KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Uzuri documentary tayari ipoMke mwenzake Meghan wewe! Watu wa aina gani wanaangalia PBS? Kule kila kundi na Channel zake. Watu wa Trump utawakuta Fox, wa Biden utawakuta MSNBC na CNN. PBS inayorusha Royal Tour nayo ina watu wake.
Amandla...
Kwa mara ya kwanza nawaunga mkono Heche na Lisu wanahoja!Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi. Leo nikaamuwa nami nisikilize mjadala wa Royal Tour ambapo Mary Sarungi alikuwa akiwahoji Tundu Lisu na John Heche. Kwakweli baada ya kusikiliza mjadala na kusikiliza hoja zao kuhusu kupinga Royal Tour nimewadharau sana Lisu, Heche na Maria Sarungi mwenyewe.
I won't go into details ila nitataja hoja moja moja tu za Lisu na Heche ambazo kwanza nashangaa wanakuwaje viongozi wakubwa hivyo ndani ya chama kikubwa.
1. Lisu anasema SSH kaenda US kutangaza utalii wakati wakiti watalii wakija ni wageni wa private serious?????? Kweli huyu ilikuwa anaomba Urais mtu asiyejuwa kazi ya kutangaza attractions za nchi niza Serikali??? Private sector kazi yake ni grasp opportunities baada ya Nchi kujulikana. Sababu kubwa yakuwa na namba ndogo ua utalalii hapa nchini ni kwamba only deals with tradion markets instead of opening other avenues hivyo nchi haijulikani.
2. Heche nae anasema gharama zilizotumika kutengeneza Royal tour wangepewa vijana wakanunue ng'ombe wa maziwa wafuge kuliko kutengeza Royal tour??? Serious? Halafu huyu jamaa ni mwalimu alikuwa anafundisha sekondari anajaribu ku compare kutangaza utalii wa nchi na kuwapa vijana hela wakafuge. Sikatai vijana wetu kukopeshwa ila kama Nchi inaweza ikakopesha vijana wetu hela za Ngo'mbe na Royal Tour pia ikafanyia.
3. Maria mimi simjui ila kulingana na watu wanavyo muongelea sina shaka kwamba ni msomi na ana expousure. Kilichonishangaza ni alivyokuwa yuko impressed na bizzare analysis inayofanywa na viongozi wajuu wa Chadema.
Kumalizia. Lisu na Heche niliokuwa na wajuwa kujenga pale Bungeni siyo nyie. Inawezekana kuwa out of active politics na brains zenu zimekuwa drained au ni frustration na serious Maria comments za watu wazito kama hawa nizakutoa on air ili kulinda heshima ya platform.
Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi. Leo nikaamuwa nami nisikilize mjadala wa Royal Tour ambapo Mary Sarungi alikuwa akiwahoji Tundu Lisu na John Heche. Kwakweli baada ya kusikiliza mjadala na kusikiliza hoja zao kuhusu kupinga Royal Tour nimewadharau sana Lisu, Heche na Maria Sarungi mwenyewe.
I won't go into details ila nitataja hoja moja moja tu za Lisu na Heche ambazo kwanza nashangaa wanakuwaje viongozi wakubwa hivyo ndani ya chama kikubwa.
1. Lisu anasema SSH kaenda US kutangaza utalii wakati wakiti watalii wakija ni wageni wa private serious?????? Kweli huyu ilikuwa anaomba Urais mtu asiyejuwa kazi ya kutangaza attractions za nchi niza Serikali??? Private sector kazi yake ni grasp opportunities baada ya Nchi kujulikana. Sababu kubwa yakuwa na namba ndogo ua utalalii hapa nchini ni kwamba only deals with tradion markets instead of opening other avenues hivyo nchi haijulikani.
