Nimevuta Bangi aka ganja na hakuna kilichonitokea niko kawaida kabisa

Mimi nilishawahi kumeza viagra lakin hakikutokea chochote. Phamacy nilikozinunua niliambiwa nimeze tembe moja. Lakini nilipoona haifanyi kazi nikaongeza na ya pili lakini wapi. Nadhan hata wewe kinakukuta kitu kama hicho😅
Hahaha oyah Viagra
 
Huoni ilivyokupoteza, lengo ilikuwa uondoe stress badala yake umekuja kufungua thread jf
 
Hebu vua nguo zote ubakiwe na saa tu halafu katiza mtaani hapo kwa madaha.Wakikuuliza kwa nini haujavaa nguo,waambie umevaa suti ya kuogelea.
 
Marijuana safi haina madhara yoyote hii nikatika mimea mitakatifu inayo saidia katika mambo ya kiroho.
Kikubwa namuhimu nikua na uelewa sahihi wa kuitumia.ukiona ukitumia bangi unakutoa katika ufahamu ujue wewe ndio unatatizo kwenye mfumo wa ubongo.
 
Marijuana safi haina madhara yoyote hii nikatika mimea mitakatifu inayo saidia katika mambo ya kiroho.
Kikubwa namuhimu nikua na uelewa sahihi wa kuitumia.ukiona ukitumia bangi unakutoa katika ufahamu ujue wewe ndio unatatizo kwenye mfumo wa ubongo.
Sawa sawa mkuu
 
Ukweli kwamba umekuja hapa kujisifia kuvuta bangi kitu ambachoni aibu kwa mtu mstaarabu, huo ni ushahidi tosha kuwa tayari umeathirika. Huwezi tena kupambanua kitu chema cha kujisifia nacho mbele ya watu na kitu kibaya kama bangi kuonea haya na fedheha mbele ya watu! Ukiona mtu mgonjwa lakini yeye anajiona yuko sawa tu ujue hiyo ni hali mbaya sana! Hata chizi huwa hajui kama yeye ni chizi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…