LGE2024 Nimevunjika moyo na uchaguzi huu wa leo

LGE2024 Nimevunjika moyo na uchaguzi huu wa leo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Leo majira ya saa 5 asubuhi nimeenda kupiga kura (uchaguzi wa wenyekiti) Mimi sio mwanasiasa na sijui hata majina ya wanao gombea, lakini nilijipanga kuenda kuwachagua wagombea wa upinzani pekee.

Nilipofika nimekutana na mambo haya.

Nilianza kwa kutafuta jina langu kwenye makaratasi yaliyo bandikwa ukutani, lakini askari polisi akaniambia usijali nenda kule jina watakutafutia wenyewe (yaani jina watalifauta wanao simamia uchaguzi)

Baada ya kuiingia kwenye chumba Cha uchaguzi, yule wakala akaniuliza jina langu then nikamtajia, akajifanya analitafuta then ndani ya dk Moja tuu akalipata. (HUU NI UDHAIFU MKUBWA, inamaanisha hata Mtu ambae hajajiandikisha basi anaweza kupiga kura )

Baada ya hapo nikapewa karatasi tatu za kuwapigia kura wagombea, ndani ya hizo karatasi nimeona Maajabu, yaani wagombea ni watatu lakini wote ni wagombea wa CCM, kwaiyo natakiwa nimchague mmoja katika hao wagombea watatu wa CCM (hili limeniuma sana ) sijaona mgombea wa upinzani

Nimeamua kutumbukiza karatasi ambazo sijamchagua mgombea yoyote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Leo ni siku ya upuuzi hakuna uchaguzi,
Wenye akili tumejitenga na huu upuuzi,

Kwa Nini tamisemi wamegangania kusimamia uchaguzi?; kama kweli wanajali demokrasia na haki za watu

Quote
 
Leo majira ya saa 5 asubuhi nimeenda kupiga kura (uchaguzi wa wenyekiti) Mimi sio mwanasiasa na sijui hata majina ya wanao gombea, lakini nilijipanga kuenda kuwachagua wagombea wa upinzani pekee.

Nilipofika nimekutana na mambo haya.

Nilianza kwa kutafuta jina langu kwenye makaratasi yaliyo bandikwa ukutani, lakini askari polisi akaniambia usijali nenda kule jina watakutafutia wenyewe (yaani jina watalifauta wanao simamia uchaguzi)

Baada ya kuiingia kwenye chumba Cha uchaguzi, yule wakala akaniuliza jina langu then nikamtajia, akajifanya analitafuta then ndani ya dk Moja tuu akalipata. (HUU NI UDHAIFU MKUBWA, inamaanisha hata Mtu ambae hajajiandikisha basi anaweza kupiga kura )

Baada ya hapo nikapewa karatasi tatu za kuwapigia kura wagombea, ndani ya hizo karatasi nimeona Maajabu, yaani wagombea ni watatu lakini wote ni wagombea wa CCM, kwaiyo natakiwa nimchague mmoja katika hao wagombea watatu wa CCM (hili limeniuma sana ) sijaona mgombea wa upinzani

Nimeamua kutumbukiza karatasi ambazo sijamchagua mgombea yoyote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Mimi mahali nilipopiga kura Hali ilikuwa hivyo hivyo.Hakina hata mmoja aliyerudishwa kwa jina lake kukosekana.Wote tumepiga kura bila kuweka alama ya wino kwenye vidole
 
Leo majira ya saa 5 asubuhi nimeenda kupiga kura (uchaguzi wa wenyekiti) Mimi sio mwanasiasa na sijui hata majina ya wanao gombea, lakini nilijipanga kuenda kuwachagua wagombea wa upinzani pekee.

Nilipofika nimekutana na mambo haya.

