Nimewamiss watu wangu wa nguvu

Nimewamiss watu wangu wa nguvu

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
Mko salama wapendwa? imekuwa kitambo sana jamani leo nikasema nimepata kaupenyo kidogo wacha niwajulie hali😉😉

Nimewakumbuka sana marafiki wangu wa JF😍

Nikipata tena upenyo nitakuja kuleta uzi wa kutafuta mume💃💃💃

Kisses and hugs from this side to yours, wakuu🥰
 
Mko salama wapendwa?imekuwa kitambo sana jamani leo nikasema nimepata kaupenyo kidogo wacha niwajulie hali😉😉

Nimewakumbuka sana marafiki wangu wa jf😍

Nikipata tena upenyo nitakuja kuleta uzi wa kutafuta mume💃💃💃

Kisses and hugs from this side to yours wakuu🥰
Upendo ni kujaliana....usijali dear endelea na shughuli, acha tu vigezo tukutafutie. Siku ukirudi ni kumchukua tu mai wako.
 
Back
Top Bottom