Nimevamiwa nyumbani kwangu na mwanamke niliyempa mimba. Nifanyeje?

Nimevamiwa nyumbani kwangu na mwanamke niliyempa mimba. Nifanyeje?

Irresponsible Guy kwenye moja na mbili. Yani umetongoza na kutomber mwenyewe kwa raha zako huku ukiwa unajua kabisa humpendi huyo mwanamke ila ukawa unakojolea ndani tu.

Kwa scenario tu inaonesha huyo mwanamke kwako alikuwa easy prey, ni aidha ni beki 3 wa mtu kisha umempa mimba na tunajua kabisa mabeki tatu wengi walivyo madumuzi🤣! Kikubwa lea mimba tu acha janja janja huyo ndio kashafika hapo.
 
Niliachana na mke wangu mwaka jana baada ya kutofautiana mienendo. Japo hatukufunga ndoa ila nilimposa na kila kitu tulikamilisha tukaanza maisha.

Baadae niliamua kutafta mwanamke mwingine tukawa na mahusiano ya kawaida tu, na hatukuwa tukiishi wote. Mwezi uliopita tulizinguana na kila mmoja akapita na mambo yake japo siku kadhaa kabla ya kuachana aliwahi kunidokezea kuwa anahisi ana mimba yangu. Sikufikiria kitu kwa vile hakuwa na uhakika na hali ile.

Bas bwana, zikapita siku nne baada ya kuachana akaomba tuonane. Sikukataa na nilifanya hivyo. Alinipa taarifa rasmi kuwa amefanya UPT na majibu yanaonesha ni kweli amebahatika kuwa na mimba japo haukuwa mpango wetu.
Nilipokea taarifa kisha kila mtu akaendelea na mambo yake.

Baada ya muda aliomba tuende clinic ya kwanza kama yalivyo maelekezo ya wadau wa afya kuwa mahudhurio ya kwanza ni lazima waende wahusika wa ujauzito kwa ajili ya vipimo. Hapo nilichenga kulingana na nature ya kazi yangu..... niko busy sana mda mwingi. Siku zilisonga na alipewa barua ya kumruhusu kusajiliwa na kuanza clinic bila ya uwepo wangu.

Juzi nipo zangu kwangu (japo nimepanga) nikiwa napumzika mara paap!! Mabegi na mazagazaga yote ya yule mwanamke. Alipita hadi ndani kisha akawa mkali na maneno makali sana. Alinipa uhakika kuwa ameamua ahamie kwangu rasmi kwa sababu ya mimba japo sikuwahi kukataa kumtunza na kuilea mimba. Ila kiufupi ni kuwa nimevamiwa na mke.

Binafsi sijakubaliana na hii hali na sikumwonesha mwitikio hasi juu ya maamuz yake yaliouchukiza moyo wangu.

Sasa wadau hizi scenario huwa mnazitatuaje asee. Me sielewi yani ila nataka nimtoe niendelee na maisha ya kivyangu na nimtunze akiwa kwao hukohuko.

Karibuni kwa maoni
Akurudishie mimba yako
 
NO sio sahihi kuacha kila kitu kwa malaya angekuwa mke saw. Anachopaswa kufanya aongee na washikaji zake awaambie waje watoe kila kitu cha muhimu cha jamaa kisha wapeleke geto jingine ndo jamaa ahamie huko yani aondoe kila nguo na vitu vya muhimu.

Muhimu siku wanahama jamaa atokee nae out kisha awe anawasiliana na jamaa zake kwa sms wakati wa kurudi yeye na malaya wake amwambie tangulia home napita kwa J mara moja kisha baada ya muda amwambie mimi hapo ni mehama nimekuachia wewe maana umekuja kishari sijajua umekuja kwa nia gani kwangu nahofia usalama wangu. Ishi hapo mimba nitahudumia kama kawaida kisha piga kimyaa
Anayetembea na malaya naye ni malaya tu. Hawana tofauti.
 
