Nimevamiwa nyumbani kwangu na mwanamke niliyempa mimba. Nifanyeje?

Nimevamiwa nyumbani kwangu na mwanamke niliyempa mimba. Nifanyeje?

Huyo anapanga kumkimbia mtoto wa watu,huoni hapo ameshauriwa amrudishe kisha ahame anapokaa ili demu asijue akacheka na kufurah kwamba amepata suluhisho
Sio kumkimbia, wanawake mara nyingine akili zao wanazijuwaga wenyewe ; yaani mtu toka mwanzo lengo la kuishi naye hakuwa nalo Sasa yeye kajileta kwa nguvu ili iwaje?
 
Muda wa kukojoa ulikuwa unapata Ila muda wa kwenda clinic ulikosa.... 😭

Kaka nisikilize vizuri....
Hao wwnaokushauri sijui uondoke ubadilishe namba, sjui umpeleke kijijini halaf uhame..m.mmWanakudanganya. Mtendee wema huyo Dada Hadi ajifungue. Mhudumie, mlishe, mveshe, Ila usiongee mengi kuhusiana na maisha ya kuoana. Mtoto akifikisha miaka 2 tafuta house girl asaidie kulea mtoto... Mama mtoto mtafutie kazi ya kufanya kama hana. Ukishaona amesimama sasa Anza vituko hadi mwenyewe anyooshe mikono akuache kwa Amani. Au kama ukiweza kumchana usoni kwamba hukuwa na malengo nye hivyo unaenda kuendelea na life lako sawa tu. Ni naamini hata yeye anajua kwamba mlishaachana ni mimba tu ndiyo ilirudisha mawasiliano.

Kumuoa sio lazima Ila kumhudumia ni lazima kama mimba ni yako.

Wala sio wa kumbembeleza hivyo huyo ni wa kutukana, aelewe badae atakuja kulalamika natafuta mtoto na mke wangu hashiki mimba kumbe kuna vingine umevitoa huko huko ujanani.

Lea mama na mimba yake tena ujiandae kutoa mahari umbwa mmoja wewe.
Kesho atajipanga hapa kutukana single mother.
 
Sio kumkimbia, wanawake mara nyingine akili zao wanazijuwaga wenyewe ; yaani mtu toka mwanzo lengo la kuishi naye hakuwa nalo Sasa yeye kajileta kwa nguvu ili iwaje?
Unashindwa Nini kumwambia mwanamke kwamba sitaki Tupate mtoto na wewe?
Unamuogopa? Mwambie ukweli kwamba sitaki mtoto kwa sasa.na uzuri wanawake wakiona hutaki wanavyotaka wanaondokaga Maskini wa Mungu.
 
Unashindwa Nini kumwambia mwanamke kwamba sitaki Tupate mtoto na wewe?
Unamuogopa? Mwambie ukweli kwamba sitaki mtoto kwa sasa.na uzuri wanawake wakiona hutaki wanavyotaka wanaondokaga Maskini wa Mungu.
Kasema atalea, sasa hapo ulitaka aseme hataki mtoto ili ajiingize kwenye hatia ya kujustify kutoa mimba?!
Mtoto atalea lakini hayupo tayari kutengeneza maisha na huyo mwanamke
 
Wanaume tukianza kuthamini mbegu, tukaacha kuzimwaga kwa mwanamke yeyote, jamiii itapata watoto wenye akili mno.
 
Wala sio wa kumbembeleza hivyo huyo ni wa kutukana, aelewe badae atakuja kulalamika natafuta mtoto na mke wangu hashiki mimba kumbe kuna vingine umevitoa huko huko ujanani.

Lea mama na mimba yake tena ujiandae kutoa mahari umbwa mmoja wewe.
Kesho atajipanga hapa kutukana single mother.
Alipaswa atumie kinga kukwepa kero ndogondogo
Kumkimbia sio dawaa
 
Dah!! Huyu ni binti flani wa kishua na kwao ni kama vile geti kali
 
Muda wa kukojoa ulikuwa unapata Ila muda wa kwenda clinic ulikosa.... 😭

Kaka nisikilize vizuri....
Hao wwnaokushauri sijui uondoke ubadilishe namba, sjui umpeleke kijijini halaf uhame..m.mmWanakudanganya. Mtendee wema huyo Dada Hadi ajifungue. Mhudumie, mlishe, mveshe, Ila usiongee mengi kuhusiana na maisha ya kuoana. Mtoto akifikisha miaka 2 tafuta house girl asaidie kulea mtoto... Mama mtoto mtafutie kazi ya kufanya kama hana. Ukishaona amesimama sasa Anza vituko hadi mwenyewe anyooshe mikono akuache kwa Amani. Au kama ukiweza kumchana usoni kwamba hukuwa na malengo nye hivyo unaenda kuendelea na life lako sawa tu. Ni naamini hata yeye anajua kwamba mlishaachana ni mimba tu ndiyo ilirudisha mawasiliano.

Kumuoa sio lazima Ila kumhudumia ni lazima kama mimba ni yako.
Una maneno ya kunifikirisha mara 2 cacutee. Nimependa ushauri wako
 
Sasa mbona bado unakuwa muoga wa maisha kama mtu mwenye miaka 17.
Jambo limeshatokea huna budi kudili nalo hapo hakuna kikwazo cha msingi maana ulishasema kwamba mmeachana na mkeo wa zamani.
Kumtelekeza huyo mwanamke itakuwa ni muendelezo wa kuzalisha single mothers na watoto machokoraa bila sababu za kueleweka..
Huo mzigo ni wako pambana nao
 
Back
Top Bottom