Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya shangazi kama kweli umeliona hiloMaskini ya Mungu 😀😀nyongo inakuunguza mwanajf mwenzangu
OK buda, but looking for a man clearly shows something is wrong buda!Haya jifunze kumind your own business buda.
Bai
Hii ni kitu nimetoka kumwambia mmoja, mwanamke unatafutaje mwanaume? Lazima kuna kitu hakopo sawa maana mwanamke yoyote anayejielewa simu yake imejaa mitongozo ya kila aina, sasa kweli wote hao wawe hawafai uje utafute mume kwenye fake id? Hapa ndio sijawahi kuelewaOK buda, but looking for a man clearly shows something is wrong buda!
Kwel kabisa Mkuu...Kupambana ni muhimu sana dear
Kuna kitu nilikuwa nataka kuandika lakini ghafla uzi wa selfika ukakatiza kichwani shaaa😁😁nikaona isiwe tabu kikubwa uhaiHii ni kitu nimetoka kumwambia mmoja, mwanamke unatafutaje mwanaume? Lazima kuna kitu hakopo sawa maana mwanamke yoyote anayejielewa simu yake imejaa mitongozo ya kila aina, sasa kweli wote hao wawe hawafai uje utafute mume kwenye fake id? Hapa ndio sijawahi kuelewa
Nahitaji somo kubwa sana kwenye hili
Sina hali bibieDr unawalisha watu matango pori ujue😁😁
Unaendeleaje lakini.
You're welcome😁😁😁Una A ya uking’ang’anizi ndugu yangu kha.
Haya tuko pamoja mkuu🥂🥂
Sijakuelewa kabisa, Kuna nn?Kuna kitu nilikuwa nataka kuandika lakini ghafla uzi wa selfika ukakatiza kichwani shaaa😁😁nikaona isiwe tabu kikubwa uhai