Niliachana na mke wangu mwaka jana baada ya kutofautiana mienendo. Japo hatukufunga ndoa ila nilimposa na kila kitu tulikamilisha tukaanza maisha.

Baadae niliamua kutafta mwanamke mwingine tukawa na mahusiano ya kawaida tu, na hatukuwa tukiishi wote. Mwezi uliopita tulizinguana na kila mmoja akapita na mambo yake japo siku kadhaa kabla ya kuachana aliwahi kunidokezea kuwa anahisi ana mimba yangu. Sikufikiria kitu kwa vile hakuwa na uhakika na hali ile.

Bas bwana, zikapita siku nne baada ya kuachana akaomba tuonane. Sikukataa na nilifanya hivyo. Alinipa taarifa rasmi kuwa amefanya UPT na majibu yanaonesha ni kweli amebahatika kuwa na mimba japo haukuwa mpango wetu.
Nilipokea taarifa kisha kila mtu akaendelea na mambo yake.

Baada ya muda aliomba tuende clinic ya kwanza kama yalivyo maelekezo ya wadau wa afya kuwa mahudhurio ya kwanza ni lazima waende wahusika wa ujauzito kwa ajili ya vipimo. Hapo nilichenga kulingana na nature ya kazi yangu..... niko busy sana mda mwingi. Siku zilisonga na alipewa barua ya kumruhusu kusajiliwa na kuanza clinic bila ya uwepo wangu.

Juzi nipo zangu kwangu (japo nimepanga) nikiwa napumzika mara paap!! Mabegi na mazagazaga yote ya yule mwanamke. Alipita hadi ndani kisha akawa mkali na maneno makali sana. Alinipa uhakika kuwa ameamua ahamie kwangu rasmi kwa sababu ya mimba japo sikuwahi kukataa kumtunza na kuilea mimba. Ila kiufupi ni kuwa nimevamiwa na mke.

Binafsi sijakubaliana na hii hali na sikumwonesha mwitikio hasi juu ya maamuz yake yaliouchukiza moyo wangu.

Sasa wadau hizi scenario huwa mnazitatuaje asee. Me sielewi yani ila nataka nimtoe niendelee na maisha ya kivyangu na nimtunze akiwa kwao hukohuko.

Karibuni kwa maoni
Mpe mimba nyingine atatulia tu
 
Tulia hapo hapo.
Ukitoka kazini utawakuta wote ndani kwako wamekaa wanakusubiria.

Mnajua kutuharibia watoto tu, eti eeh ?
 
Yeye alikwambia ana mpango wa kuwa single mother?
Ila wakati mwingine wasichana, wadada na wanawake sijui wanakuwa na akili gani!!!!!! Mtu hajakwambia kuwa ana mpango wowote na wewe, inakuwaje unajiachia tu na kujamiiana na mwanaume bila kinga??? Yaani na mambo yote yanayotokea kwa wengine hatujifunzi kuwa na sisi yanaweza kututokea??? It is high time sasa wanawake tuamke na kutumia akili kuwa hawa wenzetu huwa hawana nia nzuri na sisi. Wao shida yao ni kumaliza upwiru tu ukiwabana. Angalia comments za baadhi ya wanaume wanazozitoa humu!!!!
 
Niliachana na mke wangu mwaka jana baada ya kutofautiana mienendo. Japo hatukufunga ndoa ila nilimposa na kila kitu tulikamilisha tukaanza maisha.

Baadae niliamua kutafta mwanamke mwingine tukawa na mahusiano ya kawaida tu, na hatukuwa tukiishi wote. Mwezi uliopita tulizinguana na kila mmoja akapita na mambo yake japo siku kadhaa kabla ya kuachana aliwahi kunidokezea kuwa anahisi ana mimba yangu. Sikufikiria kitu kwa vile hakuwa na uhakika na hali ile.

