Nimevunja Ndoa ya Ex Wangu kisa kumchangia Damu. Mumewe kawa mbogo kaapa kuni surprise

Sijawahi soma comment ya kipuuzi kama hii yani maneno yanatoka mdomoni hata mtu hafikirii. Hakuna ushauri hala huu ni upuuzi mtoto. Kikakonna wazee kuna sehemu kaandika kuwa amelala na binti baada ya kuolewa. Angalieni na comment za kutoa
 
Chakwanza jiulize tu maswali yako personal moyoni na ujijibu ukweli
1. Bado unampenda?
2. Kinachoendelea sasa kwa huyo ex wako je! Kingetokea kwa binti yako ww kama baba ungemshaurije?


Kikubwa maswali yapo mengi yakujiuliza na kujitafakari. Ila kwakua kashaoleaa hata kama unampenda hutakiw kumsogelea tayar ni mali ya mtu na hata kama ikitokea kashindwana na bwana ake sababu isitajwe kuwa ni ww na umeonye kbsa huyo EX wako asimpandishie mumewe sauti huku akiliweka tumaini lake kwako we mwambie ukweli kuwa HAPO ZAMANI MAKOSA MLIFANYA WOTE WEWE ULIFANYA KOSA LAKO NA YEYE ALIFANYA LA KWAKE HAIJALISHI NAN ALIANZA KUMKOSEA MWENZAKE ILA KINACHOTAKIWA NI KILA MTU ANATAKIWA KUCHUKUWA WAJIBU AU KIWAJIBIKA KWA KUSAHIHISHA MAKOSA YAKE BINAFSI. ww uliweza na ukafuta namba maisha yakasinga hukutupa lawama ulikubali yaishe. Wakat we ushakubali mwenzako hajakubali anaishi na mwanaumr mwingine kwa kumfananisha na mtindo wenu wa maisha uliuokuwa ukiishi nae kipindi mo nae kwenye mahusiano na kwakua hataki kuwajibika kwa makosa yake anatupa lawama kujisafisha ili apate amani ya moyo ajue tu hakuna kitu kitakuwa sawa hapo zaidi ya yeye kumchukulia mumeo kama alivyo na kumkubali kwanuhalisia wake wala asimfananishe na ww hata kama alikuopenda ajisamehe nafsini mwake na akiri makosa yake na atapata aman ndani ya moyo wake na kila kitu kitakuwa sawa. NAOMBA TU NIKUAMBIE HATA KAMA HUYO MWANAMKE ATAFANIKIWA KUMUACHA MUMEWE AKAJA KIRUDIANA NA WEWE MKAWA WAPENZI KAMA ZAMANI HAKIKA HUTOKUJA KUMTAZAMA KAMA ULIVYOKUWA UKIMTAZAMA MWANZO NA LAWAM ZITAZIDI NA KAMWE HUTOKUWA NA AMANI NAE.


jitahidi sajili laini mpya kabisa, na ufute namba zake zote ktk simu yako na umblock kote katika mitanda yote ya kijamii lkn pia ukishasajili namba mpya usimtafute najua ni ngumu kwakua namba yake umeikariri lkn itakubidi tu ufanye ivyo ata mm yalishanikuta kwahiyo nachokushauri nishayapitia kitambo.


Kingine nend polisi kama kweli upo msafi ripoti izo jumbe za huyo jamaa na vitisho vyake ww usimtukane wala usimjibu polisi watafanya kazi yao maana lolote baya litakalokukuta huyo mume wa ex wako lazima atawajibushwa.


Fanya hayo utakuja kunishukuru. Ahsante!
 
Mimi ushauri wangu wewe endelea nae tu acha kua muoga muoga akishindwa huyo mipombe mibange atamuacha unachukua Mali unahamishia kwako, mapenzi ni km mchezo wa Bao au Draft goigoi hafiki popote lazima yatamshinda na kubwaga manyanga

Kwa hio wewe kaa attention jamaa akitupa taulo chini chukua Mwali uendelee ulipoishia wasikutishie hawa watu wa humu wakati wewe ndio mchonga ramani
 
Aisee
 
 
Pole sn mkuu, Kuna kitu nataman kukwambia, Ila ngoja kwanza
 
Asiombe msamaha wala nini hii ni survival for the fittest..
Yaani umeniona na manzi yangu na bado ukaendelea kumtongoza na kummendea mpaka nilipofanya mistake ukatake advantage ukazamia kwenye siti ya dereva ukiwa unajua kabisa kuwa wewe ni deiwaka.
Ukaoa na kuoa mwanamke niliyempenda nikakubali yaishe
Baada ya hapo mwanamke anakuonyesha hisia zake zilipo halafu nirudi kukuomba msamaha??
Nitamla huyo mkeo hadi siku ukiona watu wako kwenye mahusiano usipeleke shobo kwao.
We mleta mada acha kumlea wala kutishika na huyo bazazi endelea kula huyo manzi mzalishe mtoto mwingine juu
Akitaka vita mwambie uko fit ile mbaya
Man yaani unyang'anywe manzi ambae umempenda halafu utishiwe?
Unadhani hapa duniani utapata wanawake wengi ambao utawapenda kwa dhati? Wengi utakuwa unawatamani tu lakini moyoni mwako hawafiti.
Ungemwambia kuwa wewe ulioa mke wangu sasa namchukua na mtoto wako juu kama malipo ya kushobokea mapenzi ya watu.
 
Nta ku surprise mkuu endelea kucheza na watu wa mbeya

Lazima nku didy
 
Acha MAWASILIANO na mke wa mtu arifuuuu!!utapata dhahama kijana, ikiwezekana vunja hiyo line ya simu kimbia....utafanywa kitu mbaya(Surprise) jiandae kupakwa WESE.
 
Tumekuelewa mzee wa kupasha moto viporo.

Ukishakabidhiwa sapraizz na mumewe, uje kutupa maelezo ya kina kama ulivyoelezea leo
 
Vikwazo vya mawasiliano na uchukuzi😂
 
Pole sana
 
Una KIHEREHERE sana we jamaa...kitakukuta kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…