Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kumkimbia, wanawake mara nyingine akili zao wanazijuwaga wenyewe ; yaani mtu toka mwanzo lengo la kuishi naye hakuwa nalo Sasa yeye kajileta kwa nguvu ili iwaje?Huyo anapanga kumkimbia mtoto wa watu,huoni hapo ameshauriwa amrudishe kisha ahame anapokaa ili demu asijue akacheka na kufurah kwamba amepata suluhisho
Hao Hao kutwa humu ndani Wana Kazi ya kuwasimanga single Maza!Halafu ndo nyie mnakaa vijiweni kushauriana muoe wanawake mabikira
Muda wa kukojoa ulikuwa unapata Ila muda wa kwenda clinic ulikosa.... 😭
Kaka nisikilize vizuri....
Hao wwnaokushauri sijui uondoke ubadilishe namba, sjui umpeleke kijijini halaf uhame..m.mmWanakudanganya. Mtendee wema huyo Dada Hadi ajifungue. Mhudumie, mlishe, mveshe, Ila usiongee mengi kuhusiana na maisha ya kuoana. Mtoto akifikisha miaka 2 tafuta house girl asaidie kulea mtoto... Mama mtoto mtafutie kazi ya kufanya kama hana. Ukishaona amesimama sasa Anza vituko hadi mwenyewe anyooshe mikono akuache kwa Amani. Au kama ukiweza kumchana usoni kwamba hukuwa na malengo nye hivyo unaenda kuendelea na life lako sawa tu. Ni naamini hata yeye anajua kwamba mlishaachana ni mimba tu ndiyo ilirudisha mawasiliano.
Kumuoa sio lazima Ila kumhudumia ni lazima kama mimba ni yako.
Unashindwa Nini kumwambia mwanamke kwamba sitaki Tupate mtoto na wewe?Sio kumkimbia, wanawake mara nyingine akili zao wanazijuwaga wenyewe ; yaani mtu toka mwanzo lengo la kuishi naye hakuwa nalo Sasa yeye kajileta kwa nguvu ili iwaje?
Kasema atalea, sasa hapo ulitaka aseme hataki mtoto ili ajiingize kwenye hatia ya kujustify kutoa mimba?!Unashindwa Nini kumwambia mwanamke kwamba sitaki Tupate mtoto na wewe?
Unamuogopa? Mwambie ukweli kwamba sitaki mtoto kwa sasa.na uzuri wanawake wakiona hutaki wanavyotaka wanaondokaga Maskini wa Mungu.
Alipaswa atumie kinga kukwepa kero ndogondogoWala sio wa kumbembeleza hivyo huyo ni wa kutukana, aelewe badae atakuja kulalamika natafuta mtoto na mke wangu hashiki mimba kumbe kuna vingine umevitoa huko huko ujanani.
Lea mama na mimba yake tena ujiandae kutoa mahari umbwa mmoja wewe.
Kesho atajipanga hapa kutukana single mother.
PoleNilimtongoza kwa sababu nilikuwa na maumivu ya kuachana na mke wangu. Niliamini mbususu na urembo wake ungenisaidia kumsahau yule nilompenda. Ila ndo hivo amejipa umwamba
Una maneno ya kunifikirisha mara 2 cacutee. Nimependa ushauri wakoMuda wa kukojoa ulikuwa unapata Ila muda wa kwenda clinic ulikosa.... 😭
Kaka nisikilize vizuri....
Hao wwnaokushauri sijui uondoke ubadilishe namba, sjui umpeleke kijijini halaf uhame..m.mmWanakudanganya. Mtendee wema huyo Dada Hadi ajifungue. Mhudumie, mlishe, mveshe, Ila usiongee mengi kuhusiana na maisha ya kuoana. Mtoto akifikisha miaka 2 tafuta house girl asaidie kulea mtoto... Mama mtoto mtafutie kazi ya kufanya kama hana. Ukishaona amesimama sasa Anza vituko hadi mwenyewe anyooshe mikono akuache kwa Amani. Au kama ukiweza kumchana usoni kwamba hukuwa na malengo nye hivyo unaenda kuendelea na life lako sawa tu. Ni naamini hata yeye anajua kwamba mlishaachana ni mimba tu ndiyo ilirudisha mawasiliano.
Kumuoa sio lazima Ila kumhudumia ni lazima kama mimba ni yako.
Sasa mbona bado unakuwa muoga wa maisha kama mtu mwenye miaka 17.30 yrs