Bas bwana, zikapita siku nne baada ya kuachana akaomba tuonane. Sikukataa na nilifanya hivyo. Alinipa taarifa rasmi kuwa amefanya UPT na majibu yanaonesha ni kweli amebahatika kuwa na mimba japo haukuwa mpango wetu.
Nilipokea taarifa kisha kila mtu akaendelea na mambo yake.

Baada ya muda aliomba tuende clinic ya kwanza kama yalivyo maelekezo ya wadau wa afya kuwa mahudhurio ya kwanza ni lazima waende wahusika wa ujauzito kwa ajili ya vipimo. Hapo nilichenga kulingana na nature ya kazi yangu..... niko busy sana mda mwingi. Siku zilisonga na alipewa barua ya kumruhusu kusajiliwa na kuanza clinic bila ya uwepo wangu.

Juzi nipo zangu kwangu (japo nimepanga) nikiwa napumzika mara paap!! Mabegi na mazagazaga yote ya yule mwanamke. Alipita hadi ndani kisha akawa mkali na maneno makali sana. Alinipa uhakika kuwa ameamua ahamie kwangu rasmi kwa sababu ya mimba japo sikuwahi kukataa kumtunza na kuilea mimba. Ila kiufupi ni kuwa nimevamiwa na mke.

Binafsi sijakubaliana na hii hali na sikumwonesha mwitikio hasi juu ya maamuz yake yaliouchukiza moyo wangu.

Sasa wadau hizi scenario huwa mnazitatuaje asee. Me sielewi yani ila nataka nimtoe niendelee na maisha ya kivyangu na nimtunze akiwa kwao hukohuko.

Karibuni kwa maoni
Ukizingua apo utalogwa
 
Hii comment hapa👇 sio mimi nimeandika..kwanini umeedit comment yangu ya mwanzo?

Mods ...nini hiki kimefanyika hapa? Active
Screenshot_20250305-073730_Chrome.jpg
 
kiume zaidi
1.mwachie chumba na vyombo vyote vya ndani (usibebe chochote)
2.mpe mtaji huku ukiendelea kumsapoti mlo na mavazi
3.zungumza nae vizuri wala usimwoneshe humkubali
4.fikiria kama ungekuwa ni wewe na unataka tendewa mambo magumu huku una kiumbe tumboni ungejisikiaje
 
kiume zaidi
1.mwachie chumba na vyombo vyote vya ndani (usibebe chochote)
2.mpe mtaji huku ukiendelea kumsapoti mlo na mavazi
3.zungumza nae vizuri wala usimwoneshe humkubali
4.fikiria kama ungekuwa ni wewe na unataka tendewa mambo magumu huku una kiumbe tumboni ungejisikiaje
Hakuna cha kukimbia

Wakati anakatikia alitegemea nini?
 
Muda wa kukojoa ulikuwa unapata Ila muda wa kwenda clinic ulikosa.... 😭

Kaka nisikilize vizuri....
Hao wwnaokushauri sijui uondoke ubadilishe namba, sjui umpeleke kijijini halaf uhame..m.mmWanakudanganya. Mtendee wema huyo Dada Hadi ajifungue. Mhudumie, mlishe, mveshe, Ila usiongee mengi kuhusiana na maisha ya kuoana. Mtoto akifikisha miaka 2 tafuta house girl asaidie kulea mtoto... Mama mtoto mtafutie kazi ya kufanya kama hana. Ukishaona amesimama sasa Anza vituko hadi mwenyewe anyooshe mikono akuache kwa Amani. Au kama ukiweza kumchana usoni kwamba hukuwa na malengo nye hivyo unaenda kuendelea na life lako sawa tu. Ni naamini hata yeye anajua kwamba mlishaachana ni mimba tu ndiyo ilirudisha mawasiliano.

Kumuoa sio lazima Ila kumhudumia ni lazima kama mimba ni yako.
 
Back
Top Bottom