Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Kwanza unakubalije kuolewa wakat hisiaziko kwingine ni kujitafutia matatizo na mwishowake Huwa majuto tustatement za kiwaki namna hii ndio zinahalalisha ma Ex kumegana hata wakiwa katika ndoa. Ndio maana vijana wengi hata umuhimu wa kuoa hatuuoni sasa.
Binafsi mwanamke ambae anaendekeza mawasiliano na Ex huyo kwangu hana nafasi hata kama nampenda kiasi gani!!!