Nimevunja kioo cha kishikwambi

Nimevunja kioo cha kishikwambi

waBONGO WANAUMIA MATICHA KUPATA VISHKWAMBI VYA ELFU 80, WATENDAJI KUPATA PKPK.

UJINGA NI MARADHI NA UMASIKINI.
 
Tusichoshane. Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini.

Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilichopewa na serikali ya chama cha mapinduzi.

Naombeni ushauri wapi naweza pata spare maana me nipo Tanga, ama kama kuna utaratubu wa kufuata mtu ukiharibu naomba mnijuze.
Vioo vya vifaa vya kichina vinaingiliana, tafuta fundi mzoefu akuangalizie, unaweza kuta kinakubali na Tecno fulani hivi
 
Sasa mwalimu kishikwambi upewe wewe halafu utaratibu kikiharibika utuulize sisi!!!
 
Kishkwambi sio mali ya shule au ya serikali, ni mali ya mwalimu kwa sababu mali yeyote ya serikali huingizwa kwwnye ledger na kupewa namba. Hivi vimegawiwa, sijui kada ya shule ila sisi wwngine tumepewa kwa kutumia namba ya mshahara na wanaostaf naona wanaondoka navyo.
Sijui ni kwa nini bbaadhi ya watu wameumia sana kwa mwalimu kupewa tablet wanahoji vitu vya kishamba na vya kijinga.
Matumizi yake ni haya.
1. Materials na notes nyingi zipo online hivo mwalimu atatumia mda mfupi kuandaa notes so badala ya kuandika atasihifadhi tu na kuzitumia tena na tena.
2. Wakati wa kufundisha hatalazimika kuwa na gadfets nyingi around sababu kila kitu kitakuwa kwenye tablet
Keki ya taifa ni kubwa sana, acha walimu wapate vishikwambi.

Kuna mambo ya muhimu ya kuhoji ila waTZ wanafumbia macho kwa kuzingatia kitu cha TZS 200K+
 
Baada ya kifo cha mwalimu
Walimu mnanyanyasika sana,
Kule mbeya tayari mwalimu yupo mbaloni. Kumbe mna kesi nyingine ya vishikwambi?
 
Kwanza Mtuambie mmepewa mnavitumiaje huko
Na tokea Umepewa Kimekubadilishia nn
 
Taja wilaya uliopo ili tuangalie kama kuna duka la spare parts zake. Hairuhusiwi kukirekebisha kabla haujatoa taarifa.
 
Back
Top Bottom