maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 935
- 2,096
Mvutaji Mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo stress kidogo ulizonazo zimeisha, na umesha anza kutuponda kuwa "tuna njaa njaa + umasikini!?"Nipo hapa kusema bangi hazina effect yoyote ni watu tu wana shida zao binafsi na njaa njaa + umaskini
Ume catch mkuu sijaja kujisifia hapa ningetaka sifa ningepost picha kama kondeboy nimekuja kutoa feedback tu kwamba bangi haina chochote ni useless 🤜Ukweli kwamba umekuja hapa kujisifia kuvuta bangi kitu ambachoni aibu kwa mtu mstaarabu, huo ni ushahidi tosha kuwa tayari umeathirika. Huwezi tena kupambanua kitu chema cha kujisifia nacho mbele ya watu na kitu kibaya kama bangi kuonea haya na fedheha mbele ya watu! Ukiona mtu mgonjwa lakini yeye anajiona yuko sawa tu ujue hiyo ni hali mbaya sana! Hata chizi huwa hajui kama yeye ni chizi!!
mrembo wewe utaweza kufanya hivyo unavyo mshauri mwenzio?Hebu vua nguo zote ubakiwe na saa tu halafu katiza mtaani hapo kwa madaha.Wakikuuliza kwa nini haujavaa nguo,waambie umevaa suti ya kuogelea.
Nimekupa maujanja hayo ya puff...puff and pass!😎We jamaa😂
Njoo WhatsApp ujiunge na groups zangu za mambo hayo.Tupe madini mkuu unaonekana unaijua vizuri
😁😁😁..Umeamua utumie jina langu kabisa hahaha
NaamBhangi itumie kwa manufaa yako zaidi na sikupunguza stress.
Bangi itumie kama kuamusha uwezo wako wa ndani.
Bhangi itumie kama tiba yako binafsi.
Bangi usiitumie kwa kuvuta tu unashauriwa kuitumia kwenye chai au chakula.. (inamaelekezo yake namna ya kuitumia)
NB: bangi haitaji watu wajinga wajinga. Ndio maana inakatazwa.
Ni mmea wenye baraka na laana (Life plant). Unao waona wanavuta bangi wanakuwa mateja na tabia mbovu hawakustahili kuitumia bangi. (Wameibaka)