Nimevuta Bangi aka ganja na hakuna kilichonitokea niko kawaida kabisa

Nimevuta Bangi aka ganja na hakuna kilichonitokea niko kawaida kabisa

Mvutaji Mwenyewe
FB_IMG_17295721774780449.jpg
 
Nipo hapa kusema bangi hazina effect yoyote ni watu tu wana shida zao binafsi na njaa njaa + umaskini
Kwahiyo stress kidogo ulizonazo zimeisha, na umesha anza kutuponda kuwa "tuna njaa njaa + umasikini!?"
 
Ukweli kwamba umekuja hapa kujisifia kuvuta bangi kitu ambachoni aibu kwa mtu mstaarabu, huo ni ushahidi tosha kuwa tayari umeathirika. Huwezi tena kupambanua kitu chema cha kujisifia nacho mbele ya watu na kitu kibaya kama bangi kuonea haya na fedheha mbele ya watu! Ukiona mtu mgonjwa lakini yeye anajiona yuko sawa tu ujue hiyo ni hali mbaya sana! Hata chizi huwa hajui kama yeye ni chizi!!
Ume catch mkuu sijaja kujisifia hapa ningetaka sifa ningepost picha kama kondeboy nimekuja kutoa feedback tu kwamba bangi haina chochote ni useless 🤜
 
Si wote wanaathiliwaga na ganja wengne wanaweza vuta Maisha Yao yote na wasidhuliwe ila kina sisi sasa eeeeeeeeeh!!! Ila mimi haijaniharibu mfano hapa Nmewapiga baba na mama mbele ya wazazi wangu
 
Tupe madini mkuu unaonekana unaijua vizuri
Njoo WhatsApp ujiunge na groups zangu za mambo hayo.
Namba chukua hapo kwenye profile picture. Tuma ujumbe WhatsApp naomba kujiunga na nguvu ya fikra.utasajiriliwa nakuanza mafunzo ukiungana nawachama wengine.
Chini ya miaka21 hawapati ruhusu yakujiunga.
🙏🙏
 
Bhangi itumie kwa manufaa yako zaidi na sikupunguza stress.
Bangi itumie kama kuamusha uwezo wako wa ndani.
Bhangi itumie kama tiba yako binafsi.

Bangi usiitumie kwa kuvuta tu unashauriwa kuitumia kwenye chai au chakula.. (inamaelekezo yake namna ya kuitumia)

NB: bangi haitaji watu wajinga wajinga. Ndio maana inakatazwa.
Ni mmea wenye baraka na laana (Life plant). Unao waona wanavuta bangi wanakuwa mateja na tabia mbovu hawakustahili kuitumia bangi. (Wameibaka)
 
Umevutaje??
Wengi hawajui kuvuta, hudhani akitolea moshi puani basi tayari ashavuta.

Huwezi vuta ganja afu usihisi kitu, wewe hujavuta Joh, ulikua kama unapuliza moto tu.
 
Subiri yapite masaa ikolee mwilini utashangaa usiku wa leo utakunya kitandani
 
Bhangi itumie kwa manufaa yako zaidi na sikupunguza stress.
Bangi itumie kama kuamusha uwezo wako wa ndani.
Bhangi itumie kama tiba yako binafsi.

Bangi usiitumie kwa kuvuta tu unashauriwa kuitumia kwenye chai au chakula.. (inamaelekezo yake namna ya kuitumia)

NB: bangi haitaji watu wajinga wajinga. Ndio maana inakatazwa.
Ni mmea wenye baraka na laana (Life plant). Unao waona wanavuta bangi wanakuwa mateja na tabia mbovu hawakustahili kuitumia bangi. (Wameibaka)
Naam
 
Back
Top Bottom