Nimevunja uchumba sababu ya Majina ya Watoto na gharama za harusi

Nimevunja uchumba sababu ya Majina ya Watoto na gharama za harusi

Nimendika baada ya kuona post kama hii ila ina utofauti kidogo.
Kwa upande wangu hii ilinitokea Mwakajana ambapo kuna dem nilimuweka target nikasema huyu anaweza kuwa mke kwa mvuo wake, maana binafsi ninajali sana hisia zangu na ninajua mizigo inayo niwehusha. Basi huyu alikua anakaba engo nyingi.

Shida ilianzia kwenye kujadili mambo ya harusi. Dem akataka ifanyike bonge la harusi ya gharama ya kufa mtu. Kuanzia kadi za kifahari mpaka fungate akawa anapendekeza Hoteli ambazo hata getini sijawahi waza kufika. Kidume nikawa naitikia tu huku naandika kwenye page flai kichwani.

Siku moja nikatoa msimamo wangu juu ya aina ya harusi ninayoitaka, nikamwambia kwake nahitaji ndoa sio harusi. Mimi nilitaka ifungwe ndoa kisha mambo yaishie hapo au kuwe na tafrija ya kawaida kumkaribisha mwali katika familia na maisha mengine yaendelee. Lakini dem aling'aka na kuzua ubishi mkubwa na kutoa amri badala ya kushawishi na kuweka maoni yake kwa hekima. Niliaendelea kuandika kwa page yangu kichwani.

Siku zikasonga huku nikiangalia kama atalegeza msimamo wake, siku moja tukawa tunajadili majina ya watoto. nikamwambia mimi wanangu wataitwa majina ya kiafrika au Majina ya ukoo wetu na ndio taraibu zetu hasa kwa mtoto wa kwanza na hata hao wengine unawapa majina ya asili kisha baade unaweza kuaongeza hilo la kizungu kama kujifuraisha maana hata mimi sina jina la kizungu wala kiarabu. Hapa sasa dem alivurumisha maneno mazito na kusema jina la mama yangu ni lakishamba. Anataka watoto waitwe akina Oprah, Precious, Candy, Chrisbrown na mengine kama hayo.
Kwakweli kuanzia hapo nikaanza kukanyaga breki ili nimuache aendelee na safari.

Mpaka leo Mwakampya tayari uchumba ni rasmi umesha kufa.
Happy new year.
Bora ya nusu hasara kuliko hasara kamili. Inaelekea hata ndoa yenu ingekuwa haiishi migogoro kwani mama anataka kuvaa suruali na ndani ya nyumba kuna nguo mbili tuu yaani gauni na suruali. Sasa ikiwa yeye anataka kuivaa suruali , wewe ingebidi uvae gauni maana ndiyo nguo iliyobaki nyumbani.
 
Kuna tofauti baina ya mwanamke unayetaka kuingia nae ndoani na dem, mwanamke ukishamwita dem huwezi kuingia nae ndoani kamwe!

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
Duh, muwowaji hapa hakuna.....! Utaacha Wengi iwapo hata vi 'issue' vidogo vidogo ivi vinakutoa jasho unashindwa kuvitatua.
Suo issue ndogo mwanamke ambaye anataka makuu hafai mbaya zaidi hata kujishusha kwa kauli hana uko mbele wangekuja kutoa meno.
 
Jamani hakuna tena wanaume wamebaki wavulana tu. Ushaambiwa mwanamke hupigwa na upande wa khanga na silaha yako kubwa iwe faragha mchape na....... Sawasawa nikisema sawasawa simaanishi ukafakamie valuer sijui Viagra sijui vumbi la kiwanzenza aka Congo, au una pump usiku kucha kama feni lahaulaa. Mpelembe Mtoto wa watu mfanyie maujanja kitandani huku ukizungumza naye hayo mambo. Mtoto WA kike ukishamkoleza nakwambia hata yeye angejiita Kadala au kachiki au koku au atupakisye. Sometimes mnatumia nguvu sana kuweka Mambo yenu shwari mpaka mnatoana ngeu lkn kama ungezitumia zile kuta nne faragha mambo yako yangekuwa supa. Shemeji yenu alikuwa pombe na yeye lkn nilifanikiwa kumbadirisha kwa jinsi nilivyompelemba akawa hawezi kwenda kokote bila mie hadi leo 15yrs ya ndoa tumekuwa mapacha
 
Wengi mmemshambulia ila point hamjaziona alizotaja ngoja niwasaidie
1.Bint ana dharau kwa namna anavyojenga hoja zake kwa namna ya kumuumiza mwingine, eti jina la mama la kishamba, angetafuta namna nzuri ya kuwasiliana na hiyo inaleta point ya pili 👇🏻
2. She lacks good communication skills
3.Kiburi,majivuno na maringo
4. Ulimbukeni na kutojimbua
Nyingine ambayo hujataja🙂🙂
Bora umemwacha wewe ndio unajua unamudu wa aina gani🙌🙌
 
