Aidanna
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 1,810
- 2,844
Ni darasa lipo huko matawi ya chini....Kishkwambi ndio kitu gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni darasa lipo huko matawi ya chini....Kishkwambi ndio kitu gani
Kishkwambi nasikia kinauzwa laki 2 na nusu! Sasa si bora tu ukanunue kingine!!Tusichoshane. Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini...
Hakina msaada wowote Ili kiwe namsaada bado vitu vingi serikali ileteTumia akili ndogo tu unadhani hakina msaada wowote kwenye ufundishaji wa mwalimu
Vioo vya vifaa vya kichina vinaingiliana, tafuta fundi mzoefu akuangalizie, unaweza kuta kinakubali na Tecno fulani hiviTusichoshane. Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini.
Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilichopewa na serikali ya chama cha mapinduzi.
Naombeni ushauri wapi naweza pata spare maana me nipo Tanga, ama kama kuna utaratubu wa kufuata mtu ukiharibu naomba mnijuze.
Daah OK sawa mkuu...Hujaelewa nilichomaanisha. Waalimu wamekuwa wakilalamika Sana kwa vitu vidogo
Keki ya taifa ni kubwa sana, acha walimu wapate vishikwambi.Kishkwambi sio mali ya shule au ya serikali, ni mali ya mwalimu kwa sababu mali yeyote ya serikali huingizwa kwwnye ledger na kupewa namba. Hivi vimegawiwa, sijui kada ya shule ila sisi wwngine tumepewa kwa kutumia namba ya mshahara na wanaostaf naona wanaondoka navyo.
Sijui ni kwa nini bbaadhi ya watu wameumia sana kwa mwalimu kupewa tablet wanahoji vitu vya kishamba na vya kijinga.
Matumizi yake ni haya.
1. Materials na notes nyingi zipo online hivo mwalimu atatumia mda mfupi kuandaa notes so badala ya kuandika atasihifadhi tu na kuzitumia tena na tena.
2. Wakati wa kufundisha hatalazimika kuwa na gadfets nyingi around sababu kila kitu kitakuwa kwenye tablet
Jina lipi hilo nduguBora kimevunjika kuna jina la ringtone humo halifai kabisa kwa mazingira yetu
Nipe location ndug nikanunueKishkwambi nasikia kinauzwa laki 2 na nusu! Sasa si bora tu ukanunue kingine!!
Tazama ringtone zilizomo utarudi hapa mwenyewe ukiwa una🤭Jina lipi hilo ndugu
Dokezo kivipi naomba unifafanulieKiandikie dokezo
Unatia huruma sana mwalimu!! Hujui hata ku upload ni nini? Hii nchi ina walimu wa hovyo sana.Siku hizi siingii na vitabu darasani naupload notisi Safi kutoka msomi Bora nafundisha.
Sawa bossUnatia huruma sana mwalimu!! Hujui hata ku upload ni nini? Hii nchi ina walimu wa hovyo sana.