Nimevuta Bangi aka ganja na hakuna kilichonitokea niko kawaida kabisa

Nimevuta Bangi aka ganja na hakuna kilichonitokea niko kawaida kabisa

Jumlisha

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2022
Posts
1,239
Reaction score
2,765
Habarin
Baada ya kusumbuliwa na stress kidogo na haya maisha nika ona labda nijaribu bangi maan mimi sio mnywaji kabisa wala mvutaji hapa mtaan kuna ka chimbo nakajua kuna jamaa hizi ndo kazi zao sasa mimi nika wafata kwenye chimbo lao nikaomba kete mbili nikapewa fresh kwakuwa sijui hata kunyonga nikaomba nisaidiwe

Baada ya hapo nikaeenda kuzifuta sasa nikiwa nipo mwenyewe geton nimevuta lakini hakuna kilichotokea nipo sawa kabisa na sijaona kichwaa kuchanganyikiwa au vipi wala sijapoteza kumbukumbu wala mwendo haujabadilika na naongea na majirani fresh tunapiga story kama navyokuwa kila siku tukieendelea kusubir el classico

Nipo hapa kusema bangi hazina effect yoyote ni watu tu wana shida zao binafsi na njaa njaa + umaskini
Cannabis_Sativa_Leaf_1296x728-body-1024x575.jpg
 
Habarin
Baada ya kusumbuliwa na stress kidogo na haya maisha nika ona labda nijaribu bangi maan mimi sio mnywaji kabisa wala mvutaji hapa mtaan kuna ka chimbo nakajua kuna jamaa hizi ndo kazi zao sasa mimi nika wafata kwenye chimbo lao nikaomba kete mbili nikapewa fresh kwakuwa sijui hata kunyonga nikaomba nisaidiwe

Baada ya hapo nikaeenda kuzifuta sasa nikiwa nipo mwenyewe geton nimevuta lakini hakuna kilichotokea nipo sawa kabisa na sijaona kichwaa kuchanganyikiwa au vipi wala sijapoteza kumbukumbu wala mwendo haujabadilika na naongea na majirani fresh tunapiga story kama navyokuwa kila siku tukieendelea kusubir el classico

Nipo hapa kusema bangi hazina effect yoyote ni watu tu wana shida zao binafsi na njaa njaa + umaskini View attachment 3135847
Wewe unajiona upo Sawa Kitendo cha kuwambia umevuta bhangi "tiyari hapo ushalewa bhangi" ebu tafuna pipi kali kwanza
 
Habarin
Baada ya kusumbuliwa na stress kidogo na haya maisha nika ona labda nijaribu bangi maan mimi sio mnywaji kabisa wala mvutaji hapa mtaan kuna ka chimbo nakajua kuna jamaa hizi ndo kazi zao sasa mimi nika wafata kwenye chimbo lao nikaomba kete mbili nikapewa fresh kwakuwa sijui hata kunyonga nikaomba nisaidiwe

Baada ya hapo nikaeenda kuzifuta sasa nikiwa nipo mwenyewe geton nimevuta lakini hakuna kilichotokea nipo sawa kabisa na sijaona kichwaa kuchanganyikiwa au vipi wala sijapoteza kumbukumbu wala mwendo haujabadilika na naongea na majirani fresh tunapiga story kama navyokuwa kila siku tukieendelea kusubir el classico

Nipo hapa kusema bangi hazina effect yoyote ni watu tu wana shida zao binafsi na njaa njaa + umaskini View attachment 3135847
Nyie watoto ndio mnasababisha ganja ionekane mbaya ..
Kwa hio ulitaka ikuumize kichwa uje kulalamika hapa.
Kingine we ujavuta ila umepuliza Moshi
 
0
Habarin
Baada ya kusumbuliwa na stress kidogo na haya maisha nika ona labda nijaribu bangi maan mimi sio mnywaji kabisa wala mvutaji hapa mtaan kuna ka chimbo nakajua kuna jamaa hizi ndo kazi zao sasa mimi nika wafata kwenye chimbo lao nikaomba kete mbili nikapewa fresh kwakuwa sijui hata kunyonga nikaomba nisaidiwe

Baada ya hapo nikaeenda kuzifuta sasa nikiwa nipo mwenyewe geton nimevuta lakini hakuna kilichotokea nipo sawa kabisa na sijaona kichwaa kuchanganyikiwa au vipi wala sijapoteza kumbukumbu wala mwendo haujabadilika na naongea na majirani fresh tunapiga story kama navyokuwa kila siku tukieendelea kusubir el classico

Nipo hapa kusema bangi hazina effect yoyote ni watu tu wana shida zao binafsi na njaa njaa + umaskini View attachment 3135847
Piga na CHAPUTA(Bakari nondo mwamnye...) ili ukamilishe marks 16 maana hapo una 15/16 bado hujafikisha course work
 
Back
Top Bottom