Nilianza kwa kutafuta jina langu kwenye makaratasi yaliyo bandikwa ukutani, lakini askari polisi akaniambia usijali nenda kule jina watakutafutia wenyewe (yaani jina watalifauta wanao simamia uchaguzi)

Baada ya kuiingia kwenye chumba Cha uchaguzi, yule wakala akaniuliza jina langu then nikamtajia, akajifanya analitafuta then ndani ya dk Moja tuu akalipata. (HUU NI UDHAIFU MKUBWA, inamaanisha hata Mtu ambae hajajiandikisha basi anaweza kupiga kura )

Baada ya hapo nikapewa karatasi tatu za kuwapigia kura wagombea, ndani ya hizo karatasi nimeona Maajabu, yaani wagombea ni watatu lakini wote ni wagombea wa CCM, kwaiyo natakiwa nimchague mmoja katika hao wagombea watatu wa CCM (hili limeniuma sana ) sijaona mgombea wa upinzani

Nimeamua kutumbukiza karatasi ambazo sijamchagua mgombea yoyote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Kwa upumba huu uliofanywa na CCM na vyombo vya dola kubaka demokrasia mchana kweupe bila aibu sitakaa nipige kura tena maisha yangu yote yaliyobakia. Mamia ya mabilioni yaliyotumika kwenye mchakato huu bora yangeelekezwa kwenye huduma za kijamii. Tungekuwa na JW wanaojitambua wangeikomboa nchi kutoka kwa hawa washenzi makaburu weusi CCM.
 
Mtaani kwetu pia wagombea ni ccm tupu, sasa wanahimiza watu wapige kura ili iweje.?
 
Mtaani kwetu raia wamegoma kupiga kura wanapita kuwatangazia watu wakapige kura. CCM na TAMISEMI yao ni hovyo sana utalazimisha vipi watu wameshakuchoka ? Kaa pembeni jifunzeni kutoka kwa wenzako.
Hii ni sawa KABISA NA MTAANI KWETU, wananzengo wameona ni kupoteza muda tu. Jamaa Walikuwa wenyewe na masanduku yao ya kura wakipiga miayo tu.
 
Leo majira ya saa 5 asubuhi nimeenda kupiga kura (uchaguzi wa wenyekiti) Mimi sio mwanasiasa na sijui hata majina ya wanao gombea, lakini nilijipanga kuenda kuwachagua wagombea wa upinzani pekee.

Nilipofika nimekutana na mambo haya.

Nilianza kwa kutafuta jina langu kwenye makaratasi yaliyo bandikwa ukutani, lakini askari polisi akaniambia usijali nenda kule jina watakutafutia wenyewe (yaani jina watalifauta wanao simamia uchaguzi)

Baada ya kuiingia kwenye chumba Cha uchaguzi, yule wakala akaniuliza jina langu then nikamtajia, akajifanya analitafuta then ndani ya dk Moja tuu akalipata. (HUU NI UDHAIFU MKUBWA, inamaanisha hata Mtu ambae hajajiandikisha basi anaweza kupiga kura )

Baada ya hapo nikapewa karatasi tatu za kuwapigia kura wagombea, ndani ya hizo karatasi nimeona Maajabu, yaani wagombea ni watatu lakini wote ni wagombea wa CCM, kwaiyo natakiwa nimchague mmoja katika hao wagombea watatu wa CCM (hili limeniuma sana ) sijaona mgombea wa upinzani

Nimeamua kutumbukiza karatasi ambazo sijamchagua mgombea yoyote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Ulitaka atafute kwa dk ngapi. Je ulithibitisha kuwa ni jina lako? Low score yako ya uelewa unataka ifanye maamuzi ya nchi. Acha ukilaza basi
 
Leo majira ya saa 5 asubuhi nimeenda kupiga kura (uchaguzi wa wenyekiti) Mimi sio mwanasiasa na sijui hata majina ya wanao gombea, lakini nilijipanga kuenda kuwachagua wagombea wa upinzani pekee.

Nilipofika nimekutana na mambo haya.

Nilianza kwa kutafuta jina langu kwenye makaratasi yaliyo bandikwa ukutani, lakini askari polisi akaniambia usijali nenda kule jina watakutafutia wenyewe (yaani jina watalifauta wanao simamia uchaguzi)

Baada ya kuiingia kwenye chumba Cha uchaguzi, yule wakala akaniuliza jina langu then nikamtajia, akajifanya analitafuta then ndani ya dk Moja tuu akalipata. (HUU NI UDHAIFU MKUBWA, inamaanisha hata Mtu ambae hajajiandikisha basi anaweza kupiga kura )