2. Heche nae anasema gharama zilizotumika kutengeneza Royal tour wangepewa vijana wakanunue ng'ombe wa maziwa wafuge kuliko kutengeza Royal tour??? Serious? Halafu huyu jamaa ni mwalimu alikuwa anafundisha sekondari anajaribu ku compare kutangaza utalii wa nchi na kuwapa vijana hela wakafuge. Sikatai vijana wetu kukopeshwa ila kama Nchi inaweza ikakopesha vijana wetu hela za Ngo'mbe na Royal Tour pia ikafanyia.
3. Maria mimi simjui ila kulingana na watu wanavyo muongelea sina shaka kwamba ni msomi na ana expousure. Kilichonishangaza ni alivyokuwa yuko impressed na bizzare analysis inayofanywa na viongozi wajuu wa Chadema.
Kumalizia. Lisu na Heche niliokuwa na wajuwa kujenga pale Bungeni siyo nyie. Inawezekana kuwa out of active politics na brains zenu zimekuwa drained au ni frustration na serious Maria comments za watu wazito kama hawa nizakutoa on air ili kulinda heshima ya platform.
Ndo mana Msigwa kaona awe mkweli na moyo wake kampa Mama hongera zake..
Kule ni kupeleka clips tu. Hawatakubali kuionyesha yote.Uzuri documentary tayari ipo
ni suala ipelekwe pia Media zingine
Hata EPL-sports avenue
European and Asian channels nk
Semeni na mioyo yenu si lazima kupinga kila kitu js because uko upinzani
Ifike wakati wanasiasa na Vyama vya siasa viweke wazi kila kitu ili wale wanaowaunga mkono wajue.Msigwa pia amekuwa mkweli anataka katiba mpya, je umeona popote akiungwa mkono na ccm? Au ukweli kwako una macho?
Mi niko kwny hili la movieMsigwa pia amekuwa mkweli anataka katiba mpya, je umeona popote akiungwa mkono na ccm? Au ukweli kwako una macho?
Ifike wakati wanasiasa na Vyama vya siasa viweke wazi kila kitu ili wale wanaowaunga mkono wajue.
Kwanza waweke wazi masuala muhimu kabisa, siyo kubweka bweka mitandaoni Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi bila kusema chochote Cha Msingi.
Vyama vya siasa viweke wazi misimamo yao kuhusu:
- Mahakama ya kadhi.
- Muundo wa Muungano
- Mfumo wa Uchumi ( Ujamaa, Ubepari, soko huri, mixed economy etc )
- Falsafa za Nyerere
- Maslahi ya Wanasiasa
- Ruzuku za vyama vya siasa
- Haki za binadamu hasa masuala ya homosexuality, abortion, transgender.
Siyo kubweka bweka tu, ukitegemea utapigiwa kura kwasababu tu watu hawaipendi CCM.
Watu wajue Ni Nini unacho amini wewe ambacho Ni tofauti na CCM
Mi niko kwny hili la movie
Kwenye mengine aendelee kupingaMbona hutokei kwenye hayo mengine ya Msigwa ili tujue kama ni muunga mkono ukweli?
Hata wewe pia ni mbumbumbu wa masuala ya utalii. Kwanza sio kweli kwamba nchi ilifungwa harakati za JPM ziliitangaza sana Tanzania duniani. Kutangaza utalii sio suala la mara moja promotion ya utalii inatakiwa ifanyike kila season suala muhimu ni kujua unawatangazia nani? Lazima ujue soko lako lipo wapi na watu wapya kwenye soko emerging markets. Kwa sasa duniani emerging markets kwenye utalii ni Israel, Brazil, India, na Russia including Ukraine. Nchi nyingi duniani zinatangaza utalii kupitia celebrities wana mvuto hakuna hata nchi moja duniani iliyomtumia rais wake kutangaza ni Tanzania tu ya vihoja. Kenya jirani zetu walimtumia Naomi Campbell japokuwa bunge lao lilipinga sana kwa nini hawakumtumia celebrity wao Lupita Nyo'ngo sijui hata kama unamfahamu. Kutangaza na kupata ni vitu viwili tofauti kitu cha muhimu rais ahakikishe kampuni zote za utalii na mahoteli yanalipa kodi watalii wanakuja fedha zinalipwa lakini zote zinatiwa ndani kodi hazilipwi. Kingine ambacho ni muhimu sana tumeanza kuona yale madege makubwa yanayoweza kupakia hata tembo ishirini yameanza kuja na kutua kutoka Arabuni sasa huko hakuna udhibiti wanyama wazima, pembe, ngozi n.k zinapakiwa na kuondokea huko huko polini hakuna Immigration wala Customs hawahitaji hata rada wala traffic controller huko ndio pa kutoa ushauri sio kujipendekeza kwa kusifia uongo.Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi. Leo nikaamuwa nami nisikilize mjadala wa Royal Tour ambapo Mary Sarungi alikuwa akiwahoji Tundu Lisu na John Heche. Kwakweli baada ya kusikiliza mjadala na kusikiliza hoja zao kuhusu kupinga Royal Tour nimewadharau sana Lisu, Heche na Maria Sarungi mwenyewe.
