Nimevunja ndoa ya rafiki yangu

Nikiangalia vizuri huyu mwanamke hakuwa mkorofi bali alikuwa anampenda mme wake
Hivi unadhani kama mtu hakupendi atakutafuta kwa nini ajisumbue akili ?
we hata ukirudi asubuhi wala hakuulizi
sana sana na yeye atatafuta mchepuko ili mwende droo
so huyo mwanamama alikuwa anamlinda mmewe na kwa vile mmewe alikuwa mtembezi sometimez labda mkewe alijua yuko kwako ,kumbe yeye mtaa wa saba
 
True F1....hata mimi baadae nilikuja kugundua kua huyu
rafiki yangu ndiye aliyeni jengea chuki kwa mkewe. Hata kipindi
ambacho nilikua namkwepa....mkewe alikua akiamini kua niko naye
 
Eti ushiri usifanye hivyo wakati ulisha fanya, hahahahaha mamaafacebook
 
Last edited by a moderator:
Mmh.... kwa mtazamo wangu kumshutumu Boflo inamaanisha hata wewe unaweza kushawishiwa na rafiki ili kuisaliti ndoa yako.
 
Nadhani hatma yako haitakuwa nzuri ktk hili, machozi ya bint Sayuni hayatapita bure, heri ungefanya toba kuliko huu utumbo uliopost humu. Shame on you.
 
Hilo nalo neno....


Afanye yake yepi sasa nae hana maisha ana kazi ya kuandamana na mwanaume mwenzie kutwa? Mtu hana hata geloflendi wa kumuweka busy, anatukanwa na mke wa jamaa anaenda kujisemelesha kama vile yeye ndo nyumba ndogo ga jamaa.

Hehehe he is a sissie!
 
Unapata laana wewe umeharibu ndoa ya mwenzio badili ya kutengeneza. Ungepungua nini kama ungeblock hiyo namba
 
Mbona umekuwa mkali hivyo?

Eiyer huyu anapenda sana masikhara na kuwaza kimaskani maskani.

Reasonable man yoyote, angejutia kwa kufanya utumbo alioufanya huyu mdau (ikiwa ni kweli!) but yeye anajisifu na kujipongeza huku akitegemea angepata sapoti humu.

Afu angalia hata hoja alioitumia kuhalalishia huo upuuzi.
Mwache akafe mbele huko!
 
Una roho ngumu aisee...Yaani wewe unaona ni kawaida tu kuachanisha watu walioona? Wewe wa wapi? kwa hiyo hapo wewe umemkomoa huyo mwanamke? ukaona jambo la muhimu ni kuvunja ndoa ya jamaa kuliko kuvunja urafiki wenu? shame on you. If you wont repent this will take you to the grave. Nahuyo rafiki yako jinga kabisa, anakusikiliza wewe zaidi kuliko mkewe!? hafai kuwa mume huyo, no wonder mnaelewana. Itakuwa mna tabia moja ya kishenzi mnafanana nyie si bure.
 
Jamaa kaanza kula Boflo kamwacha mkewe, ni maisha tu lakini.
 
Last edited by a moderator:
Unapata laana wewe umeharibu ndoa ya mwenzio badili ya kutengeneza. Ungepungua nini kama ungeblock hiyo namba
Nimeblock sana....huwa anatumia line tofauti tofauti
kunitukana......hivi ni sahihi hayo aliyo yafanya?! Preta njoo bana
 
Mi naamini hii story katunga, sidhani boflo Ana akili za kipumbavu hivyo
 
Hovyo sana wewe Boflo ...ndo maana mkate wako hatuli...
 
Last edited by a moderator:
Wow Bravoo..you're such a warm hearted guy.And I really admire you.Na ama kwel wewe ni mfano wa kuigwa.Utavuna hiyo mbegu ulipanda.Itachipuka siku ambayo hukuitegemea.Kila la kheri.Kwani ndiyo maisha uliyoyachagua.Mchonganishi mkubwa wee
 
nahisi kinyaa kukusoma tena




Nimempa deal nyingi za business....nilimuuzia gari kwa
mkopo ambayo alikua akitembelea na huyo mke mkorofi....
na mpaka leo nimelipwa 50% tu...tatizo lenu wanawake
hamjiamini....kila mara mnafikiri mambo ambayo siyo kbs
 
Boflo at work endelea kuvunja na za wengine mwishowe uje kuvunjwa wewe
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…