Baada ya hapo nikapewa karatasi tatu za kuwapigia kura wagombea, ndani ya hizo karatasi nimeona Maajabu, yaani wagombea ni watatu lakini wote ni wagombea wa CCM, kwaiyo natakiwa nimchague mmoja katika hao wagombea watatu wa CCM (hili limeniuma sana ) sijaona mgombea wa upinzani

Nimeamua kutumbukiza karatasi ambazo sijamchagua mgombea yoyote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Kura yako imeharibika brother wale watatu ilibiidi uwapigie wote siyo mmoja 😂 😂 😂 😂
 
Leo majira ya saa 5 asubuhi nimeenda kupiga kura (uchaguzi wa wenyekiti) Mimi sio mwanasiasa na sijui hata majina ya wanao gombea, lakini nilijipanga kuenda kuwachagua wagombea wa upinzani pekee.

Nilipofika nimekutana na mambo haya.

Nilianza kwa kutafuta jina langu kwenye makaratasi yaliyo bandikwa ukutani, lakini askari polisi akaniambia usijali nenda kule jina watakutafutia wenyewe (yaani jina watalifauta wanao simamia uchaguzi)

Baada ya kuiingia kwenye chumba Cha uchaguzi, yule wakala akaniuliza jina langu then nikamtajia, akajifanya analitafuta then ndani ya dk Moja tuu akalipata. (HUU NI UDHAIFU MKUBWA, inamaanisha hata Mtu ambae hajajiandikisha basi anaweza kupiga kura )

Baada ya hapo nikapewa karatasi tatu za kuwapigia kura wagombea, ndani ya hizo karatasi nimeona Maajabu, yaani wagombea ni watatu lakini wote ni wagombea wa CCM, kwaiyo natakiwa nimchague mmoja katika hao wagombea watatu wa CCM (hili limeniuma sana ) sijaona mgombea wa upinzani

Nimeamua kutumbukiza karatasi ambazo sijamchagua mgombea yoyote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
hata huku niliko mambo yalikuwa hivo hivo, nadhani hiyo hali iluwa karibu sehemu kubwa ya nchi maana sehem nyingi waliwaengua wagombea wa upinzani na sehemu nyingine wakijua wewe ni mpinzani ujue uko kwenye matata mazito
 
Leo majira ya saa 5 asubuhi nimeenda kupiga kura (uchaguzi wa wenyekiti) Mimi sio mwanasiasa na sijui hata majina ya wanao gombea, lakini nilijipanga kuenda kuwachagua wagombea wa upinzani pekee.

Nilipofika nimekutana na mambo haya.

Nilianza kwa kutafuta jina langu kwenye makaratasi yaliyo bandikwa ukutani, lakini askari polisi akaniambia usijali nenda kule jina watakutafutia wenyewe (yaani jina watalifauta wanao simamia uchaguzi)

Baada ya kuiingia kwenye chumba Cha uchaguzi, yule wakala akaniuliza jina langu then nikamtajia, akajifanya analitafuta then ndani ya dk Moja tuu akalipata. (HUU NI UDHAIFU MKUBWA, inamaanisha hata Mtu ambae hajajiandikisha basi anaweza kupiga kura )

Baada ya hapo nikapewa karatasi tatu za kuwapigia kura wagombea, ndani ya hizo karatasi nimeona Maajabu, yaani wagombea ni watatu lakini wote ni wagombea wa CCM, kwaiyo natakiwa nimchague mmoja katika hao wagombea watatu wa CCM (hili limeniuma sana ) sijaona mgombea wa upinzani

Nimeamua kutumbukiza karatasi ambazo sijamchagua mgombea yoyote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Hayo ya leo yalikuwa maonyesho ya upumbavu wangozi nyeusi
 
Leo majira ya saa 5 asubuhi nimeenda kupiga kura (uchaguzi wa wenyekiti) Mimi sio mwanasiasa na sijui hata majina ya wanao gombea, lakini nilijipanga kuenda kuwachagua wagombea wa upinzani pekee.

Nilipofika nimekutana na mambo haya.

