Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Tuueni mkuu
Alafu watu wenye Hela hawatumiagi simu Kali utakuta ana kanokia ka toch na tecno yake tu maisha yanaenda[emoji23][emoji23][emoji23]taste & preference. ...utakuta mtu anatumia Infinix lakin hela alizonazo anaweza akakununulia wewe, mke wako, mama mkwe wako na shemej zako wote Iphone matata sana.
😏Ninachukizwa na nawachukia watu wote wanaotumia tecno,infinix na itel yaani kwangu mie nawaona ni wahujumu uchumi wa nchi yetu yaani inakuaje mtu anatumia au watu wanatumia tecno,infinix au infinix huo si umama?
Yaani kiukweli watu au watu wanaotumia hizo kiukweli serikali inapaswa kuwafungulia makosa ya jinai au wafungwe pingu wapelekwe watakuja kulipua nchi.
Halafu ukiwaona wanavyojimwambafai barabarani utawaona kama wazima vile kumbe ni wagonjwa wa akili vile! Serikali wapelekwe jela au wafungwe milembe hao infinix,itel na tecno users.
We mwenyewe inaonekana umeandika huu uzi ukiwa milembe.Ninachukizwa na nawachukia watu wote wanaotumia tecno,infinix na itel yaani kwangu mie nawaona ni wahujumu uchumi wa nchi yetu yaani inakuaje mtu anatumia au watu wanatumia tecno,infinix au infinix huo si umama?
Yaani kiukweli watu au watu wanaotumia hizo kiukweli serikali inapaswa kuwafungulia makosa ya jinai au wafungwe pingu wapelekwe watakuja kulipua nchi.
Halafu ukiwaona wanavyojimwambafai barabarani utawaona kama wazima vile kumbe ni wagonjwa wa akili vile! Serikali wapelekwe jela au wafungwe milembe hao infinix,itel na tecno users.