Nimevamiwa nyumbani kwangu na mwanamke niliyempa mimba. Nifanyeje?

Nimevamiwa nyumbani kwangu na mwanamke niliyempa mimba. Nifanyeje?

Niliachana na mke wangu mwaka jana baada ya kutofautiana mienendo. Japo hatukufunga ndoa ila nilimposa na kila kitu tulikamilisha tukaanza maisha.

Baadae niliamua kutafta mwanamke mwingine tukawa na mahusiano ya kawaida tu, na hatukuwa tukiishi wote. Mwezi uliopita tulizinguana na kila mmoja akapita na mambo yake japo siku kadhaa kabla ya kuachana aliwahi kunidokezea kuwa anahisi ana mimba yangu. Sikufikiria kitu kwa vile hakuwa na uhakika na hali ile.

Bas bwana, zikapita siku nne baada ya kuachana akaomba tuonane. Sikukataa na nilifanya hivyo. Alinipa taarifa rasmi kuwa amefanya UPT na majibu yanaonesha ni kweli amebahatika kuwa na mimba japo haukuwa mpango wetu.
Nilipokea taarifa kisha kila mtu akaendelea na mambo yake.

Baada ya muda aliomba tuende clinic ya kwanza kama yalivyo maelekezo ya wadau wa afya kuwa mahudhurio ya kwanza ni lazima waende wahusika wa ujauzito kwa ajili ya vipimo. Hapo nilichenga kulingana na nature ya kazi yangu..... niko busy sana mda mwingi. Siku zilisonga na alipewa barua ya kumruhusu kusajiliwa na kuanza clinic bila ya uwepo wangu.

Juzi nipo zangu kwangu (japo nimepanga) nikiwa napumzika mara paap!! Mabegi na mazagazaga yote ya yule mwanamke. Alipita hadi ndani kisha akawa mkali na maneno makali sana. Alinipa uhakika kuwa ameamua ahamie kwangu rasmi kwa sababu ya mimba japo sikuwahi kukataa kumtunza na kuilea mimba. Ila kiufupi ni kuwa nimevamiwa na mke.

Binafsi sijakubaliana na hii hali na sikumwonesha mwitikio hasi juu ya maamuz yake yaliouchukiza moyo wangu.

Sasa wadau hizi scenario huwa mnazitatuaje asee. Me sielewi yani ila nataka nimtoe niendelee na maisha ya kivyangu na nimtunze akiwa kwao hukohuko.

Karibuni kwa maoni
Bila kupepesa atakua mchaga huyo?? 😂😂😂
 
Nilimweleza kuwa hapa ni nyumba ya mtu. Akadai kuwa watabanana humuhumu
haya majanga tena! wanawake asilimia kubwa wanasababisha msongo wa mawazo, vifo, magonjwa yasiyotibika kwa wanaume!

Ndio hiyo kipindi wadogo wanasema kua uyaone sasa umeingia kwenye regret ya maisha usipoangalia watakuharibia maisha!
Kuwa mtulivu sana wa akili ndugu pia uwe unafanya Ibada na maombi.
 
Bora mzunguko uendelee mkuu ila siwez kuishi na mtu ambaye sikuwa na malengo naye
Kwanin uliingia mahusiano nae? Yajengen muanze maisha tu, utarukaruka mpaka lin mkuu? Au bdo unampenda wakwanza?

Ucpokua makin utakonda sana!
 
Kamilisha utaratibu ili wadau wajue wanamuweka fungu gani huyo mwanamke fungu la singo Mama ili wampondee au mke wa mtu ili wamkaushie
 
Niliachana na mke wangu mwaka jana baada ya kutofautiana mienendo. Japo hatukufunga ndoa ila nilimposa na kila kitu tulikamilisha tukaanza maisha.

Baadae niliamua kutafta mwanamke mwingine tukawa na mahusiano ya kawaida tu, na hatukuwa tukiishi wote. Mwezi uliopita tulizinguana na kila mmoja akapita na mambo yake japo siku kadhaa kabla ya kuachana aliwahi kunidokezea kuwa anahisi ana mimba yangu. Sikufikiria kitu kwa vile hakuwa na uhakika na hali ile.

Bas bwana, zikapita siku nne baada ya kuachana akaomba tuonane. Sikukataa na nilifanya hivyo. Alinipa taarifa rasmi kuwa amefanya UPT na majibu yanaonesha ni kweli amebahatika kuwa na mimba japo haukuwa mpango wetu.
Nilipokea taarifa kisha kila mtu akaendelea na mambo yake.

Baada ya muda aliomba tuende clinic ya kwanza kama yalivyo maelekezo ya wadau wa afya kuwa mahudhurio ya kwanza ni lazima waende wahusika wa ujauzito kwa ajili ya vipimo. Hapo nilichenga kulingana na nature ya kazi yangu..... niko busy sana mda mwingi. Siku zilisonga na alipewa barua ya kumruhusu kusajiliwa na kuanza clinic bila ya uwepo wangu.

Juzi nipo zangu kwangu (japo nimepanga) nikiwa napumzika mara paap!! Mabegi na mazagazaga yote ya yule mwanamke. Alipita hadi ndani kisha akawa mkali na maneno makali sana. Alinipa uhakika kuwa ameamua ahamie kwangu rasmi kwa sababu ya mimba japo sikuwahi kukataa kumtunza na kuilea mimba. Ila kiufupi ni kuwa nimevamiwa na mke.

Binafsi sijakubaliana na hii hali na sikumwonesha mwitikio hasi juu ya maamuz yake yaliouchukiza moyo wangu.

Sasa wadau hizi scenario huwa mnazitatuaje asee. Me sielewi yani ila nataka nimtoe niendelee na maisha ya kivyangu na nimtunze akiwa kwao hukohuko.

Karibuni kwa maoni
Ukumbuki haya :“It’s all yours 🍑 babe, you’re the only one”
IMG_0780.jpeg
 
haya majanga tena! wanawake asilimia kubwa wanasababisha msongo wa mawazo, vifo, magonjwa yasiyotibika kwa wanaume!

Ndio hiyo kipindi wadogo wanasema kua uyaone sasa umeingia kwenye regret ya maisha usipoangalia watakuharibia maisha!
Kuwa mtulivu sana wa akili ndugu pia uwe unafanya Ibada na maombi.
Amina ndugu🙏
 
Kwanin uliingia mahusiano nae? Yajengen muanze maisha tu, utarukaruka mpaka lin mkuu? Au bdo unampenda wakwanza?

Ucpokua makin utakonda sana!
Nishakonda hata hvo. Ila n kukurupukia mahusiano
 
Wewe dada kama upo huku ustoke Kaa hapo hapo, imagine kama ni mtoto wako
 
Kamilisha utaratibu ili wadau wajue wanamuweka fungu gani huyo mwanamke fungu la singo Mama ili wampondee au mke wa mtu ili wamkaushie
Bora single maza bro
 
Back
Top Bottom