Nimevunja kioo cha kishikwambi

Nimevunja kioo cha kishikwambi

Kishikwambi ni samsang ila ckumbuki aina gani, ni samasang ambayo kioo chake kipo kama kilamelala kushoto na kulia hiyo ndio kishikwambi ,na gharama za kioo kwa ile cm ni kuanzia 150000 mpka 300000 kutokana na duka utakalopata kioo na ubora wa kioo chenyewe hii inapelekea cm aina ya samasang ikivunjika kiooo iwekwe ndani ukanunue nyingine
Mmmh
 
Kishikwambi ni samsang ila ckumbuki aina gani, ni samasang ambayo kioo chake kipo kama kilamelala kushoto na kulia hiyo ndio kishikwambi ,na gharama za kioo kwa ile cm ni kuanzia 150000 mpka 300000 kutokana na duka utakalopata kioo na ubora wa kioo chenyewe hii inapelekea cm aina ya samasang ikivunjika kiooo iwekwe ndani ukanunue nyingine
Walivyopewa walimu ni hivi vya sensa ZTE Vinavyojizima hivi
 
Walivyopewa walimu ni hivi vya sensa ZTE Vinavyojizima hivi
Sasa hiyo sio kishikwambi, jina kishikwambi limeletwa na kati ya voda au airtel walikuwa wanauza cm zao ni hizo samsang kwa promoshen na ndio wakazita kishakwambi ktk matangazo yako
 
Kishkwambi sio mali ya shule au ya serikali, ni mali ya mwalimu kwa sababu mali yeyote ya serikali huingizwa kwwnye ledger na kupewa namba. Hivi vimegawiwa, sijui kada ya shule ila sisi wwngine tumepewa kwa kutumia namba ya mshahara na wanaostaf naona wanaondoka navyo.
Sijui ni kwa nini bbaadhi ya watu wameumia sana kwa mwalimu kupewa tablet wanahoji vitu vya kishamba na vya kijinga.
Matumizi yake ni haya.
1. Materials na notes nyingi zipo online hivo mwalimu atatumia mda mfupi kuandaa notes so badala ya kuandika atasihifadhi tu na kuzitumia tena na tena.
2. Wakati wa kufundisha hatalazimika kuwa na gadfets nyingi around sababu kila kitu kitakuwa kwenye tablet
 
Sasa hiyo sio kishikwambi, jina kishikwambi limeletwa na kati ya voda au airtel walikuwa wanauza cm zao ni hizo samsang kwa promoshen na ndio wakazita kishakwambi ktk matangazo yako
Daah nchi ngumu sana hii jina limeletwa na Voda au we jamaa ........ Au basi
 
Tusichoshane...
Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini ,

Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilicho pewa na serikali ya chama cha mapinduzi

Naombeni ushauri wapi naweza pata spare maan me npo Tanga .....ama kama kuna utaratubu wa kufuata mtu ukiharibu naomba mnijuze
Bora kimevunjika kuna jina la ringtone humo halifai kabisa kwa mazingira yetu
 
Mpelekee IT wa HALMASHAURI akitengeneze
 
V
Tusichoshane...
Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini ,

Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilicho pewa na serikali ya chama cha mapinduzi

Naombeni ushauri wapi naweza pata spare maan me npo Tanga .....ama kama kuna utaratubu wa kufuata mtu ukiharibu naomba mnijuze
Vishkwambi karibu vyote vitakuwa vimekwisha by end of next year. Atakayebaki na manufaa ni yule aliyepata tenda ya kuleta hayo madude kutoka nje.
 
Tumia akili hicho kishikwambi kinakusaidiaje wewe katika ufundishaji wako?
Daah harafu unajiita Dr...pana dogo mmoja ni fundi wa magari Engine nyingi ameweza kuzitengeneza kwa sababu anajisomea na kuuliza maswali alinunua Laptop yake sasa hivi amekodi maeneo ya wauzaji wa mafuta kampuni ya Total na anafanya vizuri...uwe mwalimu au unafanya shughuli yeyote hivyo vitu vinasaidia kupata nondo zaidi sema Bongo tuna shida sana...
 
Daah harafu unajiita Dr...pana dogo mmoja ni fundi wa magari Engine nyingi ameweza kuzitengeneza kwa sababu anajisomea na kuuliza maswali alinunua Laptop yake sasa hivi amekodi maeneo ya wauzaji wa mafuta kampuni ya Total na anafanya vizuri...uwe mwalimu au unafanya shughuli yeyote hivyo vitu vinasaidia kupata nondo zaidi sema Bongo tuna shida sana...
Hujaelewa nilichomaanisha. Waalimu wamekuwa wakilalamika Sana kwa vitu vidogo
 
Kishkwambi sio mali ya shule au ya serikali, ni mali ya mwalimu kwa sababu mali yeyote ya serikali huingizwa kwwnye ledger na kupewa namba. Hivi vimegawiwa, sijui kada ya shule ila sisi wwngine tumepewa kwa kutumia namba ya mshahara na wanaostaf naona wanaondoka navyo.
Sijui ni kwa nini bbaadhi ya watu wameumia sana kwa mwalimu kupewa tablet wanahoji vitu vya kishamba na vya kijinga.
Matumizi yake ni haya.
1. Materials na notes nyingi zipo online hivo mwalimu atatumia mda mfupi kuandaa notes so badala ya kuandika atasihifadhi tu na kuzitumia tena na tena.
2. Wakati wa kufundisha hatalazimika kuwa na gadfets nyingi around sababu kila kitu kitakuwa kwenye tablet
Hivi kabla ya kupewa hizo tablets walikuwa walikuwa wanazuiwa kuwa na laptops au tablets zao binafsi kuwarahisishia kutunza kazi zao kama unavyosema? Mfano kuna walimu wananunua pikipiki au magari ili kurahisisha usafiri kwenda kazini. So kwa nini pia wasiwe na hizo tablets hata za used mpaka wasubiri za mgao?
 
Back
Top Bottom