari Chanel au Discovery utambue utofauti wa wanyama?😂😂😂😂
 
Njoo umchukue mfugo wako, mambo ya kesikesi siyataki. Hatujui hata kwa kumpeleka
Pole ila kama unamashaka nae nenda katoe taarifa kituo cha polisi kilicho karibu yake kisha nenda ofisi ya maliasili ilio karibu ukifanya hayo hutokuwa na kesi tena fanya haraka ndugu yangu kabla hawajakufanya wamfano kwa wengine
 
Pole ila kama unamashaka nae nenda katoe taarifa kituo cha polisi kilicho karibu yake kisha nenda ofisi ya maliasili ilio karibu ukifanya hayo hutokuwa na kesi tena fanya haraka ndugu yangu kabla hawajakufanya wamfano kwa wengine
Nilisha mtupa
 
Hauna akili [emoji23]
Hata Mume wake alimuambia hivyo kua hana akili baada tu ya kumuona huyo Mbwa wake!! Wanawake saa zingine ujuwaji mwingi alafu mbele giza!!!
 
 
Hii ni chai tu wala hakuna ukweli wowote
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka mpaka kwikwi...
 
Umeuziwa nyoka mtu
 
Sio fisi ni bongoshelfered, ni mix ya australian elliounous na manyema red dogs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…