Nimewamiss MMU members waliotoweka ghafla

Daah!! Tumeshere baadhi ya Hii Jombaa!!
Huwa najiuliza sana ni Wameamua kutususa au ndio wanaona Wakati wao umepita?? Mungu awajalie Kheri sana. Mawazo yao walioyatoa kwa Moyo wa Upendo Bado yanaishi na yamesaidia wengi, Na yataendelea Kuishi. Ni vile namna ya kuwapa Asante ni kuwaombea Baraka. [emoji106] [emoji120] .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…