Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

If its true then you are in big shit mkuu, mke anarudi bila chupi,analewa na kukojoa kwenye ndoo chumbani ? Pole sana mkuu na hongera kwa uvumilivu wako ,,,,,,,,,,,ila huna mke hapo
 
Haya ni ya kweliiii au ni hadithi mkuu...

Kuna mwanamke wa hivyo kweeeli????? Na kuna mwanaume mvumilivu kiasi hicho kweeeli???? Bado inaniwia ngumu kuamini
Hii kweli ni hadithi mkuu hakuna mwanamke wa hivo
 
If its true then you are in big shit mkuu, mke anarudi bila chupi,analewa na kukojoa kwenye ndoo chumbani ? Pole sana mkuu na hongera kwa uvumilivu wako ,,,,,,,,,,,ila huna mke hapo
ndio maana nimesema sasa ni kigoma mwisho wa reli
 
Salaam,

Jamani nasumbuliwa na shemeji yenu ndoa hii ina tabu sana nimevumilia mpaka nimeona leo niwashikishe mke huyu anavuta ugoro, pariki, mlevi wa pombe na kikojozi choo kipo ndani yeye anatumia ndoo na siku nyingine anajisaidia bila kujua kwa ulevi.

Nilijaribu kuwaita ndugu na jamaa kuomba msamaha na kusema harudii, siku nyingine akitoka amevaa chupi harudi nayo mi navumilia mpaka niliamua kuwacha mlango wazi ili asinisumbue kugonga.

Sasa kali ni jana amerudi amelala ukumbini nguo hata moja hana na ananuka choo mpaka muda huu naona watoto pia hawajatoka vyumbani kwa kuogopa fedhea nahisi walitoka wakamuona mama yao, hii ni safari namrudisha Makete nimechoka wadau.

Uvumilivu umenishinda
POLE SAMNA MDAU
 
Daaaah kwanza hongera kwa uvumilivu ulioonesha.
Pili pole kwa kuwa ulioa BOMU LA HIROSHIMA badala ya kuoa mke

commred Chichimizi
 
Achana nae ukishamuacha na akil zake za kipumbavu azitumie ss kuendesha maisha yake uone kama atafanikiwa kwa upumbavu wake


Unamrea mkuu shtukaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndio ndoa inapokuwa ngumu,mkabidhi Mungu hiyo shida ili ikuepuke maana naona kila dalili za kuvunjika hiyo ndoa.
 
Pongezi na shukrani kwa kuniwekea vyema bandiko la uzi wangu kuweza kusomeka vyema
 
Pongezi na shukrani kwa mod's kuniwekea vyema bandiko la uzi wangu kuweza kusomeka vyema
 
Back
Top Bottom