I won't go into details ila nitataja hoja moja moja tu za Lisu na Heche ambazo kwanza nashangaa wanakuwaje viongozi wakubwa hivyo ndani ya chama kikubwa.
1. Lisu anasema SSH kaenda US kutangaza utalii wakati wakiti watalii wakija ni wageni wa private serious?????? Kweli huyu ilikuwa anaomba Urais mtu asiyejuwa kazi ya kutangaza attractions za nchi niza Serikali??? Private sector kazi yake ni grasp opportunities baada ya Nchi kujulikana. Sababu kubwa yakuwa na namba ndogo ua utalalii hapa nchini ni kwamba only deals with tradion markets instead of opening other avenues hivyo nchi haijulikani.
2. Heche nae anasema gharama zilizotumika kutengeneza Royal tour wangepewa vijana wakanunue ng'ombe wa maziwa wafuge kuliko kutengeza Royal tour??? Serious? Halafu huyu jamaa ni mwalimu alikuwa anafundisha sekondari anajaribu ku compare kutangaza utalii wa nchi na kuwapa vijana hela wakafuge. Sikatai vijana wetu kukopeshwa ila kama Nchi inaweza ikakopesha vijana wetu hela za Ngo'mbe na Royal Tour pia ikafanyia.
3. Maria mimi simjui ila kulingana na watu wanavyo muongelea sina shaka kwamba ni msomi na ana expousure. Kilichonishangaza ni alivyokuwa yuko impressed na bizzare analysis inayofanywa na viongozi wajuu wa Chadema.
Kumalizia. Lisu na Heche niliokuwa na wajuwa kujenga pale Bungeni siyo nyie. Inawezekana kuwa out of active politics na brains zenu zimekuwa drained au ni frustration na serious Maria comments za watu wazito kama hawa nizakutoa on air ili kulinda heshima ya platform.
Mimi najuwa utalii na ninaishi utalii wewe unaongea bila data ni wale wale tu kina Heche.Hata wewe pia ni mbumbumbu wa masuala ya utalii. Kwanza sio kweli kwamba nchi ilifungwa harakati za JPM ziliitangaza sana Tanzania duniani. Kutangaza utalii sio suala la mara moja promotion ya utalii inatakiwa ifanyike kila season suala muhimu ni kujua unawatangazia nani? Lazima ujue soko lako lipo wapi na watu wapya kwenye soko emerging markets. Kwa sasa duniani emerging markets kwenye utalii ni Israel, Brazil, India, na Russia including Ukraine. Nchi nyingi duniani zinatangaza utalii kupitia celebrities wana mvuto hakuna hata nchi moja duniani iliyomtumia rais wake kutangaza ni Tanzania tu ya vihoja. Kenya jirani zetu walimtumia Naomi Campbell japokuwa bunge lao lilipinga sana kwa nini hawakumtumia celebrity wao Lupita Nyo'ngo sijui hata kama unamfahamu. Kutangaza na kupata ni vitu viwili tofauti kitu cha muhimu rais ahakikishe kampuni zote za utalii na mahoteli yanalipa kodi watalii wanakuja fedha zinalipwa lakini zote zinatiwa ndani kodi hazilipwi. Kingine ambacho ni muhimu sana tumeanza kuona yale madege makubwa yanayoweza kupakia hata tembo ishirini yameanza kuja na kutua kutoka Arabuni sasa huko hakuna udhibiti wanyama wazima, pembe, ngozi n.k zinapakiwa na kuondokea huko huko polini hakuna Immigration wala Customs hawahitaji hata rada wala traffic controller huko ndio pa kutoa ushauri sio kujipendekeza kwa kusifi
Kwenye mengine aendelee kupinga
Ujumbe ni kwamba si lazima mpinge kila kitu
Hayo ni maoni yako kuhusu maoni yao. Tungejua na maoni yako tuone pia.Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi. Leo nikaamuwa nami nisikilize mjadala wa Royal Tour ambapo Mary Sarungi alikuwa akiwahoji Tundu Lisu na John Heche. Kwakweli baada ya kusikiliza mjadala na kusikiliza hoja zao kuhusu kupinga Royal Tour nimewadharau sana Lisu, Heche na Maria Sarungi mwenyewe.
I won't go into details ila nitataja hoja moja moja tu za Lisu na Heche ambazo kwanza nashangaa wanakuwaje viongozi wakubwa hivyo ndani ya chama kikubwa.
1. Lisu anasema SSH kaenda US kutangaza utalii wakati wakiti watalii wakija ni wageni wa private serious?????? Kweli huyu ilikuwa anaomba Urais mtu asiyejuwa kazi ya kutangaza attractions za nchi niza Serikali??? Private sector kazi yake ni grasp opportunities baada ya Nchi kujulikana. Sababu kubwa yakuwa na namba ndogo ua utalalii hapa nchini ni kwamba only deals with tradion markets instead of opening other avenues hivyo nchi haijulikani.
2. Heche nae anasema gharama zilizotumika kutengeneza Royal tour wangepewa vijana wakanunue ng'ombe wa maziwa wafuge kuliko kutengeza Royal tour??? Serious? Halafu huyu jamaa ni mwalimu alikuwa anafundisha sekondari anajaribu ku compare kutangaza utalii wa nchi na kuwapa vijana hela wakafuge. Sikatai vijana wetu kukopeshwa ila kama Nchi inaweza ikakopesha vijana wetu hela za Ngo'mbe na Royal Tour pia ikafanyia.
3. Maria mimi simjui ila kulingana na watu wanavyo muongelea sina shaka kwamba ni msomi na ana expousure. Kilichonishangaza ni alivyokuwa yuko impressed na bizzare analysis inayofanywa na viongozi wajuu wa Chadema.
Kumalizia. Lisu na Heche niliokuwa na wajuwa kujenga pale Bungeni siyo nyie. Inawezekana kuwa out of active politics na brains zenu zimekuwa drained au ni frustration na serious Maria comments za watu wazito kama hawa nizakutoa on air ili kulinda heshima ya platform.
Mkuu ukistaajabu ya Lema na Lissu basi hakika unakuwa hujayaona ya Samia kulingalisha bei ya mafuta marekani na Tanzania...
Kazi iendelee...
Hayo ni maoni yako kuhusu maoni yao. Tungejua na maoni yako tuone pia.
Kuhusu RT kila mtu ana opinion yake. RT siyo the only best way to advertise the country. Hakuna statistics zinaonyesha mafanikio makubwa ya hizo movie. Watu wanao criticize nao wana points.
Heche anachoongea ni kuwekeza kwenye primary production. Anaamini kutaongeza ajira na pato kwa vijana. Nothing wrong with that..!!
Kama RT Inategemea mafanikio mbona hakuna hata projection tunayopewa zaidi ya kuambiwa ina faida. We need figures/data siyo maneno.