Ungethubutu kuingia kwenye ndoa ungekiona cha mtema kuni

Kujimwambafy kusingeishia kwenye aina ya ndoa na majina ya watoto

Ungekaa vibaya, angekuchapa hata vibao

Happy new year 2020
Nimendika baada ya kuona post kama hii ila ina utofauti kidogo.
Kwa upande wangu hii ilinitokea Mwakajana ambapo kuna dem nilimuweka target nikasema huyu anaweza kuwa mke kwa mvuo wake, maana binafsi ninajali sana hisia zangu na ninajua mizigo inayo niwehusha. Basi huyu alikua anakaba engo nyingi.

Shida ilianzia kwenye kujadili mambo ya harusi. Dem akataka ifanyike bonge la harusi ya gharama ya kufa mtu. Kuanzia kadi za kifahari mpaka fungate akawa anapendekeza Hoteli ambazo hata getini sijawahi waza kufika. Kidume nikawa naitikia tu huku naandika kwenye page flai kichwani.

Siku moja nikatoa msimamo wangu juu ya aina ya harusi ninayoitaka, nikamwambia kwake nahitaji ndoa sio harusi. Mimi nilitaka ifungwe ndoa kisha mambo yaishie hapo au kuwe na tafrija ya kawaida kumkaribisha mwali katika familia na maisha mengine yaendelee. Lakini dem aling'aka na kuzua ubishi mkubwa na kutoa amri badala ya kushawishi na kuweka maoni yake kwa hekima. Niliaendelea kuandika kwa page yangu kichwani.

Siku zikasonga huku nikiangalia kama atalegeza msimamo wake, siku moja tukawa tunajadili majina ya watoto. nikamwambia mimi wanangu wataitwa majina ya kiafrika au Majina ya ukoo wetu na ndio taraibu zetu hasa kwa mtoto wa kwanza na hata hao wengine unawapa majina ya asili kisha baade unaweza kuaongeza hilo la kizungu kama kujifuraisha maana hata mimi sina jina la kizungu wala kiarabu. Hapa sasa dem alivurumisha maneno mazito na kusema jina la mama yangu ni lakishamba. Anataka watoto waitwe akina Oprah, Precious, Candy, Chrisbrown na mengine kama hayo.
Kwakweli kuanzia hapo nikaanza kukanyaga breki ili nimuache aendelee na safari.

Mpaka leo Mwakampya tayari uchumba ni rasmi umesha kufa.
Happy new year.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimendika baada ya kuona post kama hii ila ina utofauti kidogo.
Kwa upande wangu hii ilinitokea Mwakajana ambapo kuna dem nilimuweka target nikasema huyu anaweza kuwa mke kwa mvuo wake, maana binafsi ninajali sana hisia zangu na ninajua mizigo inayo niwehusha. Basi huyu alikua anakaba engo nyingi.

Shida ilianzia kwenye kujadili mambo ya harusi. Dem akataka ifanyike bonge la harusi ya gharama ya kufa mtu. Kuanzia kadi za kifahari mpaka fungate akawa anapendekeza Hoteli ambazo hata getini sijawahi waza kufika. Kidume nikawa naitikia tu huku naandika kwenye page flai kichwani.

Siku moja nikatoa msimamo wangu juu ya aina ya harusi ninayoitaka, nikamwambia kwake nahitaji ndoa sio harusi. Mimi nilitaka ifungwe ndoa kisha mambo yaishie hapo au kuwe na tafrija ya kawaida kumkaribisha mwali katika familia na maisha mengine yaendelee. Lakini dem aling'aka na kuzua ubishi mkubwa na kutoa amri badala ya kushawishi na kuweka maoni yake kwa hekima. Niliaendelea kuandika kwa page yangu kichwani.

Siku zikasonga huku nikiangalia kama atalegeza msimamo wake, siku moja tukawa tunajadili majina ya watoto. nikamwambia mimi wanangu wataitwa majina ya kiafrika au Majina ya ukoo wetu na ndio taraibu zetu hasa kwa mtoto wa kwanza na hata hao wengine unawapa majina ya asili kisha baade unaweza kuaongeza hilo la kizungu kama kujifuraisha maana hata mimi sina jina la kizungu wala kiarabu. Hapa sasa dem alivurumisha maneno mazito na kusema jina la mama yangu ni lakishamba. Anataka watoto waitwe akina Oprah, Precious, Candy, Chrisbrown na mengine kama hayo.
Kwakweli kuanzia hapo nikaanza kukanyaga breki ili nimuache aendelee na safari.

Mpaka leo Mwakampya tayari uchumba ni rasmi umesha kufa.
Happy new year.
mapenzi ya secondary.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom