Nimevamiwa nyumbani kwangu na mwanamke niliyempa mimba. Nifanyeje?

Bila kupepesa atakua mchaga huyo?? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nilimweleza kuwa hapa ni nyumba ya mtu. Akadai kuwa watabanana humuhumu
haya majanga tena! wanawake asilimia kubwa wanasababisha msongo wa mawazo, vifo, magonjwa yasiyotibika kwa wanaume!

Ndio hiyo kipindi wadogo wanasema kua uyaone sasa umeingia kwenye regret ya maisha usipoangalia watakuharibia maisha!
Kuwa mtulivu sana wa akili ndugu pia uwe unafanya Ibada na maombi.
 
Bora mzunguko uendelee mkuu ila siwez kuishi na mtu ambaye sikuwa na malengo naye
Kwanin uliingia mahusiano nae? Yajengen muanze maisha tu, utarukaruka mpaka lin mkuu? Au bdo unampenda wakwanza?

Ucpokua makin utakonda sana!
 
Ukiamua kuzaa bwana zaa tu.
Ukifosi hawa wanaume๐Ÿ‘
Single mom mwingine huyu mjini
 
Kamilisha utaratibu ili wadau wajue wanamuweka fungu gani huyo mwanamke fungu la singo Mama ili wampondee au mke wa mtu ili wamkaushie
 
Ukumbuki haya :โ€œItโ€™s all yours ๐Ÿ‘ babe, youโ€™re the only oneโ€
 
Amina ndugu๐Ÿ™
 
Kwanin uliingia mahusiano nae? Yajengen muanze maisha tu, utarukaruka mpaka lin mkuu? Au bdo unampenda wakwanza?

Ucpokua makin utakonda sana!
Nishakonda hata hvo. Ila n kukurupukia mahusiano
 
Wewe dada kama upo huku ustoke Kaa hapo hapo, imagine kama ni mtoto wako
 
Kamilisha utaratibu ili wadau wajue wanamuweka fungu gani huyo mwanamke fungu la singo Mama ili wampondee au mke wa mtu ili wamkaushie
Bora single maza bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