Nimevunja Ndoa ya Ex Wangu kisa kumchangia Damu. Mumewe kawa mbogo kaapa kuni surprise

Nimevunja Ndoa ya Ex Wangu kisa kumchangia Damu. Mumewe kawa mbogo kaapa kuni surprise

Nani kakuambia ule moto wa upendo uliokuwepo kabla na kuachana mkirudiana Huwa unaendelea kuwepo.
Ni kwa mda mfupi tu utakuwa umeisha nao,kinachoua ule moto ni huyo mtoto wa mwanaume mwingine hamuwezi balance.
Hili liwe ni hitimisho la mwisho Kama ndoa imevunjika na Sio yeye akapromote kuvunja ndoa ya mtu anajichotea laana tupu.
Mwandishi anakiri mtoto kilishakuwa kikwazo sasa huyu anaongea nini,hivi unadhani ile sijui physics yao itarudi kama zamani?unajua single maza wewe?

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
naamini mwisho wa mahusiano sio uadui bali maisha mengine yanaweza endelea
statement za kiwaki namna hii ndio zinahalalisha ma Ex kumegana hata wakiwa katika ndoa. Ndio maana vijana wengi hata umuhimu wa kuoa hatuuoni sasa.

Binafsi mwanamke ambae anaendekeza mawasiliano na Ex huyo kwangu hana nafasi hata kama nampenda kiasi gani!!!
 
Mh ulikosea sana kutozuia hisia zako

Kuchangia damu sioni kama nikosa
Sio kosa.

Ila Kwa akili za wanawake, huyo Dada utakuta hapo anawaza sasa yeye na huyo jamaa mleta uzi kwamba ni damu moja hivyo wasiachane.

Huyo mwanamke saizi anawaza ujinga ujinga tu.

Ndio maana jamaa anasema baada ya hilo tukio Mapenzi yamezidi.
 
Watu wengi wametoa comment hasi kwako sio Kwa sababu umekosea, wametoa comment hizo ni kwa sababu Wana kumbukumbu mbaya za mahusiano yao yaliyopita. Kwenye jamii wanaume ndio tunaongoza kwa kuumia na mapenzi baada ya kuachana na wanawake. Hii ni kutokana na asili yetu kuwa sisi ni watawala hivyo kuvunjika kwa penzi huwa ni matokeo ya mambo mawili, Himaya kuvamiwa au jamii kuchoka utawala mbovu na haya yote kwa mtawala (mwanaume) huwa ni matukio mabaya sana.
Tukirudi kwenye kesi yako, Kwa mwanaume yoyote
aliyewahi kuwa na mahusiano na mwanamke waliyependana kweli, hawezi kustaajabu kusikia bado una mawasiliano na ex wako. Nakazia mwanamke mliyependana sio uliyempenda.
Sikushauri kukata mawasiliano naye kwa sababu anayoyapitia wewe pia ni chanzo chake. Hivyo unawajibu wa kumsaidia pale inapobidi ila usivuke mipaka ya msaada na mawasiliano. Kuhusu swala la kuvunja ndoa yake sikushauri kushiriki hata kidogo kwani ni dhambi isiyo sameheka kirahisi.
 
Umeandika maelezo marefu Ili kujiharalishia dhambi ya kuwa na mahusiano na mke wa mtu. Ni Hivi omba kikao na wazee na huyo jamaa na mke wake awepo. Uape kuachana na Binti Kwa namna zote yaani urafiki, ukaribu, undugu, mawasiliano ya ana Kwa ana, ya simu n.k achana nae.

Binti akishaolewa hata Kama ulimchangia Figo ndo imeisha hiyo. Kijana wewe ndie unasumbua na kwamantiki hiyo nikuombe kaa mbali na mke wa mtu na ikiwezekana hama mkoa mpuuzi mkubwa wewe.
Binti ndo anamsumbua mwamba Mimi namshauri aindelee kuichakata hiyo papuchi ila mambo ya ndoa amwachie mwenye mtoto
 
Binti ndo anamsumbua mwamba Mimi namshauri aindelee kuichakata hiyo papuchi ila mambo ya ndoa amwachie mwenye mtoto
Wanawake wanagia nyingi za kujipatia kipato na misaada toka Kwa ma ex waroho. Anaweza kukuambia mumewe Hivi au vile ilmradi tu afikie malengo yake. Jamaa angejiweka mbali tangu kitambo wasingefika huko waliko Sasa.
 
