Nimevuta Bangi aka ganja na hakuna kilichonitokea niko kawaida kabisa

Subiri yapite masaa ikolee mwilini utashangaa usiku wa leo utakunya kitandani
Hahaha impossible mbaka mdaa yamepitaa zaidi ya masaa matano nisubir mangapu tena
 
Umevutaje??
Wengi hawajui kuvuta, hudhani akitolea moshi puani basi tayari ashavuta.

Huwezi vuta ganja afu usihisi kitu, wewe hujavuta Joh, ulikua kama unapuliza moto tu.
Nimevuta na nime hii feel kabisa mbaka kwa brain
 
Hivi ndiyo tayari ulidhani inakuwaje?
 
Aya watumia bhangi typ..
 
Ukitaka upate side effects kuna mambo yakuzingatia kabla haijavutwa na wakati ukiwa unavuta...

NB: hapo kuna side effects ambayo usipoweza kui control inaweza kukuletea shida .
 
Unajiona upo sawa kaka?
Kitendo cha kuandika thread ndefu pasipo kuwa na alama ya coma wala nukta,
Oyaaa...
 
Kaa chini hapo ulipo na anza kuomba msaada wa haraka kwa wapita njia maana kinachofuata hapo ni kikubwa zaidi
 
Hahaa kilochotokea mkuu ni hicho cha kuvuta ganja na kujiona kawaida. Kimbia hospitali ya magonjwa yaakili haraka sana.
 
Tunaomba ka picha kabkusindikizia uzi kakiokesha mwonekano wako wa uso hasahasa macho yalivyojaa red eye bila ya wewe kujua. Ni majirani tu ndo wanabaki kushangaa
 
Endelea kujumlisha tu izo bangi tuone mwisho kma hujatoa

Dogo langu kashaathirika na haya madude
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…