Nilianza kwa kutafuta jina langu kwenye makaratasi yaliyo bandikwa ukutani, lakini askari polisi akaniambia usijali nenda kule jina watakutafutia wenyewe (yaani jina watalifauta wanao simamia uchaguzi)

Baada ya kuiingia kwenye chumba Cha uchaguzi, yule wakala akaniuliza jina langu then nikamtajia, akajifanya analitafuta then ndani ya dk Moja tuu akalipata. (HUU NI UDHAIFU MKUBWA, inamaanisha hata Mtu ambae hajajiandikisha basi anaweza kupiga kura )

Baada ya hapo nikapewa karatasi tatu za kuwapigia kura wagombea, ndani ya hizo karatasi nimeona Maajabu, yaani wagombea ni watatu lakini wote ni wagombea wa CCM, kwaiyo natakiwa nimchague mmoja katika hao wagombea watatu wa CCM (hili limeniuma sana ) sijaona mgombea wa upinzani

Nimeamua kutumbukiza karatasi ambazo sijamchagua mgombea yoyote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Majizi
Leo majira ya saa 5 asubuhi nimeenda kupiga kura (uchaguzi wa wenyekiti) Mimi sio mwanasiasa na sijui hata majina ya wanao gombea, lakini nilijipanga kuenda kuwachagua wagombea wa upinzani pekee.

Nilipofika nimekutana na mambo haya.

Nilianza kwa kutafuta jina langu kwenye makaratasi yaliyo bandikwa ukutani, lakini askari polisi akaniambia usijali nenda kule jina watakutafutia wenyewe (yaani jina watalifauta wanao simamia uchaguzi)

Baada ya kuiingia kwenye chumba Cha uchaguzi, yule wakala akaniuliza jina langu then nikamtajia, akajifanya analitafuta then ndani ya dk Moja tuu akalipata. (HUU NI UDHAIFU MKUBWA, inamaanisha hata Mtu ambae hajajiandikisha basi anaweza kupiga kura )

Baada ya hapo nikapewa karatasi tatu za kuwapigia kura wagombea, ndani ya hizo karatasi nimeona Maajabu, yaani wagombea ni watatu lakini wote ni wagombea wa CCM, kwaiyo natakiwa nimchague mmoja katika hao wagombea watatu wa CCM (hili limeniuma sana ) sijaona mgombea wa upinzani

Nimeamua kutumbukiza karatasi ambazo sijamchagua mgombea yoyote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Ccm ccm ccm ni majizi
 
Gentleman,
risasi hadi huko America zimerindima sana na hukuna alievuna huruma kwenye hilo jambo la kawaida kabisa maeneo mbalimbali duniani..

dhana ya kuibiwa kura ni kisingizio kisicho na maana yoyote, cha miaka nenda miaka rudi.
Ni mtu mwenye akili za kinyumbu pekee ndio kazi yake ni kuibiwa tu, tena anaibiwa kitu asichokua nacho. Huu ni unyumbu wa kuwango kibaya zaidi.

CCM imejipanga na ndio maana mwaka huu na mwaka ujao mtaisoma namba gentleman,

na mtaishia kumbwelambwela hivi hivi huku CCM ikiendelea kutawala na kuwapelekea wananch maendeleo..🐒
Kuna kitabu kuhusu critical thinking kinasema 'critical thinking is thinking about one's own thinking'.
 
Kuna kitabu kuhusu critical thinking kinasema 'critical thinking is thinking about one's own thinking'.
actually,
ni muhimu sana,
maoni na mtazamo wa kila moja ukaheshimiwa bila makasiriko, na itapendeza zaidi :pulpTRAVOLTA:
 
Kwa upumba huu uliofanywa na CCM na vyombo vya dola kubaka demokrasia mchana kweupe bila aibu sitakaa nipige kura tena maisha yangu yote yaliyobakia.
Duh,
Usiseme hivyo broh.
Hakuna tatizo lisilo na suluhisho, ila mwenye tatizo anaweza asione solution kutokana na upeo wake, uzembe, nk., au muda sahihi haujafika.

Kususa kama hivyo ni sawa na kususia ngedere shamba la mahindi, atakula yote tena kwa vigelegele bila shukrani kwako.

Wananchi wengi wanasikitika mnoo.
Naamini ufumbuzi upo, utapatikana..
Mamia ya mabilioni yaliyotumika kwenye mchakato huu bora yangeelekezwa kwenye huduma za kijamii.
Kweli
Tungekuwa na JW wanaojitambua wangeikomboa nchi kutoka kwa hawa washenzi makaburu weusi CCM.
Dah
 
Back
Top Bottom