Wanawake wanagia nyingi za kujipatia kipato na misaada toka Kwa ma ex waroho. Anaweza kukuambia mumewe Hivi au vile ilmradi tu afikie malengo yake. Jamaa angejiweka mbali tangu kitambo wasingefika huko waliko Sasa.
Ni kweli tatizo mtoto shobo zimejaa mpaka zinamwagika
 
Umeandika maelezo marefu Ili kujiharalishia dhambi ya kuwa na mahusiano na mke wa mtu. Ni Hivi omba kikao na wazee na huyo jamaa na mke wake awepo. Uape kuachana na Binti Kwa namna zote yaani urafiki, ukaribu, undugu, mawasiliano ya ana Kwa ana, ya simu n.k achana nae.

Binti akishaolewa hata Kama ulimchangia Figo ndo imeisha hiyo. Kijana wewe ndie unasumbua na kwamantiki hiyo nikuombe kaa mbali na mke wa mtu na ikiwezekana hama mkoa mpuuzi mkubwa wewe.
Hahaha nimecheka kule mstari wa mwisho,
Umeweka na kielez kabisa [emoji1787]
 
Hebu fikiria zile moment mmewe anafunga nae ndoa
Honeymoon anaikeshea week nzima😅

Akiwa na mimba hapo anajoto tamu mwamba analifaidi lote 🤣

usiseme nakukandia!

Tulipenda km wewe chemistry ilikuwa strong kuliko yako yani mpk unaona nikiwa nae mbona nafanikiwa hapa bongo bila kwenda nje ya nchi ila iache nature ifanye maamuzi.

Unahitaji kutengeneza chemistry nyingne ambayo hutofanya makosa ila kwa hapo mda wako haupo tena.

Unasema huyo me niliagana na demu na penzi la siku nzima a week before wedding day.
Acha upumbavu😠
 
Hama mji,vunja laini,badili sura ikiwezekana anza maisha mapya mkuu.
Kifupi unahofu,na hujui kama huyo jamaa atafanya au hatafanya na kama atafanya atafanya nn,Anyway worst case scenario utaliwa tako,au kufa na sidhani kama utapenda chochote kati ya hivyo.
 
Mimi siyo muumini wa  KUVUMILI ndoa badala ya  KUJIVUNIA ndoa. Ila pia naamini kuoa mke mwenye mtoto ni sawa na kununua kiwanja chenye mgogoro.

Jamii kuna njinsi inaamini/imeaminisha mambo yanatakiwa yaende au yawe lakini siyo lazima kuwa ndo UKWELI PEKEE na kwamba ukifanya kinyume chake ni kosa, HAPANA.

Kama upendo upo sehemu zote basi fanya maamuzi, mwambie afanya taratibu zote za kisheria kuvunja ndoa aliyomo (tuongezee idadi ya ndoa zinazovunjika kwenye takwimu) kisha nawe ufanya taratibu za kumwoa lakini ni vyema ukimuoa mtoto akiwa mkubwa.....

Vinginevyo endeleeni kuteseka ndani ya mfumo wa imani ya jamii zetu, maana hapo mwanamke hata kama huta muoa wewe na akarudi kwa huyo mwana bado hakutakuwa na amani kwenye hiyo ndoa na bado anaweze kumsaliti hata kama siyo kwako...
 
Tatizo umekubali kudanganywa na mwanamke kwa hizo story anazokupa kuhusu mume wake...Endelea kutafuta justification ila jua unachokitafuta utakipata,sio kila mume wa mtu ni mzungu kua atakubali yaishe tu,amuache mke na akuache hivi hivi.
 
Fanya hivi. Jamaa lashatangaza vita huyo. Cha msingi we muwahi tu atangulie mbele za hati tutamkutako mbele ya safari. Hapo una machaguo mawili tu ufe ama uuwe
 
Back
Top Bottom