LGE2024 Nimevunjika moyo na uchaguzi huu wa leo

LGE2024 Nimevunjika moyo na uchaguzi huu wa leo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Of v
Kupiga kura kwa nchi ni kupoteza muda. Mimi nilishaacha
Of course, inakatisha tamaa. Nilikuwa nimekata tamaa kama tangu mwaka 2020. Wiki mbili zilizopita nili'share' jambo hili na colleague. Akani'challenge', akisema "unadhani watu wote wangekuwa kama wewe Botswana upinzani ungeshinda uchaguzi? Nikatafakari, nikaona ni kweli. Kuanzia mwakani na kuwa tena active katika kupiga kura, na hata wakiiba kura kuna siku as days pass by mabadiliko yatatokea kwa sababu systems ukifika muda wake collapse. Haya ndiyo matumaini mapya niliyonayo na nawashauri wote ambao walikuwa wamekata tamaa kama mimi tuendeleze harakati za kupigania haki hadi ushindi upatikane - yaani tuweze kuwa na chaguzi huru na za haki na tupate viongozi wanaotokana na kura halali, na si za wizi wizi.
 
Ujinga hauwezi kuisha kirahisi Afrika...
 
uchaguzi huu umefanyika kuzuga ili wapate uhalali wa misaada ya wazungu otherwise Mungu hazihakiwi. Naandika kwa herufi kubwa WALE WOTE WALIO SHIRIKI DHULUMA KATIKA UCHAGUZI HUU KWA MAKUSUDI NA WANAJINASIBU MBELE ZA WATU KWAMBA TULIOMBEE TAIFA LETU KWA MUNGU MIAKA HII MIWILI MAJIBU WATAYAPATA . (Jeremiah 17:11 )
 
Akili ndogo sana mkuu. Huko ulaya unakodai umezurura kama kweli ulienda kujifunza ujinga na uhayawani huu unaoandika?
Huwa wanafanya huu ujinga mnaofanya nyinyi huku Tanzania?
Uyu jamaa anajifanyaga jentromeni lakini deep down mshamba tu kama washamba wengi
 
Unasumbuliwa na ujinga wa kihalaiki. Kama marekani waliuana Tanzania pia kuuana ni sahihi? Sasa hiyo amani mnayohubiri ni ipi?
Marekani wanaruhusu USHOGA kwa hiyo na sisi turuhusu kwasababu ni jambo dogo?
Marekani silaha zinauzwa supermarkets na sisi kama Tanzania tuanze kuuza silaha kwa kila mtu?
Ni hatari mkuu watu wako tayar kuvua nguo zao za bei ya chini, ili wajipime nguo za gharama zisizo za kwao.
 
Leo majira ya saa 5 asubuhi nimeenda kupiga kura (uchaguzi wa wenyekiti) Mimi sio mwanasiasa na sijui hata majina ya wanao gombea, lakini nilijipanga kuenda kuwachagua wagombea wa upinzani pekee.

Nilipofika nimekutana na mambo haya.

Nilianza kwa kutafuta jina langu kwenye makaratasi yaliyo bandikwa ukutani, lakini askari polisi akaniambia usijali nenda kule jina watakutafutia wenyewe (yaani jina watalifauta wanao simamia uchaguzi)

Baada ya kuiingia kwenye chumba Cha uchaguzi, yule wakala akaniuliza jina langu then nikamtajia, akajifanya analitafuta then ndani ya dk Moja tuu akalipata. (HUU NI UDHAIFU MKUBWA, inamaanisha hata Mtu ambae hajajiandikisha basi anaweza kupiga kura )

Baada ya hapo nikapewa karatasi tatu za kuwapigia kura wagombea, ndani ya hizo karatasi nimeona Maajabu, yaani wagombea ni watatu lakini wote ni wagombea wa CCM, kwaiyo natakiwa nimchague mmoja katika hao wagombea watatu wa CCM (hili limeniuma sana ) sijaona mgombea wa upinzani

Nimeamua kutumbukiza karatasi ambazo sijamchagua mgombea yoyote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Ila uchaguzi huu unatoa picha kuwa watanchi wanataka nini na system inataka nini!!
 
gentleman nafuta kauli hiyp mara moja,

na ninawaombea msamaha hata wale wote wawaitao wenzao chawa.

dah,
kumbe nyumbu ni tusi zito mno.
ni kiri tu kughafilika eneo hilo kamanda.

hata hivyo,
nina wasiwasi mkubwa kwenye hili,
kwamba kuna unafiki wa kiwango cha juu mno kwenye dhana ya nyumbu na chawa, au ndiyo ile dhana mkuki kwa nguruwe kwa mwanadamu mchungu? :pulpTRAVOLTA:
Kuna mtu/watu umeona wanajiita nyumbu kama ambavyo tunaona mkijiita chawa na mpaka mwenyekiti wenu anatumia neno "chawa wangu"!?
 
Kuna mtu/watu umeona wanajiita nyumbu kama ambavyo tunaona mkijiita chawa na mpaka mwenyekiti wenu anatumia neno "chawa wangu"!?
mie nimeamua tu kujitenga na hizo dhana za unyumbu na uchawa maana inaonekana ni matusi mazito sasa 🐒
 
Back
Top Bottom