Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kweli ni hadithi mkuu hakuna mwanamke wa hivoHaya ni ya kweliiii au ni hadithi mkuu...
Kuna mwanamke wa hivyo kweeeli????? Na kuna mwanaume mvumilivu kiasi hicho kweeeli???? Bado inaniwia ngumu kuamini
ndio maana nimesema sasa ni kigoma mwisho wa reliIf its true then you are in big shit mkuu, mke anarudi bila chupi,analewa na kukojoa kwenye ndoo chumbani ? Pole sana mkuu na hongera kwa uvumilivu wako ,,,,,,,,,,,ila huna mke hapo
Mkuu mtu anaelezea hali halisi wewe hutakiHaya ni ya kweliiii au ni hadithi mkuu...
Kuna mwanamke wa hivyo kweeeli????? Na kuna mwanaume mvumilivu kiasi hicho kweeeli???? Bado inaniwia ngumu kuamini
Huo ni mzigo kama bado unamuhitaji mtafute mwanasaikolojia ila pia anaweza leta magonjwa kwy ndoa. Pole sana ila kama mkristo mpeleke kwenye maombi.Nilimuoa kujaribu kumrekebisha tabia yake lakini duuh
POLE SAMNA MDAUSalaam,
Jamani nasumbuliwa na shemeji yenu ndoa hii ina tabu sana nimevumilia mpaka nimeona leo niwashikishe mke huyu anavuta ugoro, pariki, mlevi wa pombe na kikojozi choo kipo ndani yeye anatumia ndoo na siku nyingine anajisaidia bila kujua kwa ulevi.
Nilijaribu kuwaita ndugu na jamaa kuomba msamaha na kusema harudii, siku nyingine akitoka amevaa chupi harudi nayo mi navumilia mpaka niliamua kuwacha mlango wazi ili asinisumbue kugonga.
Sasa kali ni jana amerudi amelala ukumbini nguo hata moja hana na ananuka choo mpaka muda huu naona watoto pia hawajatoka vyumbani kwa kuogopa fedhea nahisi walitoka wakamuona mama yao, hii ni safari namrudisha Makete nimechoka wadau.
Uvumilivu umenishinda
Aksante mkuuPOLE SAMNA MDAU
Umenena vyema mkuu great!!!Huo ni mzigo kama bado unamuhitaji mtafute mwanasaikolojia ila pia anaweza leta magonjwa kwy ndoa. Pole sana ila kama mkristo mpeleke kwenye maombi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh Kazi mnayoNilimuoa kujaribu kumrekebisha tabia yake lakini duuh
Nimekupata mkuuHapo ndio ndoa inapokuwa ngumu,mkabidhi Mungu hiyo shida ili ikuepuke maana naona kila dalili za kuvunjika hiyo ndoa.
Duuuhtafuta hela muanze honeymoon mbaliii
mkuu si ya kucheka hayahahahahaha imenibidi nicheke mpaka mwisho utakuwa umelogwa