Usisahau kunitag pls.Nikipata tena upenyo nitakuja kuleta uzi wa kutafuta mume๐๐๐
karibu dadaMko salama wapendwa?imekuwa kitambo sana jamani leo nikasema nimepata kaupenyo kidogo wacha niwajulie hali๐๐
Nimewakumbuka sana marafiki wangu wa jf๐
Nikipata tena upenyo nitakuja kuleta uzi wa kutafuta mume๐๐๐
Kisses and hugs from this side to yours wakuu๐ฅฐ
Habari yako rafiki.Uketingwa na nini kipenzi? Tushirikishane hizo fursa.
XOXO ๐
Itakuwa nawaza โ ukeโ tu๐Habari yako rafiki.
Safi tu,Itakuwa nawaza โ ukeโ tu๐
Salama rafiki, mzima wewe?
Aione hii Chakorii kwanza,nisije kwenda pm akaniambia niache utoto.The Icebreaker kimbia pm kwa chakorii haraka kabla hajaleta uzi wa kutafuta mume
Upendo ni kujaliana....usijali dear endelea na shughuli, acha tu vigezo tukutafutie. Siku ukirudi ni kumchukua tu mai wako.Mko salama wapendwa?imekuwa kitambo sana jamani leo nikasema nimepata kaupenyo kidogo wacha niwajulie hali๐๐
Nimewakumbuka sana marafiki wangu wa jf๐
Nikipata tena upenyo nitakuja kuleta uzi wa kutafuta mume๐๐๐
Kisses and hugs from this side to yours wakuu๐ฅฐ
Mwambie basi aweke uzi wa kutafuta mume kwanza, kisha ndio arudi tena huko alipokua,Upendo ni kujaliana....usijali dear endelea na shughuli, acha tu vigezo tukutafutie. Siku ukirudi ni kumchukua tu mai wako.
Usimpe wa kwangu tafadhali..!๐คธUpendo ni kujaliana....usijali dear endelea na shughuli, acha tu vigezo tukutafutie. Siku ukirudi ni kumchukua tu mai wako.
Nice sneakersUsimpe wa kwangu tafadhali..!๐คธ
Really a lol? ๐Usimpe wa kwangu tafadhali..!๐คธ