Nimewamiss MMU members waliotoweka ghafla

Nimewamiss MMU members waliotoweka ghafla

Wakati najiunga jf kulikuwa na hawa watu.

Lady doctor

Kipaji Halisi

Bishanga

Hawa ni legends Wa JF pamoja na akina

Nyani ngabu

The boss

Mentor

Faizafoxy

Dark City

AshaDiii

Kiranga

N wengine wengine

Hawa walinivutia na Mimi kujiunga mwaka 2012

But kati ya 2010 -2012 nili kuwa guest user tu

Nilivutiwa na nondo zilizokuwa zinatupiwa humu

Hakika nimejifunza mengi hapa JF

Kwangu Mimi JF ni sehumu ya kwanza kupata habari za yanayojiri nchini na duniani

Na pia kupata maarifa kadha Wa kadha

JF na idumu[emoji2]
Daah!! Tumeshere baadhi ya Hii Jombaa!!
Huwa najiuliza sana ni Wameamua kutususa au ndio wanaona Wakati wao umepita?? Mungu awajalie Kheri sana. Mawazo yao walioyatoa kwa Moyo wa Upendo Bado yanaishi na yamesaidia wengi, Na yataendelea Kuishi. Ni vile namna ya kuwapa Asante ni kuwaombea Baraka. [emoji106] [emoji120] .
 
Back
Top Bottom