Nimevunja kioo cha kishikwambi

Nimevunja kioo cha kishikwambi

Kishkwambi sio mali ya shule au ya serikali, ni mali ya mwalimu kwa sababu mali yeyote ya serikali huingizwa kwwnye ledger na kupewa namba. Hivi vimegawiwa, sijui kada ya shule ila sisi wwngine tumepewa kwa kutumia namba ya mshahara na wanaostaf naona wanaondoka navyo.
Sijui ni kwa nini bbaadhi ya watu wameumia sana kwa mwalimu kupewa tablet wanahoji vitu vya kishamba na vya kijinga.
Matumizi yake ni haya.
1. Materials na notes nyingi zipo online hivo mwalimu atatumia mda mfupi kuandaa notes so badala ya kuandika atasihifadhi tu na kuzitumia tena na tena.
2. Wakati wa kufundisha hatalazimika kuwa na gadfets nyingi around sababu kila kitu kitakuwa kwenye tablet
1.Students marks records nk.
2.Simution of abstract ideas.
3.Software approach based teaching.
4.Best library access.
5.Lessons records for future use.
Matanzania badala ya kupigania vishikwambi viongezwe ili wanafunzi nao wawe navyo yanabeza tu.
Sasa unabaki kujiuliza bora serilikali isingegawa au ilivyogawa.
Utakuta limtu(kwa lugha ya Sabaya) halijui hata kutumia internet, office programs nk ila linapayuka humu.
Utakuta hata kwake hsalina hata used computer kwa matumizi ya watoto wake ila linapayuka.
Utakuta jitu linabeza halijawahi ku donate hata penseli. Haya majitu ya hovyo tuyapuuze kabisa.
 
Yani sura zingekuwa zinaonekana humu wengi mngeumbuliwa na walimu maana wanajua jinsi mlivokuwa vilaza mashuleni. Na matokeo yenu bado wanayo, kama unabisha weka sura yako tujue akili yako.
 
Yani sura zingekuwa zinaonekana humu wengi mngeumbuliwa na walimu maana wanajua jinsi mlivokuwa vilaza mashuleni. Na matokeo yenu bado wanayo, kama unabisha weka sura yako tujue akili yako.
Acha kuishi kwa historia, matokeo ya shule ni kitu kilichopita na kwasasa watu wanaishi tofauti na matokeo yao.
 
1.Students marks records nk.
2.Simution of abstract ideas.
3.Software approach based teaching.
4.Best library access.
5.Lessons records for future use.
Matanzania badala ya kupigania vishikwambi viongezwe ili wanafunzi nao wawe navyo yanabeza tu.
Sasa unabaki kujiuliza bora serilikali isingegawa au ilivyogawa.
Utakuta limtu(kwa lugha ya Sabaya) halijui hata kutumia internet, office programs nk ila linapayuka humu.
Utakuta hata kwake hsalina hata used computer kwa matumizi ya watoto wake ila linapayuka.
Utakuta jitu linabeza halijawahi ku donate hata penseli. Haya majitu ya hovyo tuyapuuze kabisa.
Bila shaka wewe ni mwalimu maana umeongea kwa hisia kali sana,cool down bro
 
Tusichoshane. Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini.

Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilichopewa na serikali ya chama cha mapinduzi.

Naombeni ushauri wapi naweza pata spare maana me nipo Tanga, ama kama kuna utaratubu wa kufuata mtu ukiharibu naomba mnijuze.
Ndugu Mwalimu ulipataga solution ya Kishikwambi chako?

Nina sista mwalimu mkoani huko nayeye kavunja kioo cha kishikwambi
 
Kwani kikivunjika ndo nini mbna mi kilivunjika mapema sana kipo tu ndani
 
Tusichoshane. Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini.

Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilichopewa na serikali ya chama cha mapinduzi.

Naombeni ushauri wapi naweza pata spare maana me nipo Tanga, ama kama kuna utaratubu wa kufuata mtu ukiharibu naomba mnijuze.
Upo tanga sehemu gani kama ni korogwe nenda Kwa huyu jamaa anafix ndan ya dk 10-15 0717 029 952
 
Tusichoshane. Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini.

Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilichopewa na serikali ya chama cha mapinduzi.

Naombeni ushauri wapi naweza pata spare maana me nipo Tanga, ama kama kuna utaratubu wa kufuata mtu ukiharibu naomba mnijuze.
Fainali uzeeni
Tutapita na kiinua mgongo chako
"......endeleeni kuwapa watoto wenu wachezee game"
 
Back